CCM kidedea jimbo la Kiembe samaki, yashinda kwa 78%

CCM kidedea jimbo la Kiembe samaki, yashinda kwa 78%

Juliana Shonza

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
2,009
Reaction score
1,609
Katika uchaguzi mdogo wa uwakilishi katika jimbo la kiembe samaki lililopo Mkoa wa Mjini Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Chama Dume, Chama chenye viongozi wanaotumia vichwa kufikiri na kufanya maamuzi kimeibuka mshindi wa jimbo hilo ambapo mgombea wake Ndugu Mahmoud Thabit Kombo ameibuka mshindi kwa kushinda kwa zaidi ya asilimia 78 ya kura zote.

ushindi huo ni salamu kwa chaguzi zingine zinazoendelea kote nchini kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiko imara na tuko seriuos on this business. Hakuna majungu, hakuna u-mungu mtu, huku kazi tu maneno huko huko kwenu.
 
Ufisadi na madhambi ya CCM kwa huko visiwani hauwaathiri kwani wao wana serikali yao na wana CCM wa kizanzibari sio kama wa huku bara.
 
Wewe Juliana haukupelekwa Mbeya kwenye maadhimisho ya CCM kwanini?

Wenzako wanatafuna vinono Mbeya wewe wamekuacha mtandaoni kuripoti matukio tu kwa ujira wa buku saba tu.
 
Ulivyo na damu ya nani hii...sipati picha kwenye hii thread.
 
Aaaah chama makin na viongoz wake wanatuumia kichwa kufukiri.....nakubaliana na we vichwa vyao vinaruhusu mgao kila mwaka ila havijui effect take kweny uzalishaji, vichwa vinavyoruhusu mishahara hewa, vichwa vya tembo hvyo....acha kisifia ujinga we we, mwishowe utakosa mme Wa kukuoa!!!!
 
Nimecheka sana! Nshindi kapata kura zisizofika elfu mbili. Tehe tehe!
 
Katika uchaguzi mdogo wa uwakilishi katika jimbo la kiembe samaki lililopo Mkoa wa Mjini Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Chama Dume, Chama chenye viongozi wanaotumia vichwa kufikiri na kufanya maamuzi kimeibuka mshindi wa jimbo hilo ambapo mgombea wake Ndugu Mahmoud Thabit Kombo ameibuka mshindi kwa kushinda kwa zaidi ya asilimia 78 ya kura zote.

ushindi huo ni salamu kwa chaguzi zingine zinazoendelea kote nchini kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiko imara na tuko seriuos on this business. Hakuna majungu, hakuna u-mungu mtu, huku kazi tu maneno huko huko kwenu.

Duh! BONGO MOVIE & BONGO FLAVA wamealikwa Mbeya kwenye sherehe wewe umeachwa kulikoni? maana hata kwenye kampeni hata moja haujahusishwa umebaki JF kama akina LIZABONI, Ritz, Simiyuyetu yaani hadhi yako imeshuka hadi kuwekwa kwenye kundi la B7. na bado hata mwaka haujaisha.
 
ya Zanzibar yanakuhusu nini wewe? Hilo jimbo lilikuwa la nani awali and what is new ? Tuache tupo busy na M4C OPD matokeo hayatangazwa unalalama
 
Wewe Juliana haukupelekwa Mbeya kwenye maadhimisho ya CCM kwanini?

Wenzako wanatafuna vinono Mbeya wewe wamekuacha mtandaoni kuripoti matukio tu kwa ujira wa buku saba tu.

Ameshachuja sasa, ni kama yule sanamu Tesha wa Mh. Mwingulu. Hao hawakupata nafasi bali vyombo vipya kutoka Bongo fleva.
Poor me, CCM, kweli hatari. Shoza ulivyolalia kile kifua cha mzee kwenye ile picha nilidhani utapata hata ukatibu muhtasi wa DC flani hivi kumbe umebaki kusakanya habari za chaguzi ndogo. Tena nchi ya ugenini? Je ----------- hijab??
 
Wewe Juliana haukupelekwa Mbeya kwenye maadhimisho ya CCM kwanini?

Wenzako wanatafuna vinono Mbeya wewe wamekuacha mtandaoni kuripoti matukio tu kwa ujira wa buku saba tu.

Wewe unaishi dunia gani sasa internet iliojaa ndio tuseme huelewi transmission of data inavofanya kazi au ukilaza mwingi.
Juliana Shonza yupo zake Mbeya huko katika sherehe hizo update wametumiwa na wahusika kutoka Zanzibar
 
Nimecheka sana! Nshindi kapata kura zisizofika elfu mbili. Tehe tehe!

Zanzibar hakuna mijitu mengi hadi kero kama huku Tanganyika bro so usishangae kama jimbo likiwa na idadi ya wapiga kura 4000 tu au 3000
 
Kawaambie wa lumumba wenzio, hizo nchini zanzibar sie hazihusu
 
nani unamuhunga mkono makonda au mgeja au malecela ukitoa msimamo wako apo ntajua wewe jembe
 
bado mnawasiliana na Kapuya...?ile project yake ya iliyozimwa bado inaendelea?
 
Back
Top Bottom