CCM INAYOKUFA MKOMBOZI WAKE NI MH. lOWASA

CCM INAYOKUFA MKOMBOZI WAKE NI MH. lOWASA

hittler

Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
55
Reaction score
10
Napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha CCM kwamba anayeweza kukinusuru Chama katika chaguzi zijazo ni Mh. Lowasa. Nayasema haya kwa kuwa chama kimekosa mtendaji na ndani ya chama mtendaji anayeonekana na kukubaliwa na wengi ni Lowasa. Ikumbukwe kuwa zao la vijana waliomaliza vyuo vikuu Tanzania kuanzia mwaka jana wengi wamesoma shule za kata ambazo mwasisi wake ni Lowasa, na wengi wapo tayari kwake. Vijana hawana ajira hatima yake wanajifanya wasanii na kutumikishwa na watu kubeba madawa ya kulevya na kwenye madanguro. CCM lazima impe nafasi Mh. LOWASA ili aweze wafikisha vijana wengi ambao hawana ajira kwenye ndoto zao maana alishawajengea msingi wa elimu hatokubali wapotee. Tafakari Mtanzania.
 
Napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha CCM kwamba anayeweza kukinusuru Chama katika chaguzi zijazo ni Mh. Lowasa. Nayasema haya kwa kuwa chama kimekosa mtendaji na ndani ya chama mtendaji anayeonekana na kukubaliwa na wengi ni Lowasa. Ikumbukwe kuwa zao la vijana waliomaliza vyuo vikuu Tanzania kuanzia mwaka jana wengi wamesoma shule za kata ambazo mwasisi wake ni Lowasa, na wengi wapo tayari kwake. Vijana hawana ajira hatima yake wanajifanya wasanii na kutumikishwa na watu kubeba madawa ya kulevya na kwenye madanguro. CCM lazima impe nafasi Mh. LOWASA ili aweze wafikisha vijana wengi ambao hawana ajira kwenye ndoto zao maana alishawajengea msingi wa elimu hatokubali wapotee. Tafakari Mtanzania.

Anawalipa bei gani kwa kila thread mnayoanzisha kwa jina lake?
 
Napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha CCM kwamba anayeweza kukinusuru Chama katika chaguzi zijazo ni Mh. Lowasa. Nayasema haya kwa kuwa chama kimekosa mtendaji na ndani ya chama mtendaji anayeonekana na kukubaliwa na wengi ni Lowasa. Ikumbukwe kuwa zao la vijana waliomaliza vyuo vikuu Tanzania kuanzia mwaka jana wengi wamesoma shule za kata ambazo mwasisi wake ni Lowasa, na wengi wapo tayari kwake. Vijana hawana ajira hatima yake wanajifanya wasanii na kutumikishwa na watu kubeba madawa ya kulevya na kwenye madanguro. CCM lazima impe nafasi Mh. LOWASA ili aweze wafikisha vijana wengi ambao hawana ajira kwenye ndoto zao maana alishawajengea msingi wa elimu hatokubali wapotee. Tafakari Mtanzania.

Maneno ya maana sana haya lkn watumwa watakupinga tu mi mwenyewe nimeshafanya research katika mikoa ya dar-es-salaam,Arusha,Morogoro,Kigoma na.Mwanza huyu mtu anakubalika kupita kiasi watu wengi sn hasa vijana wanamuelezea kama ndio tumaini lao kutokana na uongozi wake na kutoogopa kwake ktk kufanya maamuzi magumu kwa mustakabali wa Taifa.
 
Napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha CCM kwamba anayeweza kukinusuru Chama katika chaguzi zijazo ni Mh. Lowasa. Nayasema haya kwa kuwa chama kimekosa mtendaji na ndani ya chama mtendaji anayeonekana na kukubaliwa na wengi ni Lowasa. Ikumbukwe kuwa zao la vijana waliomaliza vyuo vikuu Tanzania kuanzia mwaka jana wengi wamesoma shule za kata ambazo mwasisi wake ni Lowasa, na wengi wapo tayari kwake. Vijana hawana ajira hatima yake wanajifanya wasanii na kutumikishwa na watu kubeba madawa ya kulevya na kwenye madanguro. CCM lazima impe nafasi Mh. LOWASA ili aweze wafikisha vijana wengi ambao hawana ajira kwenye ndoto zao maana alishawajengea msingi wa elimu hatokubali wapotee. Tafakari Mtanzania.
Well said! CCM hawana tegemeo lingine isipokuwa huyu mwizi Lowasa!
 
Mwaka huu mtajipendekeza kwa watu mpaka mzeeke sisi wenzenu tunasubiri mda ufike ndipo tuseme zaidi kuhusu masuala haya.
 
Mleta thread,una ugonjwa wa kufa polepole,ndo maana unadhani na ccm itakufa kama kibudu wewe,bei yako sawa na fungu la uyoga,endelea kupiga domo la aliyekutuma.
 
Maneno ya maana sana haya lkn watumwa watakupinga tu mi mwenyewe nimeshafanya research katika mikoa ya dar-es-salaam,Arusha,Morogoro,Kigoma na.Mwanza huyu mtu anakubalika kupita kiasi watu wengi sn hasa vijana wanamuelezea kama ndio tumaini lao kutokana na uongozi wake na kutoogopa kwake ktk kufanya maamuzi magumu kwa mustakabali wa Taifa.

labda tumaini la nyumbani kwenu!!! mwizi tumpeleke wapi???? akatuibie tena???
 
Napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha CCM kwamba anayeweza kukinusuru Chama katika chaguzi zijazo ni Mh. Lowasa. Nayasema haya kwa kuwa chama kimekosa mtendaji na ndani ya chama mtendaji anayeonekana na kukubaliwa na wengi ni Lowasa. Ikumbukwe kuwa zao la vijana waliomaliza vyuo vikuu Tanzania kuanzia mwaka jana wengi wamesoma shule za kata ambazo mwasisi wake ni Lowasa, na wengi wapo tayari kwake. Vijana hawana ajira hatima yake wanajifanya wasanii na kutumikishwa na watu kubeba madawa ya kulevya na kwenye madanguro. CCM lazima impe nafasi Mh. LOWASA ili aweze wafikisha vijana wengi ambao hawana ajira kwenye ndoto zao maana alishawajengea msingi wa elimu hatokubali wapotee. Tafakari Mtanzania.


Vita vya ccm neema kwa chadema.
 
Vijana naomba mulitambue hili
low.assa hawezi kuwa raisi wa nchi hii kwani ana laana ya baba wa taifa.

Na c.c.yem yote ina dhambi kuliko shetani !

Jiulizeni madawa ya kulevya,ujangili ,ufisadi na mambo mengine yote yaliyo kemewa na j.k.nyerere


yanafanywa na ama, viongozi wa c.c.yem au na watoto wao.
 
Maneno ya maana sana haya lkn watumwa watakupinga tu mi mwenyewe nimeshafanya research katika mikoa ya dar-es-salaam,Arusha,Morogoro,Kigoma na.Mwanza huyu mtu anakubalika kupita kiasi watu wengi sn hasa vijana wanamuelezea kama ndio tumaini lao kutokana na uongozi wake na kutoogopa kwake ktk kufanya maamuzi magumu kwa mustakabali wa Taifa.

Ukiendekeza njaa utaharibu utu wako
 
ukiendekeza njaa utaharibu utu wako

nikweli hawa vijana waesajili id. Zao wanajuana hivyo kila wanacho post wanalipwa!

Na hii ndiyo tofauti kubwa kati ya wana c .c.m na wanachadema humu 'jf'.
 
Back
Top Bottom