CHADEMA inawamaliza CCM na kuwaziba koo, CCM wameanza kupata tatizo la kupumua mbali ya kuwa safari zao za wagombea wao wamefungasha wasanii magoigoi waliojaa hofu ya kuiogopa CCM,
Msiiogope CCM kwani mwisho wao ni mara tu baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi ikiaminiwa bila ya chenga kuwa CCM imefikia mwisho wake, naaza kuinua mikono juu Kumshukuru Mwenyezi Mungu.
Vyama vya upinzani endeleeni kuwatoa hofu wananchi, kwani wale vichwa maji wa CCM wanoranda na malori ya wahudhuriaji wakiwahamisha mkoa hadi mkoa baada ya October 28 watakuwa ni historia kiburi chao na ujuwaji wao unakomeshwa.
CCM haipo na jinsi inavyokata roho inapaparika kupita maelezo,wanasomba watu kutoka kila kona ya Tanzania, waonekane wanajaza watu kwenye mikutano yao ya kampeni, kama mnavyoona misafara yao kutoka mkoa hado mkoa imejaa magari waliyotoka nayo Dodoma, magari ni yale yale watu ni walewale. Ni aibu kwa chama kinachosema kimeleta maendeleo kila kona.
Si wananchi, si polisi, si wanajeshi si vyombo vya usalama si wafanyakazi serikalini, wote wameshaichoka CCM kwa jinsi inavyowahangaisha, njooni huku twendeni kule watu hawana raha na maisha wapo mbioni tu wakitakiwa kuilinda CCM, ambayo bila ya kuwatisha watu kwa barua za kuhudhuria mikutano na kuweka waimbaji mastaa asingehudhuria mtu.
Watajwa hapo juu msiogope kitu kura ni siri na hakikisha unaondoa udhia huo unaowakumba kwa kuikataa CCM kwenye sanduku la kura, unaogopa nini, nani wakati CCM inachinjwa tarehe hiyo, wewe ukiwa mmoja wapo wa kuisitisha uhai wake.
Msiiogope CCM kwani mwisho wao ni mara tu baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi ikiaminiwa bila ya chenga kuwa CCM imefikia mwisho wake, naaza kuinua mikono juu Kumshukuru Mwenyezi Mungu.
Vyama vya upinzani endeleeni kuwatoa hofu wananchi, kwani wale vichwa maji wa CCM wanoranda na malori ya wahudhuriaji wakiwahamisha mkoa hadi mkoa baada ya October 28 watakuwa ni historia kiburi chao na ujuwaji wao unakomeshwa.
CCM haipo na jinsi inavyokata roho inapaparika kupita maelezo,wanasomba watu kutoka kila kona ya Tanzania, waonekane wanajaza watu kwenye mikutano yao ya kampeni, kama mnavyoona misafara yao kutoka mkoa hado mkoa imejaa magari waliyotoka nayo Dodoma, magari ni yale yale watu ni walewale. Ni aibu kwa chama kinachosema kimeleta maendeleo kila kona.
Si wananchi, si polisi, si wanajeshi si vyombo vya usalama si wafanyakazi serikalini, wote wameshaichoka CCM kwa jinsi inavyowahangaisha, njooni huku twendeni kule watu hawana raha na maisha wapo mbioni tu wakitakiwa kuilinda CCM, ambayo bila ya kuwatisha watu kwa barua za kuhudhuria mikutano na kuweka waimbaji mastaa asingehudhuria mtu.
Watajwa hapo juu msiogope kitu kura ni siri na hakikisha unaondoa udhia huo unaowakumba kwa kuikataa CCM kwenye sanduku la kura, unaogopa nini, nani wakati CCM inachinjwa tarehe hiyo, wewe ukiwa mmoja wapo wa kuisitisha uhai wake.