Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,174
Qafanye wafanyavyo, lkn wajibu haya sasaInapokuja swala la kuendelea kubaki madarakani sisiemu huwa haina cha msalia mtume na huchukua hatua stahiki kwa kuwamwaga makada wake walioshindwa kusoma alama za wakati.
Ni dhahiri sera ya ubinafsishaji wa taasisi za umma siyo chagua la wananchi wa taifa hili hususani kutokana na mchango wake kwenye maeneo yote ambayo yalitaifishwa.
Hakuna hata kiongozi mmoja ndani ya sisiemu yuko tayari kutathmini zoezi zima la ubinafsishaji tangia Mkapa aingie madarakani.
Mfano tu, sekta ya madini tu inazalisha zaidi ya dola za kimarekani bilioni 5 kwa mwaka lakini mchango wake kwenye bajeti ya serikali ni chini ya asilimia moja tu.
Wanaonufaika na sera za uwekezaji ni wachache mno huku wengi tunachoambulia ni mzigo wa kodi kuwaruzuku wawekezaji feki.
Kutokana na hii sera ya hovyo na isiyo ya tija sisiemu haina jinsi ni kujivua gamba kwa kulivunja baraza la mawaziri na kuwatupia virago vyao akina maprofesa uchwara Kitilya Mkumbo, na huyo wa uchukuzi ambao kwa pamoja wamedhihirisha hawana ujuzi wala maarifa ya kusimamia kitu kidogo kama bandari na kuongeza mapato, mitambo kusomana n.k
Waziri Mkuu pia kutemwa kwa kuwadhalilisha watanzania hawana uwezo wa kuzisimamia bandari zao miaka 61 baada ya uhuru.
Amka wewe kumekucha. Acha kuotaInapokuja swala la kuendelea kubaki madarakani sisiemu huwa haina cha msalia mtume na huchukua hatua stahiki kwa kuwamwaga makada wake walioshindwa kusoma alama za wakati.
Ni dhahiri sera ya ubinafsishaji wa taasisi za umma siyo chagua la wananchi wa taifa hili hususani kutokana na mchango wake kwenye maeneo yote ambayo yalitaifishwa.
Hakuna hata kiongozi mmoja ndani ya sisiemu yuko tayari kutathmini zoezi zima la ubinafsishaji tangia Mkapa aingie madarakani.
Mfano tu, sekta ya madini tu inazalisha zaidi ya dola za kimarekani bilioni 5 kwa mwaka lakini mchango wake kwenye bajeti ya serikali ni chini ya asilimia moja tu.
Wanaonufaika na sera za uwekezaji ni wachache mno huku wengi tunachoambulia ni mzigo wa kodi kuwaruzuku wawekezaji feki.
Kutokana na hii sera ya hovyo na isiyo ya tija sisiemu haina jinsi ni kujivua gamba kwa kulivunja baraza la mawaziri na kuwatupia virago vyao akina maprofesa uchwara Kitilya Mkumbo, na huyo wa uchukuzi ambao kwa pamoja wamedhihirisha hawana ujuzi wala maarifa ya kusimamia kitu kidogo kama bandari na kuongeza mapato, mitambo kusomana n.k
Waziri Mkuu pia kutemwa kwa kuwadhalilisha watanzania hawana uwezo wa kuzisimamia bandari zao miaka 61 baada ya uhuru.
CCM ni janga la Taifa. Hasa pale Kikwete anapokuwa mshauri mkuuAmka wewe kumekucha. Acha kuota
Ningeandika kitu, sema nilikwisha achana na Tanzania na mambo yake yote zikiwemo siasa.
Ni kweli JK anampelekesha huyu mama yetuCCM ni janga la Taifa. Hasa pale Kikwete anapokuwa mshauri mkuu
Usikate tamaa nchi hii ina Mungu atatuongozaNingeandika kitu, sema nilikwisha achana na Tanzania na mambo yake yote zikiwemo siasa.
Inabidi tumsaidie kama wateule wake wanamwangamizaLibibi hali yake ngumu anaendesha gari la kukodishwa ataondoka tu ni wa mpito tu
Hii nchi kama wewe sio mtoto wa kigogo utaimbishwa sana neno Uzalendo lakini teuzi wanawapa watoto wao.Kwa hiyo ulichofanya hapa ni kuchora?
Namtaka kimbaombao tulia aje hapa anavyojidai eti ana phdQafanye wafanyavyo, lkn wajibu haya sasa
Hoja 8 muhimu za TEC
14. Ibara zifuatazo za Mkataba huu zina matatizo yatakayosababisha nchi kutofikia uhuru wa kiuchumi (economic independence):
14.1. Ibara ya 2 (1): inayohusu lengo la Mkataba huu ambalo ni kuweka utaratibu unaoibana Tanzania kisheria katika kuendeleza, kuboresha na kuendesha bandari zote za bahari na maziwa, maeneo maalum ya uwekezaji, maeneo ya usafirishaji wa mizigo, na maeneo mengine ya kiuchumi.
14.2. Ibaraya 4: inayohusu wigo wa Mahusiano na Utekelezaji unaoitaka Serikali ya Tanzania kuwajibika kuijulisha Dubai kila fursa ya uwekezaji inapojitokeza.Hiiinakinzana na baadhi ya sheria za nchi yetu, kwa mfanosheria ya ushindani na ile ya manunuzi.
14.3. Ibaraya 5: ambapo DPWorldimepewa haki ya kuendeleza, kusimamia na kuendesha miradi pekee yake, wakati Tanzania inabaki na wajibu wa kumwezesha kufurahia haki hiyo.
14.4. Ibaraya 6:inayoitaka Tanzania kuwajibika kuipatia DP World vibali na vivutio vya kutekeleza miradi yake kama Serikali. Hii inapingana na baadhi ya sheria za kiutaratibu.
14.5. Ibaraya 7: inayoitaka Serikali kuwajibika kutoa mamlaka yanayotakiwa na mwekezaji bila ucheleweshaji.
14.6. Ibaraya 8: Haki ya kutumia ardhi ambapo Mkataba unasababisha uvunjifu wa sheria za ardhi na sheria zinazohusu masuala ya ardhi.
14.7. Ibaraya 10: Usiri wa Mkataba ambapo Mkataba unazuia mamlaka nyingine kama TAKUKURU /BUNGE kufuatilia mikataba.
14.8. Ibara za 23 na 24: zenye ugumu wa kujitoa kwenye Mkataba
Kama baba/mama yako sio mkubwa serikalini na kwenye chama chao, utaishia kujiita mzalendo alafu watoto wao wanapewa connections wewe unabaki kutoa mimacho na kubebeshwa mibendera tu.Usikate tamaa nchi hii ina Mungu atatuongoza
Hapo msituletee ujanja wa sungura. Wakutemwa ni mama mwenyewe ajiuzulu. Mzigo wa mnyamwezi umemshinda.Sisiemu kujivua gamba kwa kulivunja baraza la mawaziri!
Inapokuja swala la kuendelea kubaki madarakani sisiemu huwa haina cha msalia mtume na huchukua hatua stahiki kwa kuwamwaga makada wake walioshindwa kusoma alama za wakati.
Ni dhahiri sera ya ubinafsishaji wa taasisi za umma siyo chagua la wananchi wa taifa hili hususani kutokana na mchango wake kiduchu kwenye maeneo yote ambayo yalitaifishwa.
Hakuna hata kiongozi mmoja ndani ya sisiemu yuko tayari kutathmini zoezi zima la ubinafsishaji tangia Mkapa aingie madarakani.
Mfano tu, sekta ya madini tu inazalisha zaidi ya dola za kimarekani bilioni 5 kwa mwaka lakini mchango wake kwenye bajeti ya serikali ni chini ya asilimia moja tu.
Wanaonufaika na sera za uwekezaji ni wachache mno huku wengi tunachoambulia ni mzigo wa kodi kuwaruzuku wawekezaji feki.
Kutokana na hii sera ya hovyo na isiyo ya tija sisiemu haina jinsi ni kujivua gamba kwa kulivunja baraza la mawaziri na kuwatupia virago vyao akina maprofesa uchwara Kitilya Mkumbo, na huyo wa uchukuzi ambao kwa pamoja wamedhihirisha hawana ujuzi wala maarifa ya kusimamia kitu kidogo kama bandari na kuongeza mapato, mitambo kusomana n.k
Waziri Mkuu pia kutemwa kwa kuwadhalilisha watanzania hawana uwezo wa kuzisimamia bandari zao miaka 61 baada ya uhuru.
Hii nchi kama wewe sio mtoto wa kigogo utaimbishwa sana neno Uzalendo lakini teuzi wanawapa watoto wao.
AsanteQafanye wafanyavyo, lkn wajibu haya sasa
Hoja 8 muhimu za TEC
14. Ibara zifuatazo za Mkataba huu zina matatizo yatakayosababisha nchi kutofikia uhuru wa kiuchumi (economic independence):
14.1. Ibara ya 2 (1): inayohusu lengo la Mkataba huu ambalo ni kuweka utaratibu unaoibana Tanzania kisheria katika kuendeleza, kuboresha na kuendesha bandari zote za bahari na maziwa, maeneo maalum ya uwekezaji, maeneo ya usafirishaji wa mizigo, na maeneo mengine ya kiuchumi.
14.2. Ibaraya 4: inayohusu wigo wa Mahusiano na Utekelezaji unaoitaka Serikali ya Tanzania kuwajibika kuijulisha Dubai kila fursa ya uwekezaji inapojitokeza.Hiiinakinzana na baadhi ya sheria za nchi yetu, kwa mfanosheria ya ushindani na ile ya manunuzi.
14.3. Ibaraya 5: ambapo DPWorldimepewa haki ya kuendeleza, kusimamia na kuendesha miradi pekee yake, wakati Tanzania inabaki na wajibu wa kumwezesha kufurahia haki hiyo.
14.4. Ibaraya 6:inayoitaka Tanzania kuwajibika kuipatia DP World vibali na vivutio vya kutekeleza miradi yake kama Serikali. Hii inapingana na baadhi ya sheria za kiutaratibu.
14.5. Ibaraya 7: inayoitaka Serikali kuwajibika kutoa mamlaka yanayotakiwa na mwekezaji bila ucheleweshaji.
14.6. Ibaraya 8: Haki ya kutumia ardhi ambapo Mkataba unasababisha uvunjifu wa sheria za ardhi na sheria zinazohusu masuala ya ardhi.
14.7. Ibaraya 10: Usiri wa Mkataba ambapo Mkataba unazuia mamlaka nyingine kama TAKUKURU /BUNGE kufuatilia mikataba.
14.8. Ibara za 23 na 24: zenye ugumu wa kujitoa kwenye Mkataba
@Lucas mwashambwa kazana ndugu yetu pepo muda sio mlefu utaionaHii nchi kama wewe sio mtoto wa kigogo utaimbishwa sana neno Uzalendo lakini teuzi wanawapa watoto wao.
He's wasting his time. Hata mimi nilikuwa ninajiona zinga la mzalendo eti ninaipigania nchi yangu, mwisho wa siku nikaishia kutupiwa maneno ya kejeli na matusi tu kutoka kwa watoto wa wakubwa wa CCM, nikaona isiwe tabu ngoja niwaache na chama chao na nchi yao.@Lucas mwashambwa kazana ndugu yetu pepo muda sio mlefu utaiona