Commodores
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 289
- 335
Mwanaume kabisa unaandika mada kama hii?Baadhi ya watu, nikiwemo mimi, tumekuwa tukiamini kuwa mtaji mkubwa wa CCM katika ushindani wa kisiasa nchini ni ujinga wa wananchi.
Kwamba, kuna sehemu kubwa ya wananchi ambao ni wajinga ama kwa kutokutaka au kupenda kufuatilia mambo vizuri au kwa kuwa na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo na hivyo kupelekea kurubuniwa na CCM pindi msimu wa uchaguzi unapokaribia ili wakipe kura chama hicho.
Tumekuwa tukiiamini sana nadharia hiyo kwa sababu tunaamini kuwa ni vigumu sana kwa mtu na akili zake timamu kuendelea kuiunga mkono CCM licha ya uborongaji wake.
Lakini, mimi binafsi nadhani mtaji wa kisiasa wa CCM si ujinga peke yake. Naamini pia uoga wa Watanzania nao ni bonge la mtaji kwao.
Sisi Watanzania ni waoga sana. Tunaogopa mno dola. Tukisikia tu polisi au jeshi, basi tunaanza kutetemeka.
Nyakati zingine huwa nikiangalia jinsi ambavyo watu wa mataifa mengine wanavyopambana na polisi huwa nabaki mdomo wazi.
Unakuta waandamanaji wanazipiga na polisi katikati ya barabara. Tena hawaogopi kabisa. Sasa mambo kama hayo hapa kwetu sidhani kama yanaweza kutokea. Na ndo maana huwa tukitishwa kidogo tu tunaogopa.
Hatuna kabisa ujasiri wa kuidindia serikali. Hatuna ujasiri wa kupigana na ma askari polisi kama wafanyavyo watu wa mataifa mengine.
Uoga wetu huu ndo unanifanya niamini kuwa CCM inaweza kutawala nchi hata kwa zaidi ya karne nzima.
Je, uoga tulionao nao ni sehemu ya ndivyo tulivyo ama?
mmmh.mzee hapo kwenye damu mtihani.Kwa kiasi uko sawa lakini utaipataje tume huru?! Amini usiamini ni mpaka damu tena ya kutosha!! CCM hawawezi kukubalia tume huru wanajuwa watakuwa wameisha!!
Pili ni kuhusu nchi zilizopiga hatua na hasa Africa ktk chaguzi huru na hata ki uchumi ni zile walizouana na kupinduana kwa sana . Nchi za Africa magharibi sasa hivi wako vizuri , mpinzani akishinda anapewa bila shida mf. Nigeria, Senegal, Ghana, na zile zilizojaribu kung'ang'ania viongozi walifurushwa na ECOWAS. Lakini Africa mashariki, tunajifanya tuna amani na huku tunaongozwa na madikteta, wasiotaka upinzani kwao sawa na uasi .
Sasa udikteta utauondoa kwa sala ???!!!!
mkuu kwani CCM kuongoza miaka yote NI KOSA?Udhaifu uliopo kwenye vyama vya Upinzani ndio utafanya CCM itawale karne nyingi.
Huwezi kufanya kampeni kwa kutafuta kura za huruma. Mie binafsi naamini na mapungufu ya CCM kwasasa Tanzania hakuna chama mbadala ambacho kinafaa kupewa madaraka
Hawatatenda kama unavyofikiri hata siku moja. Omba uhaimmmh.mzee hapo kwenye damu mtihani.
napenda nchi ifate sheria,miongozo na taratibu tulizojiwekea.lakini si kwa kushika mapanga.
ni kuamua tu kuisimamisha demokrasia na tuifate.
na kikubwa upinzani usichukuliwe kama ni uadui.
wote lengo letu ni kuijenga Tanzania.
tushirikiane.tukosoane.pia turekebishane pale tunapoona mambo hayaendi sawa.NEC NAO WATENDE HAKI
Hata hizo nchi unazozisifia kwamba sio waoga, walianza taratibu, na kuna vitu vilipelekea wakafikia hiyo hatua.
Naamini hata hapa kwetu kama hivyo vitu viliyopelekea watu wakapoteza uoga vikiendelea, woga utaisha na usishangae yakatokea kama yanayoendelea mataifa mengine.
Lakini kwanini uoga uangaliwe kwenye eneo moja tu la kupambana hasa kupigana na polisi au vyombo vya dola? CCM inaweza kutolewa madarakani kwa njia nyingi tu bila hata kupambana na polisi kwa mabavu.
naamini demokrasia ya Zimbabwe na SA.IPO siku itafika kwetu.Hawatatenda kama unavyofikiri hata siku moja. Omba uhai
Shauri yako na utabaki tu zamazanguNina mashaka na IQ yako. Unakijua unachoongea au?
Nani anapigana na Polisi. Polisi ndio wanatumiwa na CCM. POLEKwanini unataka kupigana na Polisi?
Polisi wanapiga kura?
Tatizo lako lipo ktk box la kura
Wapo wanaoipigia kura CCM na ni wengi.
Huwezi kushinda uchaguzi kwa kupigana na Polisi.
Si rahisi kwa ccm hawa kuachia Tume huru ya uchaguzi pna katiba itakayotoa fair kwa wapinzani wao[emoji40] [emoji23] [emoji12] !!naamini demokrasia ya Zimbabwe na SA.IPO siku itafika kwetu.
siasa sio uadui.
SIO MPAKA TUUANE NDO TUONEKANE TUNATAKA KUIJENGA NCHI YETU.
kikubwa NEC huru.
MTU ashinde na kushindwa kihalali.
ugumu unatoka wapi?
Hivi mnahamasishana kuanza kupigana na serikali! Mmechoka na amani?Baadhi ya watu, nikiwemo mimi, tumekuwa tukiamini kuwa mtaji mkubwa wa CCM katika ushindani wa kisiasa nchini ni ujinga wa wananchi.
Kwamba, kuna sehemu kubwa ya wananchi ambao ni wajinga ama kwa kutokutaka au kupenda kufuatilia mambo vizuri au kwa kuwa na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo na hivyo kupelekea kurubuniwa na CCM pindi msimu wa uchaguzi unapokaribia ili wakipe kura chama hicho.
Tumekuwa tukiiamini sana nadharia hiyo kwa sababu tunaamini kuwa ni vigumu sana kwa mtu na akili zake timamu kuendelea kuiunga mkono CCM licha ya uborongaji wake.
Lakini, mimi binafsi nadhani mtaji wa kisiasa wa CCM si ujinga peke yake. Naamini pia uoga wa Watanzania nao ni bonge la mtaji kwao.
Sisi Watanzania ni waoga sana. Tunaogopa mno dola. Tukisikia tu polisi au jeshi, basi tunaanza kutetemeka.
Nyakati zingine huwa nikiangalia jinsi ambavyo watu wa mataifa mengine wanavyopambana na polisi huwa nabaki mdomo wazi.
Unakuta waandamanaji wanazipiga na polisi katikati ya barabara. Tena hawaogopi kabisa. Sasa mambo kama hayo hapa kwetu sidhani kama yanaweza kutokea. Na ndo maana huwa tukitishwa kidogo tu tunaogopa.
Hatuna kabisa ujasiri wa kuidindia serikali. Hatuna ujasiri wa kupigana na ma askari polisi kama wafanyavyo watu wa mataifa mengine.
Uoga wetu huu ndo unanifanya niamini kuwa CCM inaweza kutawala nchi hata kwa zaidi ya karne nzima.
Je, uoga tulionao nao ni sehemu ya ndivyo tulivyo ama?
Tatizo sio kutawala Karne au karne mbili. Tatizo jee itatuletea yale maendeleo tunayoyatarajia wengi?Baadhi ya watu, nikiwemo mimi, tumekuwa tukiamini kuwa mtaji mkubwa wa CCM katika ushindani wa kisiasa nchini ni ujinga wa wananchi.
Kwamba, kuna sehemu kubwa ya wananchi ambao ni wajinga ama kwa kutokutaka au kupenda kufuatilia mambo vizuri au kwa kuwa na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo na hivyo kupelekea kurubuniwa na CCM pindi msimu wa uchaguzi unapokaribia ili wakipe kura chama hicho.
Tumekuwa tukiiamini sana nadharia hiyo kwa sababu tunaamini kuwa ni vigumu sana kwa mtu na akili zake timamu kuendelea kuiunga mkono CCM licha ya uborongaji wake.
Lakini, mimi binafsi nadhani mtaji wa kisiasa wa CCM si ujinga peke yake. Naamini pia uoga wa Watanzania nao ni bonge la mtaji kwao.
Sisi Watanzania ni waoga sana. Tunaogopa mno dola. Tukisikia tu polisi au jeshi, basi tunaanza kutetemeka.
Nyakati zingine huwa nikiangalia jinsi ambavyo watu wa mataifa mengine wanavyopambana na polisi huwa nabaki mdomo wazi.
Unakuta waandamanaji wanazipiga na polisi katikati ya barabara. Tena hawaogopi kabisa. Sasa mambo kama hayo hapa kwetu sidhani kama yanaweza kutokea. Na ndo maana huwa tukitishwa kidogo tu tunaogopa.
Hatuna kabisa ujasiri wa kuidindia serikali. Hatuna ujasiri wa kupigana na ma askari polisi kama wafanyavyo watu wa mataifa mengine.
Uoga wetu huu ndo unanifanya niamini kuwa CCM inaweza kutawala nchi hata kwa zaidi ya karne nzima.
Je, uoga tulionao nao ni sehemu ya ndivyo tulivyo ama?
Baadhi ya watu, nikiwemo mimi, tumekuwa tukiamini kuwa mtaji mkubwa wa CCM katika ushindani wa kisiasa nchini ni ujinga wa wananchi.
Kwamba, kuna sehemu kubwa ya wananchi ambao ni wajinga ama kwa kutokutaka au kupenda kufuatilia mambo vizuri au kwa kuwa na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo na hivyo kupelekea kurubuniwa na CCM pindi msimu wa uchaguzi unapokaribia ili wakipe kura chama hicho.
Tumekuwa tukiiamini sana nadharia hiyo kwa sababu tunaamini kuwa ni vigumu sana kwa mtu na akili zake timamu kuendelea kuiunga mkono CCM licha ya uborongaji wake.
Lakini, mimi binafsi nadhani mtaji wa kisiasa wa CCM si ujinga peke yake. Naamini pia uoga wa Watanzania nao ni bonge la mtaji kwao.
Sisi Watanzania ni waoga sana. Tunaogopa mno dola. Tukisikia tu polisi au jeshi, basi tunaanza kutetemeka.
Nyakati zingine huwa nikiangalia jinsi ambavyo watu wa mataifa mengine wanavyopambana na polisi huwa nabaki mdomo wazi.
Unakuta waandamanaji wanazipiga na polisi katikati ya barabara. Tena hawaogopi kabisa. Sasa mambo kama hayo hapa kwetu sidhani kama yanaweza kutokea. Na ndo maana huwa tukitishwa kidogo tu tunaogopa.
Hatuna kabisa ujasiri wa kuidindia serikali. Hatuna ujasiri wa kupigana na ma askari polisi kama wafanyavyo watu wa mataifa mengine.
Uoga wetu huu ndo unanifanya niamini kuwa CCM inaweza kutawala nchi hata kwa zaidi ya karne nzima.
Je, uoga tulionao nao ni sehemu ya ndivyo tulivyo ama?