Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
nani anaweza kunieleza baada ya kuzaliwa kwa tanzania na ccm nini kilibadilika mbali ya majina.hapa tunazungumzia miaka 50 ya utumwa wa ccm samahani uhuru.
Au tuseme una gari Toyota halafu ukatoa engine yake ukaweka engine ya Nissan, je gari hiyo ikitembea mtaani utaiita Toyota au Nissan? je uta update card ya gari au la?