CCM itaondoka madarakani

CCM itaondoka madarakani

GHIBUU

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
4,432
Reaction score
3,016
Kwa hali ninavyo iyona Africa,wananchi wakipata muamko mkubwa wa kifkra, naamini ipo siku ccm itaondoka madarakani tena kwa nguvu za umma.

Kwa sababu serikali imekuwa ikitumia nguvu kubwa katika kuminya haki za binadamu, kisiasa na kijamii.

Watanzania hawako huru kuhoji, kushiriki katika maamuzi makubwa ya uwongozi.
Mfano mchakato wa kupata katiba mpya
Uchaguzi huru
Uminywaji wa vyombo vya habari na vitisho.

Kuna mpango ambao upo njiani rais kuongezewa muda wa madaraka.
 
Kwa hali ninavyo iyona Africa,wananchi wakipata muamko mkubwa wa kifkra, naamini ipo siku ccm itaondoka madarakani tena kwa nguvu za umma.

Kwa sababu serikali imekuwa ikitumia nguvu kubwa katika kuminya haki za binadamu, kisiasa na kijamii.

Watanzania hawako huru kuhoji, kushiriki katika maamuzi makubwa ya uwongozi.
Mfano mchakato wa kupata katiba mpya
Uchaguzi huru
Uminywaji wa vyombo vya habari na vitisho.

Kuna mpango ambao upo njiani rais kuongezewa muda wa madaraka.
Absolutely true

Hatujui siku wala saa......

Lakini ni lazima kwa namna CCM inavyoendesha nchi hii kibabe, kwa kuisigina Katiba na kutoheshimu haki za binadamu, kwa kutumia vyombo vyake vya dola vya Polisi, Usalama wa Taifa na watendaji wake ambao ni makada wa CCM, hakika CCM nayo ipo njiani kukabidhi madaraka
 
Unadhani CCM inapendwa?swala Ni kwanza hamna upinzani ambao unaweza kuwaaminisha wananchi kwamba unaweza kuongoza nchi,usilopoke chadema tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unadhani CCM inapendwa?swala Ni kwanza hamna upinzani ambao unaweza kuwaaminisha wananchi kanga unaweza kuongoza nchi,usilopoke chadema tu
Sent using Jamii Forums mobile app
wananchi hawajachakazwa kufikia mapinduzi ya kisiasa. Bado ukiwa na sh 1000 unapata ugali, pesa za kufisadi zipo. Ikifikia mwananchi siku 3 hujala hazina imekauka, tuwasiliane.
 
Wale wote mnaosubiri kwa matumaini kuwa kuna siku CCM itaondoka madarakani, mtasubiri sana.

Kwenye jamii tuna watu wa aina 2, the wishful thinkers, the day dreamers and the realists.
The dreamers ndio wanao dream mchana kuwa kuna siku CCM itaondoka madarakani.

Ma realists tunasimama na ukweli, kuwa CCM itatawala milele
P
 
CCM ni imara. Kinapendwa na wananchi. Kinahudumia kila mtu. Chama kisafi, hakina mafisadi.

Kitadumu madarakani miaka mia ijayo.

Hakuna chama ama tasisi mbadala wa CCM
 
Muda haujafika kabisaaaaaaaa
Kwa miaka mingi mbele

Labda akina na mie tuingie kwente siasa kama upinzani.
 
Wale wote mnaosubiri kwa matumaini kuwa kuna siku CCM itaondoka madarakani, mtasubiri sana.
Nilidhani haitotokea kumbe tu ni kusubiri sana. Hakuna shida kama gharama ni kusubiri, lakini ikifika siku imefika
 
Back
Top Bottom