CCM kufanya press conference kesho

CCM kufanya press conference kesho

baada ya kutoka dodoma na kuanza mikutano ya ndan kumaliza hii sintofaham wao wakaanza kampeni na magufuli wao sasa waite mpaka BBC, CNN, SKY NEWZ, na magazet yote dunian watanzania wamesha sema NO
 
Si kidogo.

na hata wakiongea uzuzu wao uishie kwenye kumshukuru kwa huduma na uanachama wake toka mwaka 77 na kumtakia safari njema huko aendako.

wakileta mipasho kama wako kwenye ngoma wataharibu...,

Kaka yangu Kimweri vpi acha tu kijana amwage mboga ili tufaidi.. Nani alipiga deal la Richmond? ni Kikwete au ni Lowassa? Siasa hizi leo hawa wawili wanavuana nguo hadharani...
 
Last edited by a moderator:
Kaka yangu Kimweri vpi acha tu kijana amwage mboga ili tufaidi.. Nani alipiga deal la Richmond? ni Kikwete au ni Lowassa? Siasa hizi leo hawa wawili wanavuana nguo hadharani...

tunawasubili tujue nani,lakini zaidi na bunge lililowaaminisha watanzania hili,
 
kawambie walamba matapishi yao sio ccm ,hiki chama ni zaidi ya saccoss yenu iliyokosa mgombea urais tangu 2010 na kuishi maisha ya fisi,

wewe ni ukoo ule ule wa mapanya buku mlitaka mjitwalie tena nchi hii kwa ukoo uleule wa panya,tunamshukuru mkapa kwa kuweka mtego na kunasa mapanya yote kudadadeki,
 
kaa kimia kama hauji na siasa zako za msimu,
wenzio tunajua tunachokisema,
wewe ndo conection yako ya kichwa na mwili haviko sawa,

Soma ulichoandika kwa utulivu, kama umeelewa fafanua...!! Kama hujaelewa hata wewe mwenyewe... then jitoe kwenye mijadala ya watu wazima hapa.. mbafu zako.!!!

BACK TANGANYIKA
 
Mtakao bahatika kuangalia mtanipa dondoo chache ,kiukweli sina muda wa kufatilia hiyo jumuia.
 
mkuu ccm ni chama kongwe sio walamba matapishi kwa billion 10,wanajua kilichokuwa kinapangwa na chadema na mengi na lowasa ,walimkata wanajua kitakachojiri,wewe tulia uone miamba inavyopasuana ,pesa na dora kipi ni shujaa,

Wee Jamaa unaweweseka! Unausisha na wasiohusika,! Kwasababu Una dora japokuwa si mjui huyo dora ni nani! Ungetulia tu umtumie huyo dora. Ha ha ha!
 
Lowassa hana sababu ya kumtuhumu MTU hajazoea ccm ndio zao .Nape kazunguka Tanzania nzima anamtukana lowassa watanzania tunajua Na tutawahukumu oktoba
 
Ccm inamuombea kila la kheri lowassa, hatuna chuki nae na tunajua kuwa ni haki yake kuhama chama. Ila wanao shabikia kuwa ccm itaanguka na kushindwa uchaguzi basi hao wanaota ndoto ya mchana. Kama lowassa alikua na nguvu basi asinge chujwa.

Umeongea vizuri lakini unaposema Lowassa amechujwa ndo unapokosea Mkuu.. Lowassa amekatwa katika mazingira ya "goli la mkono".. yaani kanuni zimevunjwa makusudi.. Huwezi kuita hiyo ni kuchujwa..
 
Back
Top Bottom