CCM itaondoka madarakani

CCM itaondoka madarakani

Wale wote mnaosubiri kwa matumaini kuwa kuna siku CCM itaondoka madarakani, mtasubiri sana.

Kwenye jamii tuna watu wa aina 2, the wishful thinkers, the day dreamers and the realists.
The dreamers ndio wanao dream mchana kuwa kuna siku CCM itaondoka madarakani.

Ma realists tunasimama na ukweli, kuwa CCM itatawala milele
P
Hakuna marefu yasiyo na ncha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr P sometimes I say you are intelligent but today I have changed my mind. Give ccm 5 years and it will not be there! Waccm wengi mioyoni ni Chadema ama CUF! Want to bet?
Intelligence is something that is there, hivyo kama mtu ni really intelligent, then he is hata kama sometimes anaweza kufanya foolish things, Sir Isaack Newton, katika kufanya experiment ya yao linachukua
muda gani kuanza kuchemka kwenye room temperature.
Aliweka saa kwenye Bunsen banner na kushika yai mkononi, time ya chakula ilipofika, wife wake akamuita akasema anakuja, wife anasubiria mezani mtu haji, ndio akaingia kwenye lab yake na kukuta mtu kaweka yai mkononi na saa kwenye sufuria, akamuuliza mbona huji chakula kinapoa, Newton akajibu anapima muda wa yai kuanza kuchemka, mke akacheka sana na kumwambia mbona yai ndio umelishika, unachemsha saa!.

Hata Archimedes alipogundua the law of floatation, alikuwa bafuni anaoga kwenye bath tub, alitoka hivyo hivyo kama alizaliwa, mbio mtaani huku akipiga kelele "Eureka Eureka" maana yake nimegundua nimegundua.

Hivyo nimefute tuu kwa sababu ulidhania mimi ni intelligent, ila ukweli wangu utajapobakia kuwa ndio ukweli wenyewe halisi uliopo, utarudisha heshima.

Sii wengi wanaojua kuwa politics is a science na inafuata scientific methods, hivyo mtu yoyote anayesema ipe CCM miaka 5 tuu uone, huyo ni anaota zaidi hata ya Alinacha!. Hiyo miaka 5 ya CCM kuondoka, halafu ndio aje nani?!.

Mwenzenu nimefanya trend reading, kama 2020 upinzani nchini unakuwa wiped completely,


Hesabu zangu za chini ni CCM labda itaanza kutikiswa
P
 
Pascal. Mi nauweka huu uzi subscription kwa sababu ya comment yako hii.

Hakuna aliyedhani KANU itavurugika. Ipo siku CCM watagombana na kugawana Chama na ndio utakuwa mwisho wao.

Tuombe uzima.

Sent using my Nokia Torch
Thanks, all the best.
P
 
Paschal Mayala sio msomi, ni mjinga mmoja anayewadanganya wajinga wenzie, ndo maana hatujishughulishi kumjibu ujinga wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna popote nimejiita msomi.
Hili la mjinga mmoja, anayewadanganya wajinga wenzie, ni kweli, kwa sababu hili la ujinga sio la kwangu, ulifanyika utafiti kabisa kuhusu hali ya afya ya akili ya Watanzania.
Unaweza kukuta mimi ninayeusema ukweli wa CCM kutawala milele ni kweli ni mjinga fulani, lakini ukakuta anayeamini kwa sheria zetu, na tume yetu na mazingira ya kisiasa yaliyopo nchini kwetu awamu hii, anayeamini kuna chama kinaweza kushindana na CCM kikashinda, huyo sio mjinga, bali ni sio mzima.
https://www.jamiiforums.com/threads...-vichaa-wengi-kuliko-tunavyojidhania.1182591/
Watu hawa tunao wengi sana, hivyo ushijeshangaa kujikuta nzotangai ni mmoja wetu.
P
 
Uliwahi kuwaza kwamba chadema itambeba mtu ambae system yenyewe imemtema, alafu wao eti wanataka ndio awe rais wao

Sent using Jamii Forums mobile app
System gani imemtema, wenye mawazo mbadala system yenu haiwataki, Chukueni akina waitara maskini wa fikra na kuwapa uwaziri. Lowa amerudi ngojeeni aukwae uwaziri mkuu na wewe upo unashangailia waoneaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tukiacha ujinga baadhi yetu itaondoka

13SEPTEMBER

Kuondoa Serikali madarakani huwa si makubaliano ya watu wote ndani ya nchi bali kikundi cha watu kadhaa - wanufaika wa mfumo siku zote hawatakuunga mkono - Tanzania hatujafikia hatua ya kufanya mapinduzi kwa kuwa viongozi wetu wanasimamia misingi imara ya kutumikia umma
 
Kuondoa Serikali madarakani huwa si makubaliano ya watu wote ndani ya nchi bali kikundi cha watu kadhaa - wanufaika wa mfumo siku zote hawatakuunga mkono - Tanzania hatujafikia hatua ya kufanya mapinduzi kwa kuwa viongozi wetu wanasimamia misingi imara ya kutumikia umma
Fisiemu bhana

13SEPTEMBER
 
Wale wote mnaosubiri kwa matumaini kuwa kuna siku CCM itaondoka madarakani, mtasubiri sana.

Kwenye jamii tuna watu wa aina 2, the wishful thinkers, the day dreamers and the realists.
The dreamers ndio wanao dream mchana kuwa kuna siku CCM itaondoka madarakani.

Ma realists tunasimama na ukweli, kuwa CCM itatawala milele
P
we jamaaa kweli kiazi,

Umesema kuna watu wa aina 2

Then umeandika, day dreamers, wishfull thinkiers na realistic

Halafu unajiita realistic

Punguwan wahed!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu nimejiunga JF, mimi ni mkweli siku zote, kosa langu ni kusema ukweli.

Na hii ndio tofauti kuu kati ya wasomi, the elite ones and the lumpenproletariat. The elites wanatumia theories na formulas, sisi ngumbaro tunaongozwa na simple reality.

Tena ukweli pia uko wa aina mbili, the "ought" and the "is".
Ukweli halisi ni is.
Naomba nikuongezee nondo
P
eti nondo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fisiemu bhana

13SEPTEMBER

Ni maoni ambayo hayafungamanishwi na chama cha siasa - maoni huru kabisa - kwani kwa mtizamo wako unadhani ipo siku kutatokea watu wote waandamane dhidi ya serikali iliyoko madarakani?

Few people with common interest hufanya hivyo
 
Kwa hali ninavyo iyona Africa,wananchi wakipata muamko mkubwa wa kifkra, naamini ipo siku ccm itaondoka madarakani tena kwa nguvu za umma.

Kwa sababu serikali imekuwa ikitumia nguvu kubwa katika kuminya haki za binadamu, kisiasa na kijamii.

Watanzania hawako huru kuhoji, kushiriki katika maamuzi makubwa ya uwongozi.
Mfano mchakato wa kupata katiba mpya
Uchaguzi huru
Uminywaji wa vyombo vya habari na vitisho.

Kuna mpango ambao upo njiani rais kuongezewa muda wa madaraka.
mawazo finyu yaan hili la Algeria na Sudan limewatia ndimu mmesahau wale wamekaa si chini ya miaka 30. Rais MAGUFULI ndio kwanza ana miaka minne kwenye Chama Giant kinachojielewa ambacho wanapokezana madaraka. Mtasubiri sana labda 50 years to come ndio mjaribu bahati yenu
 
Back
Top Bottom