Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,702
1. Ndani ya CCM hakupo shwari kuna mpasuko mkubwa.
2. Wanalalamika mgombea wao kujiteua yeye mwenyewe kimaigizo ndio maana hakuna anaye mnadi zaidi ya machawa.
3. Serikalini nao wamechoshwa na CCM hasa uongozi wa sasa ndio maana wanafanya mambo hovyo kuichafua CCM.
4. Vyombo vya ulinzi navyo hali si shwari, wamechoka na maagizo toka juu.
mambo ni moto hadi oct 2025, mambo yatakuwa yameharibika sana, tena sana.
2. Wanalalamika mgombea wao kujiteua yeye mwenyewe kimaigizo ndio maana hakuna anaye mnadi zaidi ya machawa.
3. Serikalini nao wamechoshwa na CCM hasa uongozi wa sasa ndio maana wanafanya mambo hovyo kuichafua CCM.
4. Vyombo vya ulinzi navyo hali si shwari, wamechoka na maagizo toka juu.
mambo ni moto hadi oct 2025, mambo yatakuwa yameharibika sana, tena sana.