Napepesa macho nione la maana naambulia kusoma usanii mtupu. Mnatuchosha sana na ni heri muache kuandika.
Ehe humo ndani ya mkutano wangapi walijikuna na wangapi walikaa muda wote bila kwenda kujisaidia. Si ndio habari zenyewe hizo, basi ziandikeni.
Hivi CHADEMA hawana mikutano? Ni nani atagombea uenyekiti wa CHADEMA Taifa. Ni heri wafanye hivyo kabla jahazi halijaenda mrama.
Ehe humo ndani ya mkutano wangapi walijikuna na wangapi walikaa muda wote bila kwenda kujisaidia. Si ndio habari zenyewe hizo, basi ziandikeni.
Hivi CHADEMA hawana mikutano? Ni nani atagombea uenyekiti wa CHADEMA Taifa. Ni heri wafanye hivyo kabla jahazi halijaenda mrama.