Hahahhaha unachekesha..wewe unawazungumzia watanzania gani ambao hawako huru..au wale walio jela..??? Kwa taarifa yako tu watanzania wa leo sio wale unaowadhania wewe...asilimia 90 ya watanzania wapo nyuma ya Magufuli na chama chake ambao wanatekeleza ilani ya chama cha ccm...na kwa jinsi wanavyotekekeza kuna haja gani ya kuitoa ccm madarakani..kwani kuna zamu ya kula hapa..! Au umeona kuwe na zamu ya kutajirishana...madua yenu yataishia majumbani mwenu..kaeni na waume zenu mtafakari namna ya kufanya kazi...mjenge taifa kiuchumi..watanzania walikesha na kuomba kumpata rais kama huyu na Mungu amesikia maombi..upo.!!! Nyinyi madalali ww makinikia msubiri mpaka labda 2050 huko..subirini kwanza tujenge uchumi..ndio kipao mbele cha wananchi zaidi ya asilimia 90..na sio vipao mbele vya kupeana cheo au madaraka...Kwa hali ninavyo iyona Africa,wananchi wakipata muamko mkubwa wa kifkra, naamini ipo siku ccm itaondoka madarakani tena kwa nguvu za umma.
Kwa sababu serikali imekuwa ikitumia nguvu kubwa katika kuminya haki za binadamu, kisiasa na kijamii.
Watanzania hawako huru kuhoji, kushiriki katika maamuzi makubwa ya uwongozi.
Mfano mchakato wa kupata katiba mpya
Uchaguzi huru
Uminywaji wa vyombo vya habari na vitisho.
Kuna mpango ambao upo njiani rais kuongezewa muda wa madaraka.