Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,266
Ukifuatilia mjadala wa bunge unaoendelea utagundua CCM ina wabunge wanne tu ambao wanawatendea haki wananchi waliowachagua na watanzania kwa ujumla.
Wabunge hao ni Alphaxard Kangi Lugora (Mwibara), Deo Filikunjombe (Ludewa), Ally Keissy Mohamed (Nkasi Kaskazini) na Luhaga Mpina (Kisesa). Wengine waliosalia ni magalasha tu wa kujaza viti bungeni kupiga makofi meza zetu hata kwa mambo ya kijinga kabisa.
Ndio maana utawasikia wanasema wanaunga mkono asilimia mia kwa mia kitu ambacho hakuna wizara inayopata mia kwa mia katika utekelezaji.
Hawa wanne nawatia moyo wasiogope kukolimbwa kwani vita yao ni ya wananchi si ya CCM.
Wabunge hao ni Alphaxard Kangi Lugora (Mwibara), Deo Filikunjombe (Ludewa), Ally Keissy Mohamed (Nkasi Kaskazini) na Luhaga Mpina (Kisesa). Wengine waliosalia ni magalasha tu wa kujaza viti bungeni kupiga makofi meza zetu hata kwa mambo ya kijinga kabisa.
Ndio maana utawasikia wanasema wanaunga mkono asilimia mia kwa mia kitu ambacho hakuna wizara inayopata mia kwa mia katika utekelezaji.
Hawa wanne nawatia moyo wasiogope kukolimbwa kwani vita yao ni ya wananchi si ya CCM.