CCM katika ndimi mbili na kutapatapa

CCM katika ndimi mbili na kutapatapa

CCM bila dola kimeshakufa....na dola wanapata kwa Sababu ya udhaifu wa kikatiba
 
Chama cha Mapinduzi CCM kupitia wenyeviti wake wa mikoa, kinafanya ziara wanazoziita "Kukagua Miradi ya Maendeleo na Kuwashukuru Wananchi" na katika shughuli hiyo, wanaweka mikutano na kuzungumza na wananchi katika maeneo hayo.

Mikutano ya kisiasa ya vyama vya mbadala inapigwa marufuku na kupingwa vikali, hizi ni double standards... Vitendo hivi tukiviita Ubakaji wa Demokrasia mnasema tumekosea....

Tanzania ielekezwako yajua yenyewe...
ina mahana hukuelewa kuwa ccm ndo iloelekeza polisi kutoa katazo lile?
 
Chama cha Mapinduzi CCM kupitia wenyeviti wake wa mikoa, kinafanya ziara wanazoziita "Kukagua Miradi ya Maendeleo na Kuwashukuru Wananchi" na katika shughuli hiyo, wanaweka mikutano na kuzungumza na wananchi katika maeneo hayo.

Mikutano ya kisiasa ya vyama vya mbadala inapigwa marufuku na kupingwa vikali, hizi ni double standards... Vitendo hivi tukiviita Ubakaji wa Demokrasia mnasema tumekosea....

Tanzania ielekezwako yajua yenyewe...
Inaelekezwa kubaya. Hata mataifa mengine yalianza hivi na mwishowe leo siyo mahali salama pa kuishi.
 
siioni ccm nje ya dola, narudia tena, nje ya ya dola ccm ni dhaifu mno pengine kuliko hatahao wapinzani. hawawezi kufanya siasa bila msaada wa dola.
Unahuwakika unachokiongea kua wapinzania hawawezi kufanya siasa
 
Kinywa changu nakijua mwenyewe, nikikifungua hapa nitapotea jf.
 
Kuna kipindi watu walipewa mamlaka na wenye mamlaka wakajiona wao ndo wenye mamlaka sasa wenye mamlaka wakaitaji mamlaka yao ndo kama Libya, misri ilivyokua Tunisia sasa DRC congo na Tanzania itafika kipindi tutawanyanganya
 
Unahuwakika unachokiongea kua wapinzania hawawezi kufanya siasa
mkuu naona hatukuelewana, nilimaanisha kuwa ccm isiyo saidiwa na dola ni dhaifu kuliko hata upinzani (upinzani hausaidiwi na dola kufanya siasa zao hivyo tata ccm ikiwekwa kwenye mazingira ya kutosaidiwa na dola itaonekana dhaifu tena zaidi)
 
mkuu naona hatukuelewana, nilimaanisha kuwa ccm isiyo saidiwa na dola ni dhaifu kuliko hata upinzani (upinzani hausaidiwi na dola kufanya siasa zao hivyo tata ccm ikiwekwa kwenye mazingira ya kutosaidiwa na dola itaonekana dhaifu tena zaidi)
Nimekupata mkuu
 
Back
Top Bottom