Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,337
- 219,693
Hata wa Lucas mwashambwaHujamuona mtoto wa Kamanda Asiyechoka ?
Hata wa Lucas mwashambwaHujamuona mtoto wa Kamanda Asiyechoka ?
Nyie watoto wenu wataendelea kuwapungia mikono wakipita na Vieite zao LC300 😅
Hatari sana, wengine hadi wanataka kutoana ngeu huku mitaani kumbe wakati wala Nchi ni hilo kundi maalumu 🙌
Kanuni ya asili hii, mtoto wa nyoka ni nyoka. Mtoto akiandaliwa mapema, na kuanza kujifunza kwa vitendo na kukulia maisha ya kiuongozi, ama kwa hakika atakuja kuwa kiongozi mahiri sana siku za mbeleni.View attachment 2845057
Mkiambiwa muwe mnaelewa!
Chagua Isaack Mwigulu Nchemba kwa nafasi ya ujumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa Bara
Hasa wewe johnthebaptist
Wengine hawa hapa
View attachment 2845192View attachment 2845193
Ndio hako hako 🤣 🤣 🤣Acheni utani basi 😄
Haka si kalikuwa Feza kanasoma
Na mbwembwe za baba akakabeba na kuonyesha uniform zake
Machawa imekula kwao 🤣 🤣Yaani Lucas mwashambwa anazidiwa hadi na watoto wadogo hivi???
KumbeNdio hako hako 🤣 🤣 🤣
Wanakula kulingana na urefu wa kamba zao, wengine wamekata kamba kabisa wanakula hadi nyasi za wanyonge 🤣Kumbe
Kanaandaliwa kwenye ukoo wa ......
Ushauri nautoa kwa wazazi walala hoi na watoto wao kwamba tuunde Hamas ya kitanzania (Kikundi cha wapinga ccm). Ili tuwaondoe kwenye mrija hawa wanaofaidi mpaka wanataka kuwarithisha mirija watoto waoInamaana siku hizi Vyama vya Siasa vina Academy ? 😂 Africa kuna upuuzi sana Sexless Unawashauri nin hao watoto ?
Ni halali yao, nchi imejaa watu wenye akili sawa na Lucas Mwashambwa, kwanini akina Mwigulu wasiwatumie kuwarithisha watoto wao madaraka? Watumia ujinga wa watu kuendelea kuwepo madarakani.Wanakula kulingana na urefu wa kamba zao, wengine wamekata kamba kabisa wanakula hadi nyasi za wanyonge