CCM ina wabunge wanne tu!

CCM ina wabunge wanne tu!

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,395
Reaction score
13,266
Ukifuatilia mjadala wa bunge unaoendelea utagundua CCM ina wabunge wanne tu ambao wanawatendea haki wananchi waliowachagua na watanzania kwa ujumla.

Wabunge hao ni Alphaxard Kangi Lugora (Mwibara), Deo Filikunjombe (Ludewa), Ally Keissy Mohamed (Nkasi Kaskazini) na Luhaga Mpina (Kisesa). Wengine waliosalia ni magalasha tu wa kujaza viti bungeni kupiga makofi meza zetu hata kwa mambo ya kijinga kabisa.

Ndio maana utawasikia wanasema wanaunga mkono asilimia mia kwa mia kitu ambacho hakuna wizara inayopata mia kwa mia katika utekelezaji.

Hawa wanne nawatia moyo wasiogope kukolimbwa kwani vita yao ni ya wananchi si ya CCM.
 
hawa wote wamewekwa benchi na cdm uenda wakateuliwa kuwa mabalozi 2015.
 
January naye alikuwa mzuri wakamvuta serikalini kumtuliza, cabinet ikipanguliwa kabla ya 2015 hao wote watapewa shavu. yetu macho
 
ndugu Tulimumu ni kweli kabisa kwa CCM ni wabunge hawa tu ndo wanaonyesha uzalendo hasa Deo Filikunjombe michango yake bungeni imejaa hekima.
Luhaga Mpina na Lugola ni wabunge smart pia. Ally Kessy anajitahidi ila wakati mwingine sio mwangalifu kwenye matamshi yake.
 
1.Alphaxard Kangi Lugora (Mwibara),
2.Deo Filikunjombe (Ludewa),
3.Ally Keissy Mohamed (Nkasi Kaskazini)
4.Luhaga Mpina (Kisesa
).
Agree with you, good analysis...
 
Hata Lusinde nae ni makini sana....yuko tayari kufanywa (kama hajafanywa) kitu cha aibu kwa ajili uzalendo....
 
Hawa ni majembe ya ukweli wengine nasikia wao ni kusinzia nakuachia ushunzii.
 
Ukifuatilia mjadala wa bunge unaoendelea utagundua CCM ina wabunge wanne tu ambao wanawatendea haki wananchi waliowachagua na watanzania kwa ujumla.

Wabunge hao ni Alphaxard Kangi Lugora (Mwibara), Deo Filikunjombe (Ludewa), Ally Keissy Mohamed (Nkasi Kaskazini) na Luhaga Mpina (Kisesa). Wengine waliosalia ni magalasha tu wa kujaza viti bungeni kupiga makofi meza zetu hata kwa mambo ya kijinga kabisa.

Ndio maana utawasikia wanasema wanaunga mkono asilimia mia kwa mia kitu ambacho hakuna wizara inayopata mia kwa mia katika utekelezaji.

Hawa wanne nawatia moyo wasiogope kukolimbwa kwani vita yao ni ya wananchi si ya CCM.

Waliobakia ni WANASERIKALI (msemo mpya)
 
Nakubaliana na tathmini hiyo hapo juu na kumuongeza Mbunge na Waziri Samuel Sitta ambaye siku moja moja utamsikia akinyata walau kusema 'MAWAZO YAKE HURU' na wala si kufuata tu mkumbo kama hawa mamia ya wabunge wa CCM ambao wao hata siku moja mtu hupati kuelewa wanachokifuata kwenye jengo letu la bunge.
 
Ukifuatilia mjadala wa bunge unaoendelea utagundua CCM ina wabunge wanne tu ambao wanawatendea haki wananchi waliowachagua na watanzania kwa ujumla.

Wabunge hao ni Alphaxard Kangi Lugora (Mwibara), Deo Filikunjombe (Ludewa), Ally Keissy Mohamed (Nkasi Kaskazini) na Luhaga Mpina (Kisesa). Wengine waliosalia ni magalasha tu wa kujaza viti bungeni kupiga makofi meza zetu hata kwa mambo ya kijinga kabisa.

Ndio maana utawasikia wanasema wanaunga mkono asilimia mia kwa mia kitu ambacho hakuna wizara inayopata mia kwa mia katika utekelezaji.

Hawa wanne nawatia moyo wasiogope kukolimbwa kwani vita yao ni ya wananchi si ya CCM.
mkuu kwa heshima na taadhima umemsahau acting commander Ester Bulaya, Wengine waliobaki ni mawaziri watarajiwa, wao kazi yao ni moja tu "kuisemea serikali na si wananchi". Ccm ni janga kwa taifa letu!
 
Wabunge wengi kama john komba, gaudence kayombo, mwigulu na wenzake, kazi yao ni kutetea serikali na si wananchi, wakimaliza hapo ni usingizi na totoz! Ccm ni janga kwa taifa letu!
 
Nakubalianana wewe kabisa salute....ila ongezawapo sita mwingine ni Shekirango na Serukamba.

Niliowaongeza nakwambia utaniamini tuu time is ur answer...achana na wapiga kelele bila nia ya dhati
 
Huyu SERUKAMBA kwenye orodha yako; mkuu umeniharibia siku kabisa nikikumbuka lile neno, F.A. K.I.U, mbele ya watoto na wazee wetu - sina hamu kabisa na huyu baba!!!!!!!!!
Nakubalianana wewe kabisa salute....ila ongezawapo sita mwingine ni Shekirango na Serukamba. Niliowaongeza nakwambia utaniamini tuu time is ur answer...achana na wapiga kelele bila nia ya dhati
 
na wabunge mabogasi:
1.stela manyanya (masalo)
2. mwigulu nchemba (mkumbo)
3. hamisi kigwangala
4. juma nkamia

Umemsaha Lameck Airo (Rorya) Tangu Bunge lianze ameongea mara moja tu wakati anauliza swali la nyongeza. Maskini jimbo langu....... Umekosa uwakilishi kwenye bunge hili.
 
Ni kwakua hawajapewa shavu wakipewa shavu utawaona tu!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom