huo ndio ukweli wa mamboNimefanya utafiti kwa watu 500 kwa siku 20.
Katika kila vijana 10. 9 Chadema 1 Ccm
Katika kila wazee 10. 7 Chadema 3 ccm
Kingine
Habari yeyote iandikwayo kwenye ukurasa wa mbele katika magazeti ya kila siku.
Kama inahusu CCM, mauzo ya siku upungua kati ya asilimia 15 mpaka 25
Ambayo inausu Chadema, mauzo uongezeka kati ya asilimia 7 mpkaka 10
Utafiti huu, nimeufanya katika wilaya ya Temeke ambapo ina wabunge wa CCM tu.
Nakushauri urudi hapa Dec 2015, utalipata jibu na kwa mshangao wako CCM itashinda.
Nakushauri urudi hapa Dec 2015, utalipata jibu na kwa mshangao wako CCM itashinda.
Nakushauri urudi hapa Dec 2015, utalipata jibu na kwa mshangao wako CCM itashinda.
2015 nitakuuliza hapo vipi. Nitabandika huu uzi, usikimbie.
Nakushauri urudi hapa Dec 2015, utalipata jibu na kwa mshangao wako CCM itashinda.
Nimefanya utafiti kwa watu 500 kwa siku 20.
Katika kila vijana 10. 9 Chadema 1 Ccm
Katika kila wazee 10. 7 Chadema 3 ccm
Kingine
Habari yeyote iandikwayo kwenye ukurasa wa mbele katika magazeti ya kila siku.
Kama inahusu CCM, mauzo ya siku upungua kati ya asilimia 15 mpaka 25
Ambayo inausu Chadema, mauzo uongezeka kati ya asilimia 7 mpkaka 10
Utafiti huu, nimeufanya katika wilaya ya Temeke ambapo ina wabunge wa CCM tu.
Watu 500 uliwapata wapi ndugu? kwenye ma BAR? Mashuleni? Vituo vya mabasi? Hospitali?
Uliwapa Questionaire wakajaza kwa siri au uliuliza wakati rafiki zao wanasikiliza?
Nakushauri urudi hapa Dec 2015, utalipata jibu na kwa mshangao wako CCM itashinda.
kama ilivyokuwa arumeru na ile chupuchupu ya igunga baada ya kugawa mahindi ya kutosha