Karatu si mlijaza uwanja ??Hujuma zinaendelea!
Uwiiiii.....KUBWA: CCM Karatu yarejesha halmashauri baada ya miaka 20.
Wagombea wa udiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) katika Kata tisa kati ya 12 ambazo kura zimemaliza kuhesabiwa wametangazwa kushinda.
Akizungumza na mwandishi msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo, Moris Waziri amesema sasa wanasubiri matokeo ya kata tatu tu ambazo wanakamilisha kuhesabu.
Amesema kata ambazo wanakamilisha kuhesabu ni pamoja na Karatu mjini na muda si mrefu watakamilisha.
Waziri amesema madiwani wawili katika jimbo hilo wa CCM walipita bila kupingwa.
“Tunaendelea kuhesabu kura za ubunge yakikamilika tutatangaza matokeo,” amesema.
Hii ni tanzaniaHata rwanda na burundi chama tawala hawana ulafi huu
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Nyie mkajaza masanduku yenye kura feki.Karatu si mlijaza uwanja ??
Moshi unailinganisha na miji gani kwa maendeleo?Karatu na Moshi wamechagua maendeleo baada ya miaka 20
Ingekua mbali zaidi na ilipoMoshi unailinganisha na miji gani kwa maendeleo?
Najiuliza hii imewezekanaje?Nyie mkajaza masanduku yenye kura feki.
Watanzania kadiri muda unavyozidi kwenda ndo wanakuwa wajuzi wa Mambo hususani katika maendeleo Yao.
Wameamua kuchagua maendeleo na kuachana na propaganda.
Kwanini hao wanaochagua ccm kila siku hawawi mbali mfano songea?Ingekua mbali zaidi na ilipo
Kwa nini wanajisumbua kuhesabu?Wagombea wa udiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) katika Kata tisa kati ya 12 ambazo kura zimemaliza kuhesabiwa wametangazwa kushinda.
Akizungumza na mwandishi msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo, Moris Waziri amesema sasa wanasubiri matokeo ya kata tatu tu ambazo wanakamilisha kuhesabu.
Amesema kata ambazo wanakamilisha kuhesabu ni pamoja na Karatu mjini na muda si mrefu watakamilisha.
Waziri amesema madiwani wawili katika jimbo hilo wa CCM walipita bila kupingwa.
“Tunaendelea kuhesabu kura za ubunge yakikamilika tutatangaza matokeo,” amesema.