CCM inarudi kuwa imara maradufu

CCM inarudi kuwa imara maradufu

attachment.php
 
Kwa kweli waliokuwa wanasema kikwete ccm itamfia mikononi mwake imekula kwao... hii ndo ccm ninayoijua mimi big up jk,kinana,nape,migiro kazi kweli mmeifanya na mnaifanya na mumeona jinsi wananchi walivyona matumaini na imanj na ccm na serikali... zungukeni nchi nzima toeni sumu za machafuko chuki uongo zilizosemwa na kina lema sugu mbowe slaa msigwa
kwani walisema inakufa
 
Namna moja tu ya kuirudisha CCM kwenye mioyo ya Watanzania ni kwa CCM kutekeleza ahadi yake ya maisha bora kwa kila Mtanzania. Kwa sasa wapo kwenye about -20%. Wakifanikiwa kufika angalau 60% watarudi mioyoni mwa Watanzania. ..
 
Kweli CCM itaongoza kwa muda mrefu sana nauhakika..ila pale maliasili zetu zitakapoisha madawavya kulevya kubanwa am kuachwa yasilimwe, tembo na vifaru vitakapo isha mbugani na ufisadi kuondolewa nchini Tanzania na hapo CCM itakuwa imekwisha..lakini kwa chama hiki chetu kinacho kumbatia rushwa ujangili kukwepa kodi n kuingiza wageni wafaidike na wao kundi dogo la wenye n hi basi mtaji wa kubakia madarakani dahari na dahari utaendelea. Sijui lini CCM itarudi kwa wanyonge wakulima vijijini na wafanyakazi wadogowadogo
 
Kwa kweli waliokuwa wanasema kikwete ccm itamfia mikononi mwake imekula kwao... hii ndo ccm ninayoijua mimi big up jk,kinana,nape,migiro kazi kweli mmeifanya na mnaifanya na mumeona jinsi wananchi walivyona matumaini na imanj na ccm na serikali... zungukeni nchi nzima toeni sumu za machafuko chuki uongo zilizosemwa na kina lema sugu mbowe slaa msigwa
munajipa moyo wakat munapumulia mashine, mukafie mbali huko.
 
Chama cha wachaga ndio hatari kuliko vitu vyote Tanzania hii

Watu washaondokana na dhana ya ukabila miaka miingi..wewe bado upo huko?!

Anzisha basi chama cha kabila lako kipambane na hicho cha Wachaga unachosema!!
 
Tatizo WANANCHI WANATAKA MAISHA BORA WALIYOAHIDIWA na si mikutano ya hadhara.!
 
Back
Top Bottom