tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,139
Chama kikongwe sasa kimefikia ukomo, hakuna anayekizungumzia vizur hiki chama, kuanzia vijiwen, maofisin, shulen mpaka vyuo vikuu. Hawa wanatamba kuwa na wanachama mil 4, na wameishia kuleta watoto pale Karimjee hall.