Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
Ukifuatilia mikutano ya JPM na TL utagundua there is a strong dark energy flowing between these two.
Na hiyo dark energy inaweza kuleta madhara makubwa sana kwa Taifa letu Teule la Tanzania, Taifa pekee hapa duniani lililoondosha Corona kwa Maombi tu.
====
Kimsingi Tundu Lissu ni mdogo sana kwa JPM kwa zaidi ya miaka 8, hivyo hakuna uwezekano wowote hawa wawili hawapatani kwa sababu wamekaribiana umri. In fact , Tundu Lissu akikutana na JPM leo, anatakiwa kusalimia. Yaani Shikamoo.
>>>>>>>>>Hata hivyo, Tundu Lissu amekuwa akimshambulia sana JPM na hakubaliani kabisa na style ya uongozi wa JPM from day one huku akiamini kwamba JPM hana Fundamental Characters Ethics za kuwa Rais wa JMT.
Halikadhalika, TL anaamini kwamba JPM ni mbinafsi na anatumia madaraka yake kunufaisha kijijini kwao, kijiji ambacho huenda kikawa ni makazi ya popo baada yake. Kadhalika , TL amekuwa akimnanga JPM kuwa hata kiswahili hajui achilia mbali Englishi , kwamba havutii hata kumsikiliza, na kusema kwamba, kama anabisha basi aje kwenye Mdahalo nae.
Kwa kauli tajwa hapo juu , ni dhahiri kwamba this is more than politics, huenda wengi wakawa wanafurahi tu wakiamini ndio siasa na kumekucha juu ya Kampeni.
===
JPM ameendelea kuamini na kutuaminisha kwamba TL ni MNAZI anayetumika na wazungu kuliharibu taifa la TZ.
Katika utawala wa JPM, ukisikia neno BEBERU, basi jua huyu ni Tundu Lissu. Lakini ni TL huyu huyu aliyekuwepo kwenye utawala wa JK, kwanini neno BEBERU halikutumika dhidi yake?
===
Ni ugomvi binafsi ambao mimi na wewe hatujui sababu ya ugomvi huo, ila hakika ya bayana ni kwamba kuna ugomvi mkubwa baina ya wawili hawa na ugomvi huo umehusisha mpaka vyombo vya ulinzi na usalama na kuufanya kuwa ni ugomvi wa mtu mmoja dhidi Serikali.
Kwamba tunaambiwa mtu 1 anatumika na BEBERU kuharibu nchi yetu. Hii imeshakuwa ni Imani kwa Tanzania.
People believe what they wanna believe!
===
Moja ya kitu ambacho Serikali yangu ya Chama Cha Magufuli (CCM) itaendelea kupata upweke na kuendelea kumpa TL nguvu ambayo inaweza kutuletea shida na kumpa DOA JPM ni kushindwa kutoa Empirical Evidence juu ya shambulio la Lissu( Kijana wa Kisingida)
Shambulio hilo ndio siri ya umaarufu wa kijana huyu wa ki Singida ambae amekuwa akitumia Shambulio hilo kama fimbo ya kutuchapia kwenye vichwa vyetu.
Amepata HURUMA kubwa ya wananchi kila anapoenda huku akizidi kuwaaminisha wananchi kwamba the Assassination attempt was an inside job.
Sidhani kama Serikali na Chama Cha Magufuli( CCM) kimefikiria kwa MAPANA mustakabali wa hiki kinachoendelezwa na TL....
Hili Gap la kutowawajibisha wahusika Litazamwe kwa mapana. -------linaweza kutumiwa vibaya na watu wasiojulikana na kuzidi kuchafua hali ya Hewa.
Hivyo basi, vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hasa TISS ambao wamekuwa wakishukiwa sana kwenye matukio kama haya visafishwe ikiwa ni pamoja na kufanya kazi kwa mujibu wa maagizo yenye weledi.
Hakuna watu wanaofanya kazi kwa Upendo na Nidhamu kama TISS ambapo moja ya mafunzo ni kuimarisha unyenyekevu na mapenzi yenye huruma baina ya mtu na mtu.
===
Kwa Hitimisho, ni nani Tundu Antiphas M Lissu?
What is Tundu, what is Lissu in his own Language?
Is he the only person among the family members using tribal names?
What is Antiphas ? What is Mughwai?
Tundu Antiphas Mughwai Lissu
Je, ni mwana wa Mungu aliyeshinda Mauti au
ni Mjumbe wa Kimila aliyechanjia na kunuia juu ya kifo
>>Kwamba Kifo changu hakitosababishwa na Risasi,
>>kwamba Kifo changu hakitosababishwa na Bomu ,
>>Kwamba Kifo changu hakitosababishwa na ajali
>>Kwamba atakayejaribu kuniua kwa mara ya pili, kwa nuio hili atatangulia yeye kwanza kabla ya mimi kushinda Umauti kwa mara ya pili na mara nyingine tena for as long as death is a shame, a bread of a shame.
====
Kimsingi Tundu Lissu ni mdogo sana kwa JPM kwa zaidi ya miaka 8, hivyo hakuna uwezekano wowote hawa wawili hawapatani kwa sababu wamekaribiana umri. In fact , Tundu Lissu akikutana na JPM leo, anatakiwa kusalimia. Yaani Shikamoo.
>>>>>>>>>Hata hivyo, Tundu Lissu amekuwa akimshambulia sana JPM na hakubaliani kabisa na style ya uongozi wa JPM from day one huku akiamini kwamba JPM hana Fundamental Characters Ethics za kuwa Rais wa JMT.
Halikadhalika, TL anaamini kwamba JPM ni mbinafsi na anatumia madaraka yake kunufaisha kijijini kwao, kijiji ambacho huenda kikawa ni makazi ya popo baada yake. Kadhalika , TL amekuwa akimnanga JPM kuwa hata kiswahili hajui achilia mbali Englishi , kwamba havutii hata kumsikiliza, na kusema kwamba, kama anabisha basi aje kwenye Mdahalo nae.
Kwa kauli tajwa hapo juu , ni dhahiri kwamba this is more than politics, huenda wengi wakawa wanafurahi tu wakiamini ndio siasa na kumekucha juu ya Kampeni.
===
JPM ameendelea kuamini na kutuaminisha kwamba TL ni MNAZI anayetumika na wazungu kuliharibu taifa la TZ.
Katika utawala wa JPM, ukisikia neno BEBERU, basi jua huyu ni Tundu Lissu. Lakini ni TL huyu huyu aliyekuwepo kwenye utawala wa JK, kwanini neno BEBERU halikutumika dhidi yake?
===
Ni ugomvi binafsi ambao mimi na wewe hatujui sababu ya ugomvi huo, ila hakika ya bayana ni kwamba kuna ugomvi mkubwa baina ya wawili hawa na ugomvi huo umehusisha mpaka vyombo vya ulinzi na usalama na kuufanya kuwa ni ugomvi wa mtu mmoja dhidi Serikali.
Kwamba tunaambiwa mtu 1 anatumika na BEBERU kuharibu nchi yetu. Hii imeshakuwa ni Imani kwa Tanzania.
People believe what they wanna believe!
===
Moja ya kitu ambacho Serikali yangu ya Chama Cha Magufuli (CCM) itaendelea kupata upweke na kuendelea kumpa TL nguvu ambayo inaweza kutuletea shida na kumpa DOA JPM ni kushindwa kutoa Empirical Evidence juu ya shambulio la Lissu( Kijana wa Kisingida)
Shambulio hilo ndio siri ya umaarufu wa kijana huyu wa ki Singida ambae amekuwa akitumia Shambulio hilo kama fimbo ya kutuchapia kwenye vichwa vyetu.
Amepata HURUMA kubwa ya wananchi kila anapoenda huku akizidi kuwaaminisha wananchi kwamba the Assassination attempt was an inside job.
Sidhani kama Serikali na Chama Cha Magufuli( CCM) kimefikiria kwa MAPANA mustakabali wa hiki kinachoendelezwa na TL....
Hili Gap la kutowawajibisha wahusika Litazamwe kwa mapana. -------linaweza kutumiwa vibaya na watu wasiojulikana na kuzidi kuchafua hali ya Hewa.
Hivyo basi, vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hasa TISS ambao wamekuwa wakishukiwa sana kwenye matukio kama haya visafishwe ikiwa ni pamoja na kufanya kazi kwa mujibu wa maagizo yenye weledi.
Hakuna watu wanaofanya kazi kwa Upendo na Nidhamu kama TISS ambapo moja ya mafunzo ni kuimarisha unyenyekevu na mapenzi yenye huruma baina ya mtu na mtu.
===
Kwa Hitimisho, ni nani Tundu Antiphas M Lissu?
What is Tundu, what is Lissu in his own Language?
Is he the only person among the family members using tribal names?
What is Antiphas ? What is Mughwai?
Tundu Antiphas Mughwai Lissu
Je, ni mwana wa Mungu aliyeshinda Mauti au
ni Mjumbe wa Kimila aliyechanjia na kunuia juu ya kifo
>>Kwamba Kifo changu hakitosababishwa na Risasi,
>>kwamba Kifo changu hakitosababishwa na Bomu ,
>>Kwamba Kifo changu hakitosababishwa na ajali
>>Kwamba atakayejaribu kuniua kwa mara ya pili, kwa nuio hili atatangulia yeye kwanza kabla ya mimi kushinda Umauti kwa mara ya pili na mara nyingine tena for as long as death is a shame, a bread of a shame.