kaka udini na ukabila + ukanda mnaopandikiza hautawasaidia na ipo siku mtahukumiwa kwa hili, na ndio maana watu hawawasapoti kwasababu badala ya kujibu kwa hoja nyie huwa mnakimbilia kujibu kwa matusi na na kuujadili udini na ukabila, M4C ni kwa wote bwana na CDM inakubalika kwa wote, we huoni toka kusini mbaka kaskazini, mashariki mbaka magharibi wote ni peoples pawaaaaaaaaaaaa!Kunya anye kuku,akinya bata kaharisha , tumeshawazoea Chadema kwa maneno ya uongo,uzushi,matusi na uchonganishi ! Ndugu watanzania kuna watu wanalipwa posho kwa kazi hiyo pale makao makuu ya chadema wana IDs tofauti totafauti kwa ajili ya kudanganya na kupotosha umma wa watanzania juu ya ukweli wowote wa CCM na serikali yake lengo kuu kuijenga chadema kisiasa hapa nchini ,Watu makini fanyeni tafiti ndogo tu humu humu jamvini mtagundua watoa maada wa chadema na wachangiaji wao posts zao hazina ukweli ni za kisiasa,wachangiaji wao wengi wao huchangia kwa lugha chafu za matusi na kejeli ,hawa ndiyo tuwape nchi haiwezekani ata kidogo ndugu mtanzania mpenda Amani,Umoja na Mshikamano popote ulipo jitahidi kuwaelimisha watanzania wenzako juu ya chadema na wafusi wake kama hawafahi kupewa madaraka ni watu waongo sana,wafitina,ni watu wa kejeli na matusi,wana jazba sana,wadini,wakabila,waroho wa madaraka wako tayari taifa limwage damu wao waingie madarakani,wachochezi wa migomo na fujo zote uzisikiazo hapa nchini kwetu !ndugu mtanzania tusiwakubali hawa Chadema ata kidogo hawafahi kutuongoza,Ni chama cha kidini na kikabila wewe kama mtanzania mzalendo fanya tafiti ndogo mtaani ulipo utagundua asilimia 99.99% ya wachaga wote hapa nchini ni Chadema alafu pia pale makao makuu kuanzia uongozi wa juu wa chama yani Mwenyekiti wao mpaka viongozi wa ngazi ya chini na wafanyakazi wa kawaida yani masekretari,wafagiaji mpaka walinzi kwenye ofisini za chadema asilimia 99.99% ni wachaga na wakiristo! Amkeni watanzania wazalendo popote mlipo elimisheni na wengine kutokuichagua chadema ili kulinda Amani,Umoja Na Mshikamano tulionao watanzania ,Mungu ibariki Tanzania ,Mungu ibariki Afrika! Asanteni
Watu wanapokosa hoja huanza viroja.
Ndiyo maana deni latifa lina zidi kuongezeka..hizo pesa ndiyo hizi zinazo tumika kulipa watu ili wahudhulie mikutano ya CCM....
Mkutano wenyewe wamefanyia sokoni magamba bhana asasi kagawa ela kwa vijana wamitaani
Habari wakuu, ile tabia ya ccm inaendelea, ili kuhakikisha kuwa watu wanajaa kwenye mkutano wao wa iringa leo, wameamua kukodi magari na pikipiki, ninayaandika haya nikiwa na ushahidi coz nina bodaboda yangu pia imekodiwa pamoja na dereva wake.ninachoona ni kuwa ccm haina uhakika na mambo yake ndo maana inawalazimu wabembeleze watu yaani ccm inawahitaji watu wakati watu hawaihitaji ccm.mkakati huu wa kutafuta watu wa kujaza mkutano umepamba moto hasa ukizingatia jana CHADEMA watu walifurika mno kwenye mkutano wao.
ushauri wangu.ccm jitafakarini kinachowafanya mpoteze mvuto kiasi hiki, najua mnajua ila mmeuchuna tu, hii tabia ya kuoneana haya na kulindana ndo inazidi kuwachimbia kaburi.vijijini ndo ilikuwa ngome yenu kuu lakini hata huko siku hizi hawawataki kabisa hata kuwaona, viongozi wenu wa matawi na mashina hawakotayari kufanya kazi coz hamuwajali kwa chochote.siku hizi ni fedheha kuvaa manguo yenu maana ukivaa unaonekana msaliti mbele ya jamii na mbele ya nchi yako.
CCM MKAE MKIJUA KUWA WATU WAMECHOSHWA NA UTAWALA WENU WA KIDHALIMU USIOKIDHI HAJA NA MATAKWA YA WALIOWAPA LIDHAA YA KUONGOZA.
Haaah haah haah! Imetulia, Basi na Wassira kaletwa!...ukimwona nyani katikati ya mji jua ameletwa...
Mbona umekuwa mkali hivyo k.i.m.a wee! Magamba hamna mvuto. SHUT UP!Tumeshawazoea kwa uongo,uzushi,uchochezi,majungu,mipasho,matusi,kejeli,lalama, mnakula posho kwa kazi hiyo mtu mmoja ana IDs tofauti tofauti kwa ajili ya kazi ya kudanganya na kupotosha umma wa watanzania ili kuijenga Chadema kisiasa,watanzania wanawaelewa sasa hivi huwa wanakuja kwenye mikutano kuwashangaa jinsi mnavyokosa hekima na busara kwa kusema uwongo na kutoa uchochezi kwa watanzania dhidi ya viongozi wa taifa hili ambao waliwachagua wenyewe!
Mkuu operation jaza uwanja ni Kati operation zinazotumia hela kuliko hata kujenga barabara kwasababu kupata watu wa kujaza sq meter mbili si chini ya milioni moja hayo ndio mahesabu wanayotumia ccm
Mbona umekuwa mkali hivyo k.i.m.a wee! Magamba hamna mvuto. SHUT UP!
Habari wakuu, ile tabia ya ccm inaendelea, ili kuhakikisha kuwa watu wanajaa kwenye mkutano wao wa iringa leo, wameamua kukodi magari na pikipiki, ninayaandika haya nikiwa na ushahidi coz nina bodaboda yangu pia imekodiwa pamoja na dereva wake.ninachoona ni kuwa ccm haina uhakika na mambo yake ndo maana inawalazimu wabembeleze watu yaani ccm inawahitaji watu wakati watu hawaihitaji ccm.mkakati huu wa kutafuta watu wa kujaza mkutano umepamba moto hasa ukizingatia jana CHADEMA watu walifurika mno kwenye mkutano wao.
ushauri wangu.ccm jitafakarini kinachowafanya mpoteze mvuto kiasi hiki, najua mnajua ila mmeuchuna tu, hii tabia ya kuoneana haya na kulindana ndo inazidi kuwachimbia kaburi.vijijini ndo ilikuwa ngome yenu kuu lakini hata huko siku hizi hawawataki kabisa hata kuwaona, viongozi wenu wa matawi na mashina hawakotayari kufanya kazi coz hamuwajali kwa chochote.siku hizi ni fedheha kuvaa manguo yenu maana ukivaa unaonekana msaliti mbele ya jamii na mbele ya nchi yako.
CCM MKAE MKIJUA KUWA WATU WAMECHOSHWA NA UTAWALA WENU WA KIDHALIMU USIOKIDHI HAJA NA MATAKWA YA WALIOWAPA LIDHAA YA KUONGOZA.
Unajamba maputo tu hapa,
hata ueleweki unakiwewe au kitu gani! maana hata uandishi wako
unaonekana ni kilaza wa wiki.
Waacheni wajiridhishe wakati wanasubiria maziko yao 2015.
CCM inakodisha magari na pikipiki, nyie mmeuziwa mafuso mtumba mawili kwa million mia tatu hamsini (350,000,000).
Halafu kila mkutano mnachangishwa kila mkutano bila kuoneshwa matumizi ya fedha yenu. Hamuoneshwi fedha ya ruzuku inayotoka Serikalini inavyotumika, hamuoneshwi fedha za msaada wa kutoka chama cha kikristo cha siasa cha ujerumani zinavyotumika.
Wakati huohuo tunajionea Katibu Mkuu akijenga jumba la kifahari, Dar ambapo sio kwao, (jumba lake, sio la chama, lakini linajengwa na chama). Wakati huohuo tunaona mpaka hausi geli wa geli frendi wake akilipwa perdiem zaidi ya laki kwa siku (kuliko Mbunge), akilazwa hoteli ya nyota 5 kwa zaidi ya laki tatu kwa siku, wote hausi geli na gelifrendi, kwa fedha ya chama. Dahhh.
Badala ya nyinyi kuhoji yote hayo, mnakaa kutazama CCM wanakodisha nini. Ni watu wa ajabu sana.