Katika uchaguzi mdogo wa uwakilishi katika jimbo la kiembe samaki lililopo Mkoa wa Mjini Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Chama Dume, Chama chenye viongozi wanaotumia vichwa kufikiri na kufanya maamuzi kimeibuka mshindi wa jimbo hilo ambapo mgombea wake Ndugu Mahmoud Thabit Kombo ameibuka mshindi kwa kushinda kwa zaidi ya asilimia 78 ya kura zote.
ushindi huo ni salamu kwa chaguzi zingine zinazoendelea kote nchini kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiko imara na tuko seriuos on this business. Hakuna majungu, hakuna u-mungu mtu, huku kazi tu maneno huko huko kwenu.
We kadada huna lolote.salamu gani hizo wakati siasa za Zanzibar zinajulikana?Zanzibar mahali pa CUF ni CUF na mahali pa ccm ni ccm hata ukiweka jiwe linapata ushindi mnono.we hujui?Katika uchaguzi mdogo wa uwakilishi katika jimbo la kiembe samaki lililopo Mkoa wa Mjini Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Chama Dume, Chama chenye viongozi wanaotumia vichwa kufikiri na kufanya maamuzi kimeibuka mshindi wa jimbo hilo ambapo mgombea wake Ndugu Mahmoud Thabit Kombo ameibuka mshindi kwa kushinda kwa zaidi ya asilimia 78 ya kura zote.
ushindi huo ni salamu kwa chaguzi zingine zinazoendelea kote nchini kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiko imara na tuko seriuos on this business. Hakuna majungu, hakuna u-mungu mtu, huku kazi tu maneno huko huko kwenu.
mshindi kura 1856?????jimbo au mtaa????
mshindi kura 1856?????jimbo au mtaa????
Sisi tukoa Tanganyika haituhusu!!!! Tunajua fika hatuna business na Zenj!!! Tuongolee Tanganyika hata kama hamuitaki!!!! Watanzania wanataka serikali tatu, mengine ni taarifa ya habari!!!Katika uchaguzi mdogo wa uwakilishi katika jimbo la kiembe samaki lililopo Mkoa wa Mjini Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Chama Dume, Chama chenye viongozi wanaotumia vichwa kufikiri na kufanya maamuzi kimeibuka mshindi wa jimbo hilo ambapo mgombea wake Ndugu Mahmoud Thabit Kombo ameibuka mshindi kwa kushinda kwa zaidi ya asilimia 78 ya kura zote.
ushindi huo ni salamu kwa chaguzi zingine zinazoendelea kote nchini kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiko imara na tuko seriuos on this business. Hakuna majungu, hakuna u-mungu mtu, huku kazi tu maneno huko huko kwenu.
Mgombea wa Chama cha Mapinduzi katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo ameibuka Kidedea kwa ushindi alioupata katika uchaguzi huo mdogo wa Jimbo hilo baada ya kukaa wazi kwa muda mrefu kutokana na kutenguliwa kwa aliyekuwa Mwakilishi wa jimbo hilo Mhe. Mansoor Yussuf Himid.
Akitangaza matokea hayo ya Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki yalioshirikisha Vyama Sita vya Siasa vilivyosimamisha wagombea wake.
Msimamizi wa Uchaguzi Ndg. Suluhu akitoa matokeo hayo Mgombea wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Mahmoud Thabit Kombo ameshinda kwa Kura 1856, sawa na asilimia 75.1 na kutangazwa mshindi wa Uchanguzi huo Mdogo wa jimbo hilo kuchukuwa nafasi ilioachwa wazi na Mhe. Mansoor Yussuf Himid, aliyevuliwa Uwanachama na CCM na nafasi hiyo kuwa wazi kwa muda hadi kufanyika kwa uchaguzi mdogo leo na kumpata mrithi wa kiti hicho.
Mgombea wa Chama cha CUF Mhe. Abdulmalik Juma Jecha, amepata kura 445, sawa na asilimia 18.3, Mgombea wa Chama cha ADC Mhe. Amani Ismail Rashid amepata kura 84, sawa na asilimia 3.5, Chama hichi ni kipya kimeungwa na Viongozi walioondoka CUF, na hii ni mara ya pili kushiriki Uchanguza tangu kuanzishwa. Kilishiriki uchaguzi wa kwanza kisiwani Pemba katika jimbo la Chambani,Pemba.
Nae Mgombea wa Chama cha CHADEMA Mhe. Hashim Juma Issa,amepata kura 34 sawa na asilimia 1.5, katika uchaguzi huo mdogo wa jimbo la kiembesamaki.Mgombea wa TADEA Ali Mohammed Ali (Mbongo) amepata kura 6 sawa na asilimia 0.3. wakati Mgombea wa Chama cha SAU Mhe. Ramadhani Simai Mwita amepata kura 1 sawa na asilimia 0.1
Kwa matokeo hayo Tume ya Uchaguzi Zanzibar imemtangaza Mgombea wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Mahmoud Thabit Kombo kuwa ni Mshindi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki na anakuwa Mwakilishi halali baada ya ushindi huo.
Kumbe nchi jirani ya zanzibar kulikua na uchaguzi,