maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,806
- 2,349
Kama Kuna wakati ccm imebanwa kutoka ndani ukiacha upinzani ni wakati huu. Mimi najiuliza kama wakiendelea namna hii na sioni kama wanaona hatari inakuja mbele yao. Je wakichukua Dola kama walivyokaza watatawala nchi ya aina Gani?
Maana wamekataliwa kabisa na watanganyika na wanaforce kabisa mpaka inakataaa. Huu mgawanyiko wataweza kuusawazisha. Na ikishindikana tutakuwa na nchi ya aina gani
Maana wamekataliwa kabisa na watanganyika na wanaforce kabisa mpaka inakataaa. Huu mgawanyiko wataweza kuusawazisha. Na ikishindikana tutakuwa na nchi ya aina gani