Nimeangalia taarifa tbc sijaamini mkuranga hadi leo wanafunzi wanasomea chini ya miembe. ccm wanasema mkiwachagua wabunge wa upinzani hawawezi kuleta maendeleo.
Je, mkuranga kuna mbunge wa upinzani? maeneo ya upinzani maendeleo yapo juu ila maeneo ambayo hawajawahi kuchagua upinzani wapo nyuma sana. angalia singida, tabora, dodoma, mtwara, lindi, tanga nk. ndio maana nasema ccm inaashiria umasikini.
Jiunge na vyama vyenye mtazamo wa kimapinduzi kama CHADEMA.
Je, mkuranga kuna mbunge wa upinzani? maeneo ya upinzani maendeleo yapo juu ila maeneo ambayo hawajawahi kuchagua upinzani wapo nyuma sana. angalia singida, tabora, dodoma, mtwara, lindi, tanga nk. ndio maana nasema ccm inaashiria umasikini.
Jiunge na vyama vyenye mtazamo wa kimapinduzi kama CHADEMA.