Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
Initially Lema was not my bread and butter. But he has earned and now he's won my admiration.
What stands out most is his attitude. Lema is very daring, he's also aggressive (which suits the current war) and of coz he loves his voters. It seems there's a bond with his people which defies the political norms.
CCM wana kila sababu ya kumwogopa Lema, maana hakuna jambo baya ambalo hawajajaribu kumtendea:-
1) Walijaribu kuchakachua matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2010 (hali iliyopelekea kucheleweshwa kutangazwa kwa matokeo na kusababisha taharuki ambayo kama RPC Basilio Matei hakuingilia huenda maafa makubwa yangetokea)
2) Mchakato mzima wa uchaguzi wa Meya wa Arusha na mauaji yaliyofutia
3) Vurugu, dhuluma na hujuma ili kumsababisha asitekeleze majukumu yake ya kibunge jimboni kwake
4) Katika kupinga dhuluma na uonevu dhidi yake na hasa kwa wapiga kura wake Lema "alijotlea" kukaa magereza kwa siku 14. Juhudi za kumsihi atoke gerezani zilfanikiwa kabla ya kipindi hicho kutimia.
5) Lema alibaini na kusimama kidete kupinga hila na njama za madiwani watano walioisaliti CHADEMA na wananchi wao.
6) CCM kupitia Jaji mchumia tumbo wakamvua ubunge ktk mazingira tata na ya aibu
7) Alitumia muda na fursa hiyo kukitumikia chama na hasa vuguvugu la M4C. Kila alikokwenda ameisambratisha CCM na hivyo kumwongezea kujiamini na mbinu zaidi za kisiasa na kiutendaji.
8) Ingawa Lema hakutaka kukata rufaa, alishauriwa na kukubali ushauri wa kukata rufaa na hatimaye tarehe 21 Disemba 2012 alitangazwa kuwa Mbunge halali wa Arusha na Mahakama ya Rufaa.
Hivyo kwa hayo machache Lema haihofii wala kutishwa na CCM kwa lolote, ila kinyume chake ni CCM wanaomhofia Lema. Afanye kazi kwa kipindi kilichobaki maana mchango na uongozi wake unahitajika sana jimboni kwake kwa sasa.
May G-D bless Godbless J. Lema
What stands out most is his attitude. Lema is very daring, he's also aggressive (which suits the current war) and of coz he loves his voters. It seems there's a bond with his people which defies the political norms.
CCM wana kila sababu ya kumwogopa Lema, maana hakuna jambo baya ambalo hawajajaribu kumtendea:-
1) Walijaribu kuchakachua matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2010 (hali iliyopelekea kucheleweshwa kutangazwa kwa matokeo na kusababisha taharuki ambayo kama RPC Basilio Matei hakuingilia huenda maafa makubwa yangetokea)
2) Mchakato mzima wa uchaguzi wa Meya wa Arusha na mauaji yaliyofutia
3) Vurugu, dhuluma na hujuma ili kumsababisha asitekeleze majukumu yake ya kibunge jimboni kwake
4) Katika kupinga dhuluma na uonevu dhidi yake na hasa kwa wapiga kura wake Lema "alijotlea" kukaa magereza kwa siku 14. Juhudi za kumsihi atoke gerezani zilfanikiwa kabla ya kipindi hicho kutimia.
5) Lema alibaini na kusimama kidete kupinga hila na njama za madiwani watano walioisaliti CHADEMA na wananchi wao.
6) CCM kupitia Jaji mchumia tumbo wakamvua ubunge ktk mazingira tata na ya aibu
7) Alitumia muda na fursa hiyo kukitumikia chama na hasa vuguvugu la M4C. Kila alikokwenda ameisambratisha CCM na hivyo kumwongezea kujiamini na mbinu zaidi za kisiasa na kiutendaji.
8) Ingawa Lema hakutaka kukata rufaa, alishauriwa na kukubali ushauri wa kukata rufaa na hatimaye tarehe 21 Disemba 2012 alitangazwa kuwa Mbunge halali wa Arusha na Mahakama ya Rufaa.
Hivyo kwa hayo machache Lema haihofii wala kutishwa na CCM kwa lolote, ila kinyume chake ni CCM wanaomhofia Lema. Afanye kazi kwa kipindi kilichobaki maana mchango na uongozi wake unahitajika sana jimboni kwake kwa sasa.
May G-D bless Godbless J. Lema