ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kwa hali iliyofikia viongozi wa chama wakae walitafakari hili kama vile chama kilivyoiokoa channel ten ndivyo hivyo chaweza kuinusuru klabu ya Yanga, tena uzuri hakutakua na gharama za kununua jezi mpya sababu rangi zimeendana vilivyo njano na kijani
Chonde hili lifanyike mapema ili Yanga waondoe lile tangazo lao la bakuli azam tv
Sent using Jamii Forums mobile app
Chonde hili lifanyike mapema ili Yanga waondoe lile tangazo lao la bakuli azam tv
Sent using Jamii Forums mobile app