Mimi sijui, lakini Tanzania ilikuwa tunaelekea kubaya kwa vitendo kama mikataba, ufisadi, rushwa, ukwepaji kodi, ubadhilifu, madawa ya kulevya na kutoajibika kwa wananchi. Hata kama upinzani ungeshinda uchaguzi ingebidi wafanye hivihivi anavyofanya Rais Magufuli hakuna namna nyingine ya kufanya kuwaambia watu wasiuze madawa ya kulevya, wasile rushwa, wasiingie mikataba mibovu kwa maslahi yao, kuwaondoa wafanyakazi hewa, nk wakakuelewa.
Katika utawala wa awamu ya tano nchi imepona pia kindendo cha uchumi na budget ya nchi kuegemea zaidi kanda ya Kaskazini.