Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 724
Kwani ilikufa?Haiwezi kurudi kirahisi hivyo.Eti Kinana kuhutubia tu ndiyo imerudi.Na mzee mwenyewe ndiye anaye tu malizia tembo wetu.Shame on you!
Hao wabunge na madiwani Nchi nzima ni wachaga.Kadanganye MkeoChama cha wachaga ndio hatari kuliko vitu vyote Tanzania hii
Wachaga nao ni watanzania, siyo? Au mama yako alikwambiaje?
Kweli mkuu maana huo ni ugonjwa unao tokana na uchafu kama walivyo wa chafu waoCCM haikubariki kwani ni sawa na kipindupindu
Mzee wa kuuza pembe za ndovu.Mna laana nyieKwa kweli waliokuwa wanasema kikwete ccm itamfia mikononi mwake imekula kwao... hii ndo ccm ninayoijua mimi big up jk,kinana,nape,migiro kazi kweli mmeifanya na mnaifanya na mumeona jinsi wananchi walivyona matumaini na imanj na ccm na serikali... zungukeni nchi nzima toeni sumu za machafuko chuki uongo zilizosemwa na kina lema sugu mbowe slaa msigwa
mkuu ili kupata ajira kwa kikwete majina hayo yana hitajika.Ngoja atawale mwingine watakongoloa mabaibui yote hayoNasikia baada ya propaganda kuwa chadema ni chama cha kidini, naona mmejitahidi kujisajili kwa majina haya, ya akina Haji Salum, ASHA Mohammed n.k ili ionekane kuwa hata kina haji na wazaramo pia wamo! Yangu macho
Nasikia baada ya propaganda kuwa chadema ni chama cha kidini, naona mmejitahidi kujisajili kwa majina haya, ya akina Haji Salum, ASHA Mohammed n.k ili ionekane kuwa hata kina haji na wazaramo pia wamo! Yangu macho[/QUOTE
We nenda kwa Kikwete sema wewe ni Hemed bin Jumaa bin hemed kamahuja ukwaa ukuu wa wilaya
Nasikia baada ya propaganda kuwa chadema ni chama cha kidini, naona mmejitahidi kujisajili kwa majina haya, ya akina Haji Salum, ASHA Mohammed n.k ili ionekane kuwa hata kina haji na wazaramo pia wamo! Yangu macho
Mkuu tuna tumia hayo kupata kibarua Kwa Kikwete.Yule si mzee wa dini?Nasikia baada ya propaganda kuwa chadema ni chama cha kidini, naona mmejitahidi kujisajili kwa majina haya, ya akina Haji Salum, ASHA Mohammed n.k ili ionekane kuwa hata kina haji na wazaramo pia wamo! Yangu macho
Hawa wajanja kumbe wana fanya tiz la nguvu kuwa wapinzani?CCM wanajiandaa kisaikolojia kuwa wapinzani wewe unasema wamerudi kuwa imara.
Mkuu hao ni wataalamu wakujidanganya.Ukisha kuwa mjinga taabu uta kuw una fikiri watu wote wajingaMkutano unafanyika kyela raia wanasombwa toka iringa ili mjaze mkutano
Mkuu kuliko kuumbuka na watu kiduchu bora kusomba toka mbaliMkutano unafanyika kyela raia wanasombwa toka iringa ili mjaze mkutano
Mkuu majina ya kupatia unga hayo,We ukienda kwa kikwete useme una itwa Hussen bin Addul BIn Mabruku Umeula.Kama si ukuu wa wilaya basi ukurugenziNasikia baada ya propaganda kuwa chadema ni chama cha kidini, naona mmejitahidi kujisajili kwa majina haya, ya akina Haji Salum, ASHA Mohammed n.k ili ionekane kuwa hata kina haji na wazaramo pia wamo! Yangu macho
Kama watu ni wajinga kama wewe ita wezekana.Unawashabikia wezi na walarushwa,wanaouza madini yetu kwa wageni.Kwakweli lazima uwe zuzu kuongea hivyoKwa kweli waliokuwa wanasema kikwete ccm itamfia mikononi mwake imekula kwao... hii ndo ccm ninayoijua mimi big up jk,kinana,nape,migiro kazi kweli mmeifanya na mnaifanya na mumeona jinsi wananchi walivyona matumaini na imanj na ccm na serikali... zungukeni nchi nzima toeni sumu za machafuko chuki uongo zilizosemwa na kina lema sugu mbowe slaa msigwa
Mkuu kuliko kuumbuka na watu kiduchu bora kusomba toka mbali