CCM inataka kumwekea Lowassa pingamizi

CCM inataka kumwekea Lowassa pingamizi

ng'adi lawi

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2014
Posts
2,956
Reaction score
1,115
Makamu mwenyekiti wa ccm anasema mgombea urais wa Ukawa amekiuka makubaliano 12 yaliyowekwa sahihi na vyama vya siasa, tume ya uchaguzi na serikali. Aliyasema haya siku ya jpili kwenye mdahalo wa Nyerere Foundation uliofanyika jpili tarehe 16.08.2015
Ukawa hakikisheni lowasa hasemi chochote ambacho kitakwenda kinyume cha makubaliano hayo.
 
Wanamuogopa Lowassa,wanafikiria jinsi ya kumfunga pingu Mapema kama walivyo kule Dodoma!!
 
Ccm wanahangaika,hawatulii, wanahaha kama mtu aliyefunaiwa vile.
 
Mangula nakutakia likizo njema maishani mwako, Dot com wanataka mabadiliko, kwahiyo, ukiwazuia kwa sheria kandamizi watakutafutia kilema wakati ww ni mzee,
Nakushauri nyamaza uone wapi MV. CCM itapelekwa na hiki kimbunga ndani ya bahari ya mabadiliko.
 
Moto Wa Mabua Unawachoma Ccm Sasa Wanahaha
 
Mangula nakutakia likizo njema maishani mwako, Dot com wanataka mabadiliko, kwahiyo, ukiwazuia kwa sheria kandamizi watakutafutia kilema wakati ww ni mzee,
Nakushauri nyamaza uone wapi MV. CCM itapelekwa na hiki kimbunga ndani ya bahari ya mabadiliko.

hawa magenious ndo tunaowataka....umenena mkuu
 
mangula akalime viazi hajui anachoongea...
 
Huyu fisadi nani amuogope mtu mwenyewe nguzo yake yote ni ufisadi tu.


Umesema sahihi, Lowasa alishiriki ufisadi wa Richmond, akabumburushwa na ku resign. Baada ya kuresign ame reform ama ameendelea kufasidi? Ufisadi mungapi umefanyika baada ya Lowasa?



1. Richmond = Lowasa +ccm + JK etal.

2. EPA ?? + ccm + JK etal

3. Kagoda ?? + ccm + ??

4. Meremeta ?? + ccm + ??

5. REA ?? + ccm + ??

6. Escrow JK etal +ccm + ??

7. Ujenzi wa bomba la gas ?? + ?? + ccm

List inaongezeka.

Ufisadi wote huo amefanya Lowasa? Kama wewe ni mkweli, kwa nini huongelei hizi fasidi zingine ambazo ni nyingi tu na kubwa za kutisha na wahusika wake?

Ukiongelea suala la Richmond, ni kweli lowasa alihusika, lakini unamwachaje mwenyekiti wenu wa chama? Kama mwenyekiti wa chama ni fisadi kiasi hicho, bado huoni aibu kujibainisha utiifu na ufuasi wako kwake, huku ukijitahidi kushwaishi uko upande wa Watanzania?


Sasa Lowasa amebadilika, na yuko tayari kupambana na mafisadi ikiwemo kusimamia rasimu ya ktiba ya Warioba. Unawezaje kumsakama huyu aliyebadilika ukayaacha maharamia yaliyoko huko ccm ambayo yanaendelea na ufisadi huku yakiapa kufa kwa kulinda ufisadi huo?

Uwe na aibu!
 
Huyu fisadi nani amuogope mtu mwenyewe nguzo yake yote ni ufisadi tu.
EPA, RADAR, ESCROW, MEREMETA, KAGODA, TWIGA KUPANDA NDEGE, MENO YA TEMBO, MADAWA YA KULEVYA Lowassa anahusikaje?

Mnavuta nini huko Lumumba, Jaribuni ugoro bana
 
Uchu wa Fisi anaona binadamu anatembea na kutikisa mkono ananyemeelra akifikiri utadondoka
 
Magufuli naye tutamuwekea pingamizi make anatumia uwaziri wake na ufuasi wake kwa Kikwete kwenye majukwaa kuomba kabla ya kampeni kuanza...!!!
 
Na ss tunataka waende mahakaman ili tujue nani mwenye Richmond,Escrow na upumbav mwingine unaofanana na huo isitoshe hakuna mwenye uwezo ndani ya ccm wa kupambana na wanasheria wa UKAWA na ccm wanalijua hilo,mangula anzisha hiyo kitu tukukate ndevu hizo kwa Chupa.
 
Akaondoe hizo steelwire kidevuni ndi atueleze kuhusu Lowasa kukiuka makubaliano.
 
Back
Top Bottom