Wakuu kweli watangazaji wengine ni kichefuchefu nimemsikia Hosea Cheyo wa Tbc anasema ccm ina wanachama robo tatu ya wakazi wote wa mkoa wa Mbeya, jamani hv huyu anaijua mbeya au anataka ukuu wa wilaya? Aya bwana na propaganda zenu 2015 mtabadilisha fani
source Tbc taifa
source Tbc taifa