CCM kuiua ni kazi kubwa sana"Shaka aendelea kuandaa chipukizi wa UVCCM"

kilombero yetu

JF-Expert Member
May 6, 2011
1,004
117
Tofauti na vyama vingine kaimu katibu mkuu wa UVCCM anaonekana kila anapopita anakutana na watoto wanaorisishwa imani ya CCM ambayo sasa ipo katika misingi wa HAPA KAZI TU

VIZURI VYAMA VINGINE VIKAIGA HILI
BADALA YA KURITHISHANA WANACHAMA WENYE TUHUMA za ufisadi
Ama unakuta chama kinataka kupewa nchi kinaokota makamu wa rais ambae baada ya kushindwa urais uzalendo unamshinda kwa miezi sita tu anarudi kwenye chama chake anashindwa ata kuvumilia kusubiria miaka mitano ijayo
Shaka songambeke
314464ac182d6cda1b19acf1a5f9f80c.jpg
0f836d927bae712eb8219d7fe5ccb566.jpg
e18f1c43b9348bf7c8b0d2c8dcbcd42e.jpg


0d7f5e630e8e7cec49a758eecd5d7568.jpg
 
Tofauti na vyama vingine kaimu katibu mkuu wa UVCCM anaonekana kila anapopita anakutana na watoto wanaorisishwa imani ya CCM ambayo sasa ipo katika misingi wa HAPA KAZI TU

VIZURI VYAMA VINGINE VIKAIGA HILI
BADALA YA KURITHISHANA WANACHAMA WENYE TUHUMA za ufisadi
Ama unakuta chama kinataka kupewa nchi kinaokota makamu wa rais ambae baada ya kushindwa urais uzalendo unamshinda kwa miezi sita tu anarudi kwenye chama chake anashindwa ata kuvumilia kusubiria miaka mitano ijayo
Shaka songambeke
314464ac182d6cda1b19acf1a5f9f80c.jpg
0f836d927bae712eb8219d7fe5ccb566.jpg
e18f1c43b9348bf7c8b0d2c8dcbcd42e.jpg


0d7f5e630e8e7cec49a758eecd5d7568.jpg
Nategemea mwaka huu ni kazi rahisi kuifuta chadema kanda ya kaskazini hususani arusha na kilimanjaro
**Ni muda sasa ccm 2016 ukwel na uwazi.......
 
Tofauti na vyama vingine kaimu katibu mkuu wa UVCCM anaonekana kila anapopita anakutana na watoto wanaorisishwa imani ya CCM ambayo sasa ipo katika misingi wa HAPA KAZI TU

VIZURI VYAMA VINGINE VIKAIGA HILI
BADALA YA KURITHISHANA WANACHAMA WENYE TUHUMA za ufisadi
Ama unakuta chama kinataka kupewa nchi kinaokota makamu wa rais ambae baada ya kushindwa urais uzalendo unamshinda kwa miezi sita tu anarudi kwenye chama chake anashindwa ata kuvumilia kusubiria miaka mitano ijayo
Shaka songambeke
314464ac182d6cda1b19acf1a5f9f80c.jpg
0f836d927bae712eb8219d7fe5ccb566.jpg
e18f1c43b9348bf7c8b0d2c8dcbcd42e.jpg


0d7f5e630e8e7cec49a758eecd5d7568.jpg
Tatizo la vijana wa ccm ....ni kujisifia Arusha na kilimanjaro wajanja wengi wanaelewa nin wanataka na kwa wakati gan..na kuwadanganya huwez ...ila kupiga pesa za mikutano wanakula ,,,ukiwauliza wanasema wanakula kodi zao.......Huyo shaka ngoja aendelee kugawa mpunga vijana wa chuga wajilie ....asisahau kuja na moshi...na ukitaka ujue vijana wa kilimanjaro na moshi ni noma kwa kutafuna fedha za ccm mulize Yahaya aka D.Mosha na Monoban wa hapa Arusha...wanajua vizuri...
 
Nimeona katoto kadogo ,sijui ni kadarasa la kwanza kanapewa kadi ya ccm....duh ni hatari hivi hako kanajua nn au ni aibu ya kukosa watu kwenye mokutano?? CCM waacheni watoto wasome sio mda wa kuwapa peremende ili wahudhurie mikutano yenu na kuwapa kadi...hapa Chuga vijana ni wengi sana gaweni pesa waje kwenye mikutano wachukue kadi...
 
Tatizo la vijana wa ccm ....ni kujisifia Arusha na kilimanjaro wajanja wengi wanaelewa nin wanataka na kwa wakati gan..na kuwadanganya huwez ...ila kupiga pesa za mikutano wanakula ,,,ukiwauliza wanasema wanakula kodi zao.......Huyo shaka ngoja aendelee kugawa mpunga vijana wa chuga wajilie ....asisahau kuja na moshi...na ukitaka ujue vijana wa kilimanjaro na moshi ni noma kwa kutafuna fedha za ccm mulize Yahaya aka D.Mosha na Monoban wa hapa Arusha...wanajua vizuri...
Unajua maana ya chipukizi ama waropoka tu?
 
Unajua maana ya chipukizi ama waropoka tu?
Chipukiz ndo nn?? acheni kuwafanya watoto misukule badala ya kuwapelekea,madawati wakae wasome mnawaletea kadi za chama..........ukwel ni huu ccm mnawapoteza watoto wetu watoto wetu watengenezeeni mazingira mazur wasome,,mmekosa vijana mpaka mtumie watoto kwa kuwahonga peremende jaman...hiyo ni dhambi
 
Chipukiz ndo nn?? acheni kuwafanya watoto misukule badala ya kuwapelekea,madawati wakae wasome mnawaletea kadi za chama..........ukwel ni huu ccm mnawapoteza watoto wetu watoto wetu watengenezeeni mazingira mazur wasome,,mmekosa vijana mpaka mtumie watoto kwa kuwahonga peremende jaman...hiyo ni dhambi
Jifunze maana ya chipukizi au mlidhani tutawapa wala viroba na mateja wenzenu hapo arusha ccm inaimarisha kila kona
 
Tatizo la vijana wa ccm ....ni kujisifia Arusha na kilimanjaro wajanja wengi wanaelewa nin wanataka na kwa wakati gan..na kuwadanganya huwez ...ila kupiga pesa za mikutano wanakula ,,,ukiwauliza wanasema wanakula kodi zao.......Huyo shaka ngoja aendelee kugawa mpunga vijana wa chuga wajilie ....asisahau kuja na moshi...na ukitaka ujue vijana wa kilimanjaro na moshi ni noma kwa kutafuna fedha za ccm mulize Yahaya aka D.Mosha na Monoban wa hapa Arusha...wanajua vizuri...
Kwa taarifa yako chadema watu wameanza kuichoka arusha lema na genge lake
 
Kwa taarifa yako chadema watu wameanza kuichoka arusha lema na genge lake
Hahaaa......Arusha ipi mkuu.....?? Juz tu mlisema Lema harud bungeni ,kumbuka mmepigwa kata karibu zote mmebaki na kata moja...ccm kwa sasa inaweza kuongoza wajinga tu ..kule dodoma .....
 
Hahaaa......Arusha ipi mkuu.....?? Juz tu mlisema Lema harud bungeni ,kumbuka mmepigwa kata karibu zote mmebaki na kata moja...ccm kwa sasa inaweza kuongoza wajinga tu ..kule dodoma .....
Kuongoza kwenu kwa kata hizo ni kutokana na kuhairishwa kwa uchaguzi baada ya mgombea wa ACT kufariki ila kumbuka zile kura walimpa lema kwa huruma tu pamoja na madiwani wake
 
Kuongoza kwenu kwa kata hizo ni kutokana na kuhairishwa kwa uchaguzi baada ya mgombea wa ACT kufariki ila kumbuka zile kura walimpa lema kwa huruma tu pamoja na madiwani wake
Kumbuka uchaguz wa madiwani ulifanyika october25 ,2015 ,,ndo ccm ikapoteza kata karibu zote wakabakiwa na moja tu......lema ni juz tu .....hiv nikulize nan wa ccm anaweza kumshinda Ephata Nanyaro hapa Arusha....Tatizo kubwa la ccm ni elim na maendeleo ..inabid ccm iwekeze kwa wajinga ila werevu hawawez ....kukubali ccm ndo maana hata Dar waliwakataa kwa kias kikubwa kasoro ,kule kwa makabwela
 
Back
Top Bottom