Mkuu FMES,
Hakuna ligi hapa, nilichoweka hapo ni changamoto ya swali, not necessarily limeelekezwa kwako, bali wana jamvi pamoja na hao viongozi wa CCM na wajumbe wa CC, ambao wamesema kwamba wanahisi kuwa lengo la JK ni kujikinga na mafisadi ili chama kisije kikaishiwa fedha.
.