Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,781
- 3,074
katika mkutano wa hadhara pale jangwani wasira alisema serikali ya ccm imejipanga kukabiliana na tatizo la sukari kwa kujenga viwanda VITANO(5) vya sukari. kwa miaka hamsini wameshindwa kujebga hata kimoja, na hata hivyo tulivyoachiwa na wazungu wameshindwa kuviendesha. je wataweza kujenga vitano kwenye mwaka ujao wa fedha? na wanaccm bila hata ya aibu wakawa wanashangilia.