ccm mna vichwa vichache sana ukilinganisha na wabunge wengi mlionao wengi ni wale wa ndioooooooooooooo
upinzani wachache kwa idadi yao wanavichwa vingi zaidi ukilinganisha na nyinyi magamba.
ccm mna vichwa vichache sana ukilinganisha na wabunge wengi mlionao wengi ni wale wa ndioooooooooooooo
upinzani wachache kwa idadi yao wanavichwa vingi zaidi ukilinganisha na nyinyi magamba.
Haishangazi uchache wa upinzani ndo mana wanaweza ongea wote kwa siku na hata majina yao mmeyashika kichwani ni rahisi wao kuonekana sisi tuko zaidi ya mia2 hatuwezi ongea wote na hata majina yetu hamuwezi kuyashika kama ya hao kiduchu hii ndo logic hamna kitu pale upinzani ni stamp tu!
Haishangazi uchache wa upinzani ndo mana wanaweza ongea wote kwa siku na hata majina yao mmeyashika kichwani ni rahisi wao kuonekana sisi tuko zaidi ya mia2 hatuwezi ongea wote na hata majina yetu hamuwezi kuyashika kama ya hao kiduchu hii ndo logic hamna kitu pale upinzani ni stamp tu!
we botilo ni lusinde nini mbona povu linakutoka hivyo,watu km nyie hatuna nafac mtakapojivua gamba,vipaji unavijua au unaota? magamba hamna mvuto tena watu wamefunguka so alarm inagonga kwn vichwa vyenu.