MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Kamati kuu ya CCM inayokutana Dodoma itajadili nia ya Chadema kumwona JK.Je wanaweza sema noo asikutane nao? na Chadema kumwona JK kama Rais wa TZ ina nia gani hasa kwa taifa??
Mimi nadhani kwa hapa wamefikiria jema kwa kuitakia mema Tanzagiza inayotaka kuchakachuliwa..
Comment Please...
Mimi nadhani kwa hapa wamefikiria jema kwa kuitakia mema Tanzagiza inayotaka kuchakachuliwa..
Comment Please...