CCM kujenga chuo kikuu!

CCM kujenga chuo kikuu!

CCM ina mpango wa kujenga chuo kikuu ili kuhakikisha makada na wananchi kwa ujumla kupata elimu.
Huwa na Msikia Polepole akisema Serikali ya CCM hivi ina maanisha nini 'We are suposed to say A Govenment of Tanzania" Hakuna popote Duniani ukasema Serikali ya Chama Fulani'A Government of CCM" Makosa km haya Nadhani wahusika wachukue Hatua
 
CCM ina mpango wa kujenga chuo kikuu ili kuhakikisha makada na wananchi kwa ujumla kupata elimu.
da,watakao enda kusoma huko nadhani watakuwa vilaza wa taifa,kama chama chenyewe kimeshindwa tu kusimamia shule zake za jumuia ya wazazi ni chuo kwel watawezaa?DA TUAMKE WATANZANIA
 
Back
Top Bottom