CCM inatafuta ushindi, wa kusubiri kuletewa ushindi anguko lenu lipo karibu

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,601
Tumeshuhudia mara nyingi kila CCM inaposhinda lawama zote ni kwa tume ya taifa ya uchaguzi hususani wasimamizi wa uchaguzi ngazi za majimbo ambao ni wakurugenzi. Lawama hizi hazina ukweli kulingana na uhalisia. Uhalisia unaendana na mchakato mzima wa uchaguzi. Mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia kupiga kura mpaka utangazwaji matokeo upo wazi, ni ngumu kwa mkurugenzi kushiriki wizi wa kura kwa sababu rufaa ya matokeo inaweza kukatwa.

Hofu waliyokuwa nayo wapinzani ni kuwa na mchecheto mkubwa wa kujua matokeo ilhali zoezi la uhesabuji kura na taratibu nyingine zikiwa zinaendelea na hivyo kuwa na hisia kuwa zoezi linacheleweshwa kutokana na kuchakachua matokeo. Moja ya sifa kubwa ya mshindani ni kukubali kushindwa na sio kulazimisha ushindi. Sifa hii wapinzani hawana.

Kimsingi wakurugenzi ni watangazaji tu wa matokeo ambayo yamejumlishwa na kuthibitishwa na mawakala wa vyama vyote. Kama ni lawama, vyama vya upinzani ni bora ikawalaumu mawakala wao na si tume ya taifa ya uchaguzi na wakurugenzi ambao ni wasimamizi wa uchaguzi ngazi za majimbo.

Kwa hiyo, kwa kuangazia mchakato huo kwa ufupi, naomba nikiri kusema kuwa CCM inatafuta ushindi na haipewi ushindi. Ushuhuda ni shamrashamra za kampeni na kuangazia wingi wa wanachama wake. Wanachama Zaidi ya million 12 wa CCM, wakati wa kampeni wanalengo moja tu nalo ni kusaka, kutafuta na kuleta ushindi kwa CCM

CCM inashinda kwa sababu inagharamia ushindi. CCM inagharamia ushindi kwa kuzunguka kila kijiji wakati wa kampeni wakijinadi na kuinadi ilani ya chama. Watanzania wanakubaliana na ilani yenye mipango na mikakati mizuri ya kuwakomboa kiuchumi na kuipigia kura tena na tena.

Ushindi ni gharama. Kuna vyama vingine vinaona CCM inashinda bila kugharamia ushindi huo kwa maana ya kwmba inapewa ushindi wa mezani na wakurugenzi. Mawazo kama hayo ndio yanayofanya upinzani kudai ushindi hata kama wameshindwa, nawahakikishia anguko lenu lipo karibu. Hamuwezi kushiriki mbio ndefu bila kuhakisha uimara wa afya na miguu yenu na imethibitika afya zenu haziruhusu kushiriki mbio hizo.
 
Hii hukumu iliyotolewa na mahakama ya kuwazuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi haitafanikiwa hata kidogo,
Ccm wenyewe nasema piga uwa hawatakubali hukumu hii na wanadai hata iweje wakurugenzi wataendelea kusimamia uchaguzi
 
Tumeshuhudia mara nyingi kila CCM inaposhinda lawama zote ni kwa tume ya taifa ya uchaguzi hususani wasimamizi wa uchaguzi ngazi za majimbo ambao ni wakurugenzi. Lawama hizi hazina ukweli kulingana na uhalisia. Uhalisia unaendana na mchakato mzima wa uchaguzi. Mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia kupiga kura mpaka utangazwaji matokeo upo wazi, ni ngumu kwa mkurugenzi kushiriki wizi wa kura kwa sababu rufaa ya matokeo inaweza kukatwa.

Hofu waliyokuwa nayo wapinzani ni kuwa na mchecheto mkubwa wa kujua matokeo ilhali zoezi la uhesabuji kura na taratibu nyingine zikiwa zinaendelea na hivyo kuwa na hisia kuwa zoezi linacheleweshwa kutokana na kuchakachua matokeo. Moja ya sifa kubwa ya mshindani ni kukubali kushindwa na sio kulazimisha ushindi. Sifa hii wapinzani hawana.

Kimsingi wakurugenzi ni watangazaji tu wa matokeo ambayo yamejumlishwa na kuthibitishwa na mawakala wa vyama vyote. Kama ni lawama, vyama vya upinzani ni bora ikawalaumu mawakala wao na si tume ya taifa ya uchaguzi na wakurugenzi ambao ni wasimamizi wa uchaguzi ngazi za majimbo.

Kwa hiyo, kwa kuangazia mchakato huo kwa ufupi, naomba nikiri kusema kuwa CCM inatafuta ushindi na haipewi ushindi. Ushuhuda ni shamrashamra za kampeni na kuangazia wingi wa wanachama wake. Wanachama Zaidi ya million 12 wa CCM, wakati wa kampeni wanalengo moja tu nalo ni kusaka, kutafuta na kuleta ushindi kwa CCM

CCM inashinda kwa sababu inagharamia ushindi. CCM inagharamia ushindi kwa kuzunguka kila kijiji wakati wa kampeni wakijinadi na kuinadi ilani ya chama. Watanzania wanakubaliana na ilani yenye mipango na mikakati mizuri ya kuwakomboa kiuchumi na kuipigia kura tena na tena.

Ushindi ni gharama. Kuna vyama vingine vinaona CCM inashinda bila kugharamia ushindi huo kwa maana ya kwmba inapewa ushindi wa mezani na wakurugenzi. Mawazo kama hayo ndio yanayofanya upinzani kudai ushindi hata kama wameshindwa, nawahakikishia anguko lenu lipo karibu. Hamuwezi kushiriki mbio ndefu bila kuhakisha uimara wa afya na miguu yenu na imethibitika afya zenu haziruhusu kushiriki mbio hizo.

Angalia hapa

 
Kama wanashinda watashinda hata bila ya hao wakurugenzi sasa kwa nini ccm wanapinga kama wanaamini wanashinda kwa sera zao nzuri?
 
Watu wote wanaoipigia kura CCM kwa kiasi kikubwa wanamatatizo kama aliyonayo nabii Tito, hivi kweli unaakiri kweli ukampe kura mtu aliekuahidi ml.50 kila kijiji kwa nadharia na si kiuhalisia,

#mtaishia kuchumia matumbo yenu kwa watu wasiojielewa TU.
 
Watu wote wanaoipigia kura CCM kwa kiasi kikubwa wanamatatizo kama aliyonayo nabii Tito, hivi kweli unaakiri kweli ukampe kura mtu aliekuahidi ml.50 kila kijiji kwa nadharia na si kiuhalisia,

#mtaishia kuchumia matumbo yenu kwa watu wasiojielewa TU.
Hawakuwa na alternative... usingewashawishi wampigie Lowassa
Plus chadema ni CCM B
Hapo itakusaidia kujua kuwa wewe na wenzako ndio wenye akili za Tito
 
Hawakuwa na alternative... usingewashawishi wampigie Lowassa
Plus chadema ni CCM B
Hapo itakusaidia kujua kuwa wewe na wenzako ndio wenye akili za Tito
kwan aliekwambia cdm ni lowasa ni nani? Ni sawa na dini uipe dhamana ya kuwa Mungu kitu ambacho hakina mashiko.. Ukitaka kujua kuwa hata kinachofanyika hadi hivi sasa sio siasa bali ni mabavu&urafi wa madaraka, embu stone aruhusu mikutano ya hadhara ya upinzani hapo ndipo mtajua, TITO nanyi hamna tofauti.
 
kwan aliekwambia cdm ni lowasa ni nani? Ni sawa na dini uipe dhamana ya kuwa Mungu kitu ambacho hakina mashiko.. Ukitaka kujua kuwa hata kinachofanyika hadi hivi sasa sio siasa bali ni mabavu&urafi wa madaraka, embu stone aruhusu mikutano ya hadhara ya upinzani hapo ndipo mtajua, TITO nanyi hamna tofauti.
jikite na hoja yako ya mwanzoni 'waliochagua CCM"..
Waliona Lowassa kainunua chadema na tayari waliaminishwa Lowassa ni fisadi
Wakaona heri wachague CCM
jifunze kuwa na stable mind kuliko ku jump around kuongelea kila kitu
Na hyoi ndio akili asilia ya Tito 😅
 
jikite na hoja yako ya mwanzoni 'waliochagua CCM"..
Waliona Lowassa kainunua chadema na tayari waliaminishwa Lowassa ni fisadi
Wakaona heri wachague CCM
jifunze kuwa na stable mind kuliko ku jump around kuongelea kila kitu
Na hyoi ndio akili asilia ya Tito
Yetu macho, kama hamtaishia kupewa ushindi wa mezani, maana hamna sera mpya zaidi ya kujifanya msiojulikana!
 
Umeandika pumba tupu. Hawa Wakurugenzi si ndio wanakimbiaga kupokea fomu za Wapinzani ili CCM ipate ushindi wa mezani.
Kifo cha Akwilina kilisababishwa na Mkurugenzi wa Kinondoni.
 
Tumeshuhudia mara nyingi kila CCM inaposhinda lawama zote ni kwa tume ya taifa ya uchaguzi hususani wasimamizi wa uchaguzi ngazi za majimbo ambao ni wakurugenzi. Lawama hizi hazina ukweli kulingana na uhalisia. Uhalisia unaendana na mchakato mzima wa uchaguzi. Mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia kupiga kura mpaka utangazwaji matokeo upo wazi, ni ngumu kwa mkurugenzi kushiriki wizi wa kura kwa sababu rufaa ya matokeo inaweza kukatwa.

Hofu waliyokuwa nayo wapinzani ni kuwa na mchecheto mkubwa wa kujua matokeo ilhali zoezi la uhesabuji kura na taratibu nyingine zikiwa zinaendelea na hivyo kuwa na hisia kuwa zoezi linacheleweshwa kutokana na kuchakachua matokeo. Moja ya sifa kubwa ya mshindani ni kukubali kushindwa na sio kulazimisha ushindi. Sifa hii wapinzani hawana.

Kimsingi wakurugenzi ni watangazaji tu wa matokeo ambayo yamejumlishwa na kuthibitishwa na mawakala wa vyama vyote. Kama ni lawama, vyama vya upinzani ni bora ikawalaumu mawakala wao na si tume ya taifa ya uchaguzi na wakurugenzi ambao ni wasimamizi wa uchaguzi ngazi za majimbo.

Kwa hiyo, kwa kuangazia mchakato huo kwa ufupi, naomba nikiri kusema kuwa CCM inatafuta ushindi na haipewi ushindi. Ushuhuda ni shamrashamra za kampeni na kuangazia wingi wa wanachama wake. Wanachama Zaidi ya million 12 wa CCM, wakati wa kampeni wanalengo moja tu nalo ni kusaka, kutafuta na kuleta ushindi kwa CCM

CCM inashinda kwa sababu inagharamia ushindi. CCM inagharamia ushindi kwa kuzunguka kila kijiji wakati wa kampeni wakijinadi na kuinadi ilani ya chama. Watanzania wanakubaliana na ilani yenye mipango na mikakati mizuri ya kuwakomboa kiuchumi na kuipigia kura tena na tena.

Ushindi ni gharama. Kuna vyama vingine vinaona CCM inashinda bila kugharamia ushindi huo kwa maana ya kwmba inapewa ushindi wa mezani na wakurugenzi. Mawazo kama hayo ndio yanayofanya upinzani kudai ushindi hata kama wameshindwa, nawahakikishia anguko lenu lipo karibu. Hamuwezi kushiriki mbio ndefu bila kuhakisha uimara wa afya na miguu yenu na imethibitika afya zenu haziruhusu kushiriki mbio hizo.
We jamaa uelewa wako ni mdogo sana au labda unajaribu kupotisha kwa makusudi uhalisia wa mambo au unataka tu sifa kutoka kwa wenzako. Kama umekosa cha kusema ungenyamaza,hoja yako hii ni hovyo kabisa
 
We jamaa uelewa wako ni mdogo sana au labda unajaribu kupotisha kwa makusudi uhalisia wa mambo au unataka tu sifa kutoka kwa wenzako. Kama umekosa cha kusema ungenyamaza,hoja yako hii ni hovyo kabisa
naweka rekodi sawa ili siku mkishindwa kwa aibu msilalamike kama kawaida yenu
 
Yetu macho, kama hamtaishia kupewa ushindi wa mezani, maana hamna sera mpya zaidi ya kujifanya msiojulikana!
Yetu macho, kama hamtaishia kupewa ushindi wa mezani, maana hamna sera mpya zaidi ya kujifanya msiojulikana!
CCM inapigiwa kura baada ya kuinadi ilani ya chama chetu kwa wananchi, na ilani hiyo inabaki kumbukumbu ya ahadi zetu kwa wananchi ndio maana wanashawishika kutuchagua kila uchaguzi. naomba nione ilani ya chama chochote cha upinzani
 
CCM inapigiwa kura baada ya kuinadi ilani ya chama chetu kwa wananchi, na ilani hiyo inabaki kumbukumbu ya ahadi zetu kwa wananchi ndio maana wanashawishika kutuchagua kila uchaguzi. naomba nione ilani ya chama chochote cha upinzani
Ilani mtakaanazo ila maendeleo ni ng'o!! Komaeni na ilani zenu.
 
Watu wote wanaoipigia kura CCM kwa kiasi kikubwa wanamatatizo kama aliyonayo nabii Tito, hivi kweli unaakiri kweli ukampe kura mtu aliekuahidi ml.50 kila kijiji kwa nadharia na si kiuhalisia,

#mtaishia kuchumia matumbo yenu kwa watu wasiojielewa TU.
matumizi ya milioni 50 kila kijiji yalitolewa ufafanuzi mzuri na watanzania wenye nia njema wamekubaliana na matumizi hayo.

makundi ambayo ndio yalikuwa kinara kwa kuunga upinzani kwa sasa yameamua kuunga juhudi za ujenzi wa nchi yetu kwa kuwa watiifu kwa mwenyeiti wetu taifa. Hii ni habari njema kwa CCM

CCM hatubagui watanzania wenzatu kwa muonekano wake na uwezo wake wa kiakili. kama ni muaminifu, mtiifu na mzalendo hiyo yatosha kuitwa mwanachama hai wa CCM. CCM tunaamini binadamu wote ni sawa na wana haki sawa.
 
Ilani mtakaanazo ila maendeleo ni ng'o!! Komaeni na ilani zenu.
laiti kama upinzani wangechaguliwa kushika dola leo leo ungekuwa ni mwendo wa makanusho tu. mngekanusha kila mnaposhindwa kwa kusema hatukuahidi hivyo kwa sababu kusingekuwa na ilani ya kurejelea ahadi
 
Back
Top Bottom