CCM kujibu mapigo dhidi ya CHADEMA?

CCM kujibu mapigo dhidi ya CHADEMA?

M4C kombora la masafa marefu na kumbuka nyayo za simba hazifatwi
 
Hatuhitaji kumtumia Rais kujibu yanayosemwa na makundi ya wanaharakati waganga njaa kwa kujifanya vyama vya siasa, tutajibu wenyewe! Mwenyekiti wa CCM huwezikumlinganisha na Mwenyekiti wa kikundicha wanaharakati wa Chadema.....

Nape wewe ni Kiongozi wa CCM chama tawala, kauli kama hizi zinatukatisha tamaa sisi tulio katikati tukiangalia wapi kuna viongozi makini na kuwaunga mkono. Huwezi kuwa chama cha siasa halafu ukajibu hoja za wanaharakati, nawe utaonekana mwanaharakati. Waache wanaharakati wajibiwe na wanaharakati wenzao, ninyi chama cha siasa jengeni nchi.

Hoja ya uana harakati haiwezi kukifanya CDM kukosa umaarufu, maana watanzania wengi wanajua kuwa wanaharakati ndiyo hasa wanaopigania maisha yao na masilahi yao, wanasiasa ni waongo. Kwenye hili unaipaisha CDM kwa kuwaita wanaharakati badala ya kuwashusha.

Nina hakika kuwa kwa sasa utakuwa hupati usingizi hasa ukizingatia kuwa 2012 ni mwaka wa mkutano mkuu wa CCM na post za wakuu wa wilaya zimeisha tangazwa. Jenga chama Nape kwa kuwafanyia watanzania yale ambayo CCM imeshindwa kwa miaka dahali. 'CALLING YOUR POLITICAL OPONENTS SO DOESNOT MAKE THEM SO'. Name calling is a sign of desperation and defeat from real issues matter to the People.
 
Hatuhitaji kumtumia Rais kujibu yanayosemwa na makundi ya wanaharakati waganga njaa kwa kujifanya vyama vya siasa, tutajibu wenyewe! Mwenyekiti wa CCM huwezikumlinganisha na Mwenyekiti wa kikundicha wanaharakati wa Chadema.....

Nape kwa nafasi yako na majibu unayoyatoa kiukweli HAPANA, hadi sasa CCM bado ni chama kikubwa, majibu kama haya yanapotoka kwako unatuaminisha na wengine kuwa huko CCM hakuna kitu, sidhani mtu kama Mnyika anaweza kuja na majibu ya rejareja kama haya. Vinginevyo kaushia mbali tu, threads hizi zinakuja na kupita, kwanza naamini una mambo mengi ya kichama haya mengine waachie wanachama wako walioko humu watajibu tu
 
Hatuhitaji kumtumia Rais kujibu yanayosemwa na makundi ya wanaharakati waganga njaa kwa kujifanya vyama vya siasa, tutajibu wenyewe! Mwenyekiti wa CCM huwezikumlinganisha na Mwenyekiti wa kikundicha wanaharakati wa Chadema.....

ama kweli wewe ni vuvuzela
 
Ni kwa kasi isiyotarajiwa ya kwamba CDM inafahamika kwa kiasi kikubwa mingoni mwa watanzania huku CCM kikionekana kuwa chama cha vikundi....Katika hili tunaomba nacho/CCM kifanye mikutano Arusha, Dar na maeneo mengine yote ambayo CDM imepita ili nasi kuwaonyesha watanzania ya kuwa tupo hai na tunakubalika bado.


naomba awepo Raisi,Katibu mkuu, Nappe na baadhi ya wabunge kama ambavyo CDM wanafanya.Hapa tutajipima vyema. Mkutano huu usiwe wa kiserikali ila wakichama katika kuhamasisha maendeleo na uelewa wa demakrasia haki na wajibu.


AKSANTEEEEEEEEEEEEEEE


Otherwise PEOPLES'S POWER ITATAWALA

Nendeni NMC(ARUSHA), MASHUJAA(MOSHI), SANGU,MABATINI, KIWIRA(MBEYA), LIZABONI, BOMBAMBILI(SONGEA), TOWN LA MUSOMA mkajipe moyo kwa halaiki ya inzi.
 
Hatuhitaji kumtumia Rais kujibu yanayosemwa na makundi ya wanaharakati waganga njaa kwa kujifanya vyama vya siasa, tutajibu wenyewe! Mwenyekiti wa CCM huwezikumlinganisha na Mwenyekiti wa kikundicha wanaharakati wa Chadema.....

Kaka Nape kama ni wewe kweli, nasikitika kwa majibu yako..Kwnaza tambua maana halisi ya Uanaharakati..kama kweli unafahamu vyema tafsiri na madhumuni kamili ya uanaharakati...basi CDM watakuwa wanaharakati makini sna na wenye nguvu kubwa katika kuhamasisha mabadiliko kusudiwa..hii ni kweli kma unavyoita CDM kuwa kikundi cha wanaharakati waganga njaa.....Tambua harakati za siasa zina mashiko sana kuliko hata vituo vyote haki sheria na elimu kwa jamii na kwa misingi hiyo basi CDM hawanabudi kupewa tunzo ya heshima toka CCM kwa uanaharakati mzuri waufanyao ktka kuuelimisha na kuufungua uelewa wa umma wa Watanzania kuhusu haki,demokrasia na wajibu.....na sasa ndo kwa kasi ya ajabu ndo wanatua vijijini...vinginevyo indirectly wewe ni mwanacha hai unayelala CCM na kuamkia CHADEMA
 
Hatuhitaji kumtumia Rais kujibu yanayosemwa na makundi ya wanaharakati waganga njaa kwa kujifanya vyama vya siasa, tutajibu wenyewe! Mwenyekiti wa CCM huwezikumlinganisha na Mwenyekiti wa kikundicha wanaharakati wa Chadema.....

Ubaya ni kuwa Umeona CCM kama Mali yako; Kwanza Angalia ni kwanini Wanachama Vijana Wanaondoka CCM; Jaribu

kutafuta usuluhishi, ndio ujaribu kupambana na CHADEMA, Na Muache Matusi wewe na kijana Mwenzako ndani ya CC ni

Wasomi lakini Mnapenda kuongea bila kuwa na busara, kama Viongozi waliopita wa CCM.
 
Nape ndugu yangu, majibu yako yawe yanafanana na wadhifa wako wa kitaifa. Majibu ya kihuni waachie wahuni na sio wewe! Ukijibu, sisi tunatumia majibu yako kama rejea kama hujui hilo basi kuna walakini mkubwa juu ya uwezo wako wa kiuongozi!

Nasikia wale waliochoma makanisa kule Zanzibar nao wanaitwa wahuni! Hata vijana wa cxm wamesem wale ni wahuni!!

Huyu Nape nae sounda like mhuni flani, sasa tumtofautisheje!!???
 
Nendeni NMC(ARUSHA), MASHUJAA(MOSHI), SANGU,MABATINI, KIWIRA(MBEYA), LIZABONI, BOMBAMBILI(SONGEA), TOWN LA MUSOMA mkajipe moyo kwa halaiki ya inzi.

Jaribuni nyie tuone!!
Any time!!
Hahahahaaaa!!
 
mnahangaika nyie NYINYI M kama alivowaita Sugu...tatizo sio chama hapo...chama ni kizuri ila watendaji wake ni wabovu kuanzia mwenyekiti wa taifa msanii..mpaka mwenyekiti wa kata wa NYINYI M ni msanii.....badilikeni kwanza ndo muanze kushindana na CDM
 
Tatizo CCM imekosa mvuto,makundi yanaiangamiza mbinu zilezile walizotumia miaka ya Uhuru bado wanazitumia mpaka leo,viongozi wa chama walewale wanapokezana kwa generations kama vile utawala wa kifalme!,wagumu kukubali mabadiliko,hoja za upinzani hata zikiwa na ukweli ndani yake zinatupiliwa mbali eti kukinusuru chama,mfumo wa dunia unabadilika kutokana na watu wapya kuzaliwa na wazamani kufa CCM bado ni ileile na itikadi zake,Wapo wanaompinga Mwenyekiti wa chama hadharani eti wao ni maarufu kuliko Mwenyekiti wao,eti wanaweza kuliko kiongozi wao,hadi kumbidi mwenyekiti wa chama kusikiliza maoni ya wapinzani zaidi kuliko chama wa chake,kwani wengi wao wakimpa ushauri unakuwa ni wa kimaslahi binafsi zaidi.Ni wazi sasa wapinzani wapo karibu na mwenyekiti wa CCM kuliko wenye chama,bado itikadi mfu za kujivua Gamba zinakimaliza,mbona wakati wa Mwl. Nyerere haikuwa hivyo kiongozi akiboronga alikuwa anaswekwa kizuizini au kifungo na fimbo juu, na maana alikuwa akiwajibishwa outright,sasa huu mfumo wa kupita kwenye majukwaa na kuwabembeleza eti wajivue gamba sijui ni kitu gani kama siyo kujimaliza sisi wananchi tunaona ni upungufu mkubwa kabisa katika uongozi wa chama,kwa kuwa wananchi wanayaona haya na hawan sehemu ya kuyasemea basi waona ni bora kufanya uamuzi mgumu na uamuzi mgumu ni kujiunga upinzani,yapo mengi machungu lakini kwa haya machache nimalize kwa kuwatahadharisha kuwa katika Afrika mashariki na kati hadi kusini hakuna chama tawala kilichopo madarakani vyote vilishaondoka kutokana na itikadi kama hizi ambazo hazina tija kwa kizazi hiki,labda Msumbiji na Angola ndiyo kimebaki lakini baada ya kuchapana vilivyo.Kwingine ni vuguvugu kama kwetu.na mkumbuke kuwa nguvu ya umma ni nguvu ya mungu hakuna anayeweza kuizuia.
 
CCM wakumbuke kuchukuwa report ya utekelezaji wa ahadi zake (kama kuna kitu wametekeleza)!

Kwa uzuzu wao wanaweza kweli kuanza kulamba miguu ya CHADEMA kwa kupita sehemu walizofanya mikutano ya haadhara, lakini tofauti na CHADEMA CCM wanatakiwa wawaambie wananchi ni kwa nini nchi ni maskini?

Hawawezi kuwambia wananchi kwa nini nchi ni masikini kwani hata Mwenyekiti wao ambaye ni kiongozi mkuu wa serikali hajui ni kwa nini nchi yetu ni maskini.

Wanachojua wao ni kufanya UFISADI tu.
 
nendeni nmc(arusha), mashujaa(moshi), sangu,mabatini, kiwira(mbeya), lizaboni, bombambili(songea), town la musoma mkajipe moyo kwa halaiki ya inzi.

asante kwa kutuita wakazi wa songea ni inzi.mungu akubariki.
 
Ni kwa kasi isiyotarajiwa ya kwamba CDM inafahamika kwa kiasi kikubwa mingoni mwa watanzania huku CCM kikionekana kuwa chama cha vikundi....Katika hili tunaomba nacho/CCM kifanye mikutano Arusha, Dar na maeneo mengine yote ambayo CDM imepita ili nasi kuwaonyesha watanzania ya kuwa tupo hai na tunakubalika bado.


naomba awepo Raisi,Katibu mkuu, Nappe na baadhi ya wabunge kama ambavyo CDM wanafanya.Hapa tutajipima vyema. Mkutano huu usiwe wa kiserikali ila wakichama katika kuhamasisha maendeleo na uelewa wa demakrasia haki na wajibu.


AKSANTEEEEEEEEEEEEEEE


Otherwise PEOPLES'S POWER ITATAWALA

Kama hawajazomewa siku nyingi, hii iyawatibu.
 
Hatuhitaji kumtumia Rais kujibu yanayosemwa na makundi ya wanaharakati waganga njaa kwa kujifanya vyama vya siasa, tutajibu wenyewe! Mwenyekiti wa CCM huwezikumlinganisha na Mwenyekiti wa kikundicha wanaharakati wa Chadema.....

Sielewi mwaka ukifika utajificha wapi mkuu.Tusubiri.
 
Hatuhitaji kumtumia Rais kujibu yanayosemwa na makundi ya wanaharakati waganga njaa kwa kujifanya vyama vya siasa, tutajibu wenyewe! Mwenyekiti wa CCM huwezikumlinganisha na Mwenyekiti wa kikundicha wanaharakati wa Chadema.....
utajibu wewe kwa niaba ya chama,kama maige alivyosema.
 
sasa wakiamua kujibu mapigo uchumi nani atasimamia, maana wao ndiyo wako madarakani, ina maana na wao ni wapinzani?????
mie naona wajibu kama makundi yao yalivyo.wanaomuunga mkono mzee wa rchmnd wajipange waje jangwani tuwasikie,then wale wa maige nao waje na sera ya kumvua nape gamba,nape nae ajiandae aje na makundi ya watoto ila aandae kamga,skafu,kofia maana hivyo ndo vitendea kazi vyake wananchi tunalijua hilo,mwenyekiti wao aite wazee wa dar es salaamu maana huwa wanapozwa nauri na pesa ya chakula.theni kila mtu aeleze anachoona ni kizuri kuhusu serikali.kuchallengiana among themselves.
 
Hatuhitaji kumtumia Rais kujibu yanayosemwa na makundi ya wanaharakati waganga njaa kwa kujifanya vyama vya siasa, tutajibu wenyewe! Mwenyekiti wa CCM huwezikumlinganisha na Mwenyekiti wa kikundicha wanaharakati wa Chadema.....

Nape,
Is everything going OK with you upstairs? I wonder!
I am sorry if my language seems not to be palatable enough
 
Ubaya ni kuwa Umeona CCM kama Mali yako; Kwanza Angalia ni kwanini Wanachama Vijana Wanaondoka CCM; Jaribu

kutafuta usuluhishi, ndio ujaribu kupambana na CHADEMA, Na Muache Matusi wewe na kijana Mwenzako ndani ya CC ni

Wasomi lakini Mnapenda kuongea bila kuwa na busara, kama Viongozi waliopita wa CCM.
unajua nimekumbuka kitu kimoja amabcho kinafanana na mawazo ya nape,nyinyiemu imekuwa kama chuma chakavu,ukiokota kitu kichakavu na hujawahi kuwa nacho inabidi ujitahidi kukirekebisha ili kikusaidie,bila kujua kuwa kimefikia mda wa kutotumika tena,na wakati mwingine unaweza tumia nguvu nyingi ila mwishi wake hakisaidii,sasa bw,naoe anajitahidi kurekebisha nyinyiemu na akiamini inaweza msaidia kwa mda,si unajua tena mambo ya sifa za kijinga kwa mafisadi!
 
Back
Top Bottom