Not trueHuwo ndiyo ukweli, bila uwepo wa CCM sasa hivi tungekuwa na sisi na Nchi inayoongozwa na familia tajiri na zenye nguvu, angalia tu Chadema inaongozwa na familia ya Mbowe na Lowasa sasa hawa wangeshinda Uchaguzi there is no way wangekuja kuiachia hii nchi tena, tungekuwa na sisi na Siasa kama za Kenya na nchi nyingine za Kiafrika ambazo zinaongozwa na powerful families!
Lkn CCM hairuhusu hilo kutokea, nani alijua miaka 5 iliyopita kwamba Magufuli angekuwa powerful man in Tanzania? Hivyo CCM ina moral authority wa kuongoza Tanzania kwa sababu CCM ni zaidi ya Chama, CCM inailinda nchi yetu dhidi ya Mafisi, ...
Kama kasema hoja ni mufulisi kinyume chake ndiyo itakuwa hoja mbadala. uongozi ndani ya CHADEMA si wa kurithiana.
Enzi za Mwalimu Rais alitoka Mara, Mkuu wa Majeshi alitoka Mara, mwanasheria Mkuu alitoka Mara, Katibu Mkuu Kingozi alitoka Mara na nafasi nyingine kadhaa. Lakini hakuna mtu aliyesema kwamba serikali inaoongozwa kikabila.
Hebu naomba muongezee taarifa huyo mdau maana naona maktaba yako imekaa vizuri,hongeraKama kasema hoja ni mufulisi kinyume chake ndiyo itakuwa hoja mbadala. uongozi ndani ya CHADEMA si wa kurithiana.
Enzi za Mwalimu Rais alitoka Mara, Mkuu wa Majeshi alitoka Mara, mwanasheria Mkuu alitoka Mara, Katibu Mkuu Kingozi alitoka Mara na nafasi nyingine kadhaa. Lakini hakuna mtu aliyesema kwamba serikali inaoongozwa kikabila.
Tuna Makamba junior na Makamba senior, tuna Kikwete junior na Kikwete senior, tuna Warioba senior na Warioba junior.....tuna Mwinyi senior na Mwinyi junior....tuna Karume dynasty
Hao wote na wengineo wengi ni CCM dynasties
Muulize lowassa na Sumaye
kwenye chadema ni dynasty ya mtei. alianza yeye akaja shemeji yake bob makani. kipindi cha bob makani kilikua cha taabu maana wenye hisa kubwa hawakumkubali. akaja mkwewe mtei dj freeman akauza chama kwa tajiri el ila el anakubalika kwenye mtiririko na wenye chama. wasiotakiwa na kukurupuka walikiona. ndio kina chacha wangwe kina zito et al.Huwo ndiyo ukweli, bila uwepo wa CCM sasa hivi tungekuwa na sisi na Nchi inayoongozwa na familia tajiri na zenye nguvu, angalia tu Chadema inaongozwa na familia ya Mbowe na Lowasa sasa hawa wangeshinda Uchaguzi there is no way wangekuja kuiachia hii nchi tena, tungekuwa na sisi na Siasa kama za Kenya na nchi nyingine za Kiafrika ambazo zinaongozwa na powerful families!
Lkn CCM hairuhusu hilo kutokea, nani alijua miaka 5 iliyopita kwamba Magufuli angekuwa powerful man in Tanzania? Hivyo CCM ina moral authority wa kuongoza Tanzania kwa sababu CCM ni zaidi ya Chama, CCM inailinda nchi yetu dhidi ya Mafisi, ...
Unaweza kusema hivyo lkn tofauti ni kwamba 2025 ndiyo mwisho wa Magufuli na timu yake kama vile walivyosema kuhusu Kikwete na Bagamoyo/Pwani sasa hivi Kikwete hayupo na mambo ya Bagomoyo pia hayapo, lkn chadema hilo haliwezekani, huwezi kumtenganisha Mbowe na chadema na sasa Lowasa kaongezeka na kuonyesha kwamba chadema ni Mali yake hata mavazi ya chadema hayavai lkn alipokua CCM alivaa mavazi ya CCM, unajua ni kwa nini?
Kwa hakika mafisi hayo yameingia mikataba mibovu ya madini gesi na kuuza nchi na mafisi mengine yamejimilikisha migodi ya KCM kyela kwa milioni 300, yakanunua vivuko vibovu na kujiuzia nyumba za serikali kama pipi jojo dukani,meremeta bado yanalindwa, tukiwa na ccm ni salama sana. Mpumbavu wewe.Huwo ndiyo ukweli, bila uwepo wa CCM sasa hivi tungekuwa na sisi na Nchi inayoongozwa na familia tajiri na zenye nguvu, angalia tu Chadema inaongozwa na familia ya Mbowe na Lowasa sasa hawa wangeshinda Uchaguzi there is no way wangekuja kuiachia hii nchi tena, tungekuwa na sisi na Siasa kama za Kenya na nchi nyingine za Kiafrika ambazo zinaongozwa na powerful families!
Lkn CCM hairuhusu hilo kutokea, nani alijua miaka 5 iliyopita kwamba Magufuli angekuwa powerful man in Tanzania? Hivyo CCM ina moral authority wa kuongoza Tanzania kwa sababu CCM ni zaidi ya Chama, CCM inailinda nchi yetu dhidi ya Mafisi, ...
Mayala= njaaNaunga mkono hoja, ndio maana tumeshauri CCM itawale milele!, na kwenye uchaguzi wa rais, CCM ndio pekee waruhusiwe kugombea kutokana na long expirience ya uzoefu wa muda mrefu kwenye urais.
Kumbe nafasi za ma DC na RC ni Kuhakikisha CCM Inashinda?!, Then CCM kutawala milele! ...
Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa ...
Je, CCM Itatawala Milele Au? | Page 2 | JamiiForums | The Home of ...
Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka ...
'CCM pekee iwe inasimamisha mgombea urais ...
Paskali