Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,086
- 16,060
Hiv watu wanaoandikaga thread hiz wanakuaga ni watu wa aina gan..mi nahis wanakuaga na mania..yaan ka ugonjwa flan ka akil kale ka kitu mtu anajua kabisa hakiwezekan ila yey akil yake inamtuma inawezekana..ndo wale unakuta wanaongea peke yao..yaan utamkuta anaongea kua ..ooh naweZa kupaa naweza kupaa.af siwez kupaa.mi sielew.hiv mtu mwenye akil timamu anaongea kabisa kuwa chadema inachkua nchi..unajiuluza hiv huyu yyko timamu kwel
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
