CCM Imepoteza dira, haina hoja tena

CCM Imepoteza dira, haina hoja tena

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,555
Reaction score
57,850
Eti wangepewa muda wajitetee! Majibu ya kujitetea kwa Membe yako wapi? Lissu alijitetea wapi? Nasari alijitetea? Meya wa Jiji mpaka anafungiwa ofisi!, Meya wa Iringa Je? Meya wa Ubungo je? Ccm mmepoteza dira ni chama ambacho hakina hoja mbele ya umma. Naunga Mkono Mbowe Safisha Chama bado kuna wengine fukuza takataka zote.
 
Ilishapoteza dira kitambo sn ndio maana kuna goli la mkono, ndio maana dunia imetangaziwa kwamba ccm itaendelea kutumia dola kubaki madarakani ndio maana rais amewakataza wakurugenzi aliowateua na kuwalipa mshahara yy wamtangaze mpinzani aliyeshinda na ndio maana ccm wanaogopa uchaguzi (rejea chaguzi za marudio rejea uchaguzi serikali za mitaa etc)

ccm NI CHAMA CHA KISHETANI
 
Membe alipewa nafasi ya kujitetea mkuu acha kupaniki
 
Ninachofurahi Baada ya October Chadema itakuwa haina mbunge hata mmoja

Mbowe Akili zitamkaa sawa
 
Ninachofurahi Baada ya October Chadema itakuwa haina mbunge hata mmoja

Mbowe Akili zitamkaa sawa
Broo Chadema sio Wabunge. Nakwataarifa yako, CHADEMA bila wabunge itawapelekesha hata kuliko hii yenye Wabunge wanafiki.
Endeleeni kumdanganya Mbatia kuwa mnampa wabunge 20 wakati kwenye jimbo lake mwenyewe wakirua hawataki hata kumuona. Mark my words.
 
Eti wangepewa muda wajitetee! Majibu ya kujitetea kwa Membe yako wapi? Lissu alijitetea wapi? Nasari alijitetea? Meya wa Jiji mpaka anafungiwa ofisi!, Meya wa Iringa Je? Meya wa Ubungo je? Ccm mmepoteza dira ni chama ambacho hakina hoja mbele ya umma. Naunga Mkono Mbowe Safisha Chama bado kuna wengine fukuza takataka zote.
Wanaweweseka. Wawachukue tu sisi tumekinai. Si wengine wanawanunua kwa pesa nyingi? Tumewaongeza na wa Bure.🤣🤣
 
Haahaa mbaya zaidi had I viongozi wao wastaafu wameishiwa pumzi, wameshindwa hats kukemea uvunjifu Wa katiba unaofanywa Na viongozi wao waandamizi akiwepo ndugai
 
Tangu remote iende mafichoni channel zina sua sua .malq zije mala zikatike...ata spika wetu kuna mda channel zina kata


Naona wapiwe akili

sijui itakuaje
 
Chadema hii inayokimbiwa na watu wanaoijielewa impelekeshe nani ?

Watapelekeshwa na mahakama kwa kuvunjwa sheria Nadhani mtaendelea kuwachangia
Broo Chadema sio Wabunge. Nakwataarifa yako, CHADEMA bila wabunge itawapelekesha hata kuliko hii yenye Wabunge wanafiki.
Endeleeni kumdanganya Mbatia kuwa mnampa wabunge 20 wakati kwenye jimbo lake mwenyewe wakirua hawataki hata kumuona. Mark my words.
 
Ninachofurahi Baada ya October Chadema itakuwa haina mbunge hata mmoja

Mbowe Akili zitamkaa sawa

Ni kweli ila sio kwa njia ya kura, bali kupitia madaraka ya urais yanayotumika vibaya, aliyonayo mwenyekiti wa ccm.
 
Chadema hii inayokimbiwa na watu wanaoijielewa impelekeshe nani ?

Watapelekeshwa na mahakama kwa kuvunjwa sheria Nadhani mtaendelea kuwachangia

Hizo mahakama zisizo huru?
 
Eti wangepewa muda wajitetee! Majibu ya kujitetea kwa Membe yako wapi? Lissu alijitetea wapi? Nasari alijitetea? Meya wa Jiji mpaka anafungiwa ofisi!, Meya wa Iringa Je? Meya wa Ubungo je? Ccm mmepoteza dira ni chama ambacho hakina hoja mbele ya umma. Naunga Mkono Mbowe Safisha Chama bado kuna wengine fukuza takataka zote.
Kwa sasa adui wa kwanza wa tz ni cdm inashangazaaaaa mnooooo tunaacha kushughulikia mambo ya msingi eti tunasigina katiba kisa chadema? Nawaza sipati majibu kila siku, nyerere aliainisha maadui watatu Leo hiii adui ni cdm? Really? NO THERE MUST BE SOMETHING WRONG SOMEWHERE, kinachotengenezwa si kizur kwa ustawi wa taifa
 
Chadema hii inayokimbiwa na watu wanaoijielewa impelekeshe nani ?

Watapelekeshwa na mahakama kwa kuvunjwa sheria Nadhani mtaendelea kuwachangia
Nimependa sana ushujaa wa CHADEMA. Hiki chama Nyerere alikitabiria makubwa na yanakuja. CHADEMA inafuata katiba na kanuni zake mtu akileta ujinga anapigwa chini hata akiwa nani hakuna kumwangalia mtu usoni. Yaani CHADEMA ikishika uskani nchi hii itanyooka kama rula.
 
Back
Top Bottom