Kukusanyika uwanjani nakusikiliza ni kuandamanaKuwashukuru wananchi ni tofauti na maandamano ya kupinga tv kutooneshwa live
Sheria za vyamavingi zipo vizuri ni uminyaji wa demokrasiaCCM bila dola kimeshakufa....na dola wanapata kwa Sababu ya udhaifu wa kikatiba
Ndio maana uwezowake unakua mdogo piaCCM KINAISHI KWA KUBEBWABEBWA TU
Wameishiwa kilakitu nimizuka tuuCCM wamekua kama kuku aliyekatwa kichwa, hawana dira wa muelekeo.
ina mahana hukuelewa kuwa ccm ndo iloelekeza polisi kutoa katazo lile?Chama cha Mapinduzi CCM kupitia wenyeviti wake wa mikoa, kinafanya ziara wanazoziita "Kukagua Miradi ya Maendeleo na Kuwashukuru Wananchi" na katika shughuli hiyo, wanaweka mikutano na kuzungumza na wananchi katika maeneo hayo.
Mikutano ya kisiasa ya vyama vya mbadala inapigwa marufuku na kupingwa vikali, hizi ni double standards... Vitendo hivi tukiviita Ubakaji wa Demokrasia mnasema tumekosea....
Tanzania ielekezwako yajua yenyewe...
siioni ccm nje ya dola, narudia tena, nje ya ya dola ccm ni dhaifu mno pengine kuliko hatahao wapinzani. hawawezi kufanya siasa bila msaada wa dola.CCM KINAISHI KWA KUBEBWABEBWA TU
Inaelekezwa kubaya. Hata mataifa mengine yalianza hivi na mwishowe leo siyo mahali salama pa kuishi.Chama cha Mapinduzi CCM kupitia wenyeviti wake wa mikoa, kinafanya ziara wanazoziita "Kukagua Miradi ya Maendeleo na Kuwashukuru Wananchi" na katika shughuli hiyo, wanaweka mikutano na kuzungumza na wananchi katika maeneo hayo.
Mikutano ya kisiasa ya vyama vya mbadala inapigwa marufuku na kupingwa vikali, hizi ni double standards... Vitendo hivi tukiviita Ubakaji wa Demokrasia mnasema tumekosea....
Tanzania ielekezwako yajua yenyewe...
Mkuu mbona nimeelewa sana ungezoma nilichoandika ungenielewa piaina mahana hukuelewa kuwa ccm ndo iloelekeza polisi kutoa katazo lile?
Unahuwakika unachokiongea kua wapinzania hawawezi kufanya siasasiioni ccm nje ya dola, narudia tena, nje ya ya dola ccm ni dhaifu mno pengine kuliko hatahao wapinzani. hawawezi kufanya siasa bila msaada wa dola.
mkuu naona hatukuelewana, nilimaanisha kuwa ccm isiyo saidiwa na dola ni dhaifu kuliko hata upinzani (upinzani hausaidiwi na dola kufanya siasa zao hivyo tata ccm ikiwekwa kwenye mazingira ya kutosaidiwa na dola itaonekana dhaifu tena zaidi)Unahuwakika unachokiongea kua wapinzania hawawezi kufanya siasa
Nimekupata mkuumkuu naona hatukuelewana, nilimaanisha kuwa ccm isiyo saidiwa na dola ni dhaifu kuliko hata upinzani (upinzani hausaidiwi na dola kufanya siasa zao hivyo tata ccm ikiwekwa kwenye mazingira ya kutosaidiwa na dola itaonekana dhaifu tena zaidi)