Hii pia inawaudhi wanaccm wengi sana. maana magumi, nguvu na kuuana kwasabb ya siasa siyo hulka ya watanzania. Huyu mwanaccm mwenzetu amekuja na utamaduni mpya. Ndani ya vyama vya upinzani kuna wanetu, waume zetu, ndugu zetu na jamaa zetu. Ingependeza kama tukawa tunasutana kwenye majukwaa lkn tunaishi kwa upendo.
kuna wanaccm wengi wangependa kwenda hata kumpa pole mhe Tundu Lisu lkn wakikumbuka kilichowapata akina Vicky Kamata na Dr Kafumu wanaufyata
Fukuto ninaloliona kubwa ni huu uchaguzi wa Kata ulioisha umeacha makundi makubwa Mfano huku kwetu mwenyekiti wa Kata aliyepatikana ameshaanza kutengeneza timu yake kwa ajili ya kuutaka Udiwani na Diwani aliyopo ni wetu sio wa upinzani. Bado ujaja ktk wabunge ambao wako tofauti na yanayifanyika chamani mwisho nao ndo utaleta mpasuko mkubwa zaidi ambao hautakiacha chama salamaNilihudhiria ktk mkutano l
uliyomchagua ndugu Diallo majuzi tu. Wajumbe wengi walikuwa wanaongelea chini chini juu ya uongozi wa juu namna unavyopeleka mambo ya chama. Namna unavyotoa hongo ya vyeo kwa wapinzani . Mwenye macho na asikie, kuna fukuto kubwa sana ndani ya ccm
Kwa taarifa yako ccm inaharibiwa na watu wema kukaa kimya. Matokeo yake watu wabaya wabaishia kupata nguvu, mkija kuhamaki wema mmejaa woga. Mlishindwa kujifunza kwa kuachia chama kushikwa na mafisadi na leo mnarudia kosa lile lile la kuacha chama kuongozwa na makatili. Mtajikuta mnapangiwa mpaka watu wakusakimiana nao na kula nao. Kama sio ufala mtu mmoja au kikundi chake kinawapangia mtu wa kumtembelea hiyo ni tabia ya watanzania? Jifanyeni mmekitoa chama kwenye mafisadi mukihamishie kwa wauaji.
Kwa ujumla Mwenyekiti inatakiwa ajirudi mapema la sivyo tunarudi kule kule kwa anachokifanya ni yale maendeleo ya kuonekana macho mwisho watu wabachukulia kawaida mara miaka mitano imekatikaKuna ka mchezo kanachezwa hapa mkuu....kanaitwa divide and rule. Anayeonekana kuwa kundi lake ama yeye mwenyewe ana madhara baadaye anapewa cheo
mfano Abdallah Bulembo, Mama Salma, Nchimbi kupewa Ubalozi, nk.
Hadi nyie mnaisoma nambaNinaumia sana tena sana pale ninapoona furaha na fahari tuliyokuwa nayo wanaccm katika awamu zilizopita inatoweka kwa kasi ya ajabu sana. Tumehangaika sana kutafuta ushindi 2015 kwasabb wapinzani walikuwa na nguvu sana.
Lkn mahangaiko hayo na shida tulizopata hayapati mrejesho chanya. Kwa maana ya kwamba hatupewi thamani na hadhi tunayo stahili ndani ya chama. Nitatoa mifano michache tu.
Mosi, majukwaani serikali iliyopo madarakani inatambulishwa kama serikali ya Magufuli. Jambi hili linafanywa na viongozi wote wa ngazi zote, sijui ni kwa bahati mbaya ama ni kwa sabb gani? Jambo hili linadhihirisha namna ambavyo wanaccm tusivyo na thamani awamu hii.
Pili, wanaccm hatuna sauti tena, hatuna haki tena kama raia ama wanachama kukikosoa ama kukishauri chama. Hata ktk vikao vya maamuzi tunaenda kupokea yaliyoaamriwa ama kupangwa na Mwenyekiti taifa. Nyote mnakumbuka Bashe na Msukuma walitiwa nguvuni kwa jaribio la kupinga mawazo ya mwenyekiti asiwe mgombea pekee ndani ya chama 2020. Msambatavangu akavuliwa uanachama kwasabb ya kuendesha kampeni za chini chini kupinga hoja hiyo hiyo.
Tatu, mwenyekiti amekuwa akigawa vyeo kwa anaowataka yeye na si kama anavyoelekezwa na chama. Nafahamu katiba inamruhusu. Lkn haiingii akilini watu waliokesha maporini na kutukanwa mitaani ama kuzomewa wakasahaulika. Ubinadamu na hulka za watanzania vinakataa suala hili. Amewapa uongozi wapinzani ambao wametutukana sana wakati wa kampeni. Kweli??
Nne, kuonesha kuwa chama ni cha MTU na hakifanyi kazi tena kama taasisi, mwenyekiti akikasirishwa na MTU anampa adhabu, akipigiwa magoti ama akitukuzwa tu anamuondolea adhabu. Mfano ni Sophia Simba.
CCM haikuomba kura ili kuja kubomoa misingi ya umoja na mshikamano baina yetu. Sisi sote ni ndugu. Kwann hata kwenda kumuona mtanzania mwenzetu aliyelazwa Nairobi iwe nongwa? Tunaonekana watu wa ajabu kqbisa. Wanaccm wengi wangependa kwenda lkn wakikumbuka yaliyowapata akina Dr Kafumu na Vicky Kamata wanaufyata. Hii siyo ccm ninayoijua mm.
Wanaccm tunajiuliza hivi tutapata wapi nguvuni tena ya kukitetea chama ktk chaguzi zijazo kama hatuthaminiwi baada ya kampeni?
Ww ukitaka baki chamani, hutaki sepa.
Wajumbe wengi walikuwa wanaongelea chini chini juu ya uongozi wa juu namna unavyopeleka mambo ya chama. Namna unavyotoa hongo ya vyeo kwa wapinzani . Mwenye macho na asikie, kuna fukuto kubwa sana ndani ya ccm
Kweli wewe ni kigodoroNinaumia sana tena sana pale ninapoona furaha na fahari tuliyokuwa nayo wanaccm katika awamu zilizopita inatoweka kwa kasi ya ajabu sana. Tumehangaika sana kutafuta ushindi 2015 kwasabb wapinzani walikuwa na nguvu sana.
Lkn mahangaiko hayo na shida tulizopata hayapati mrejesho chanya. Kwa maana ya kwamba hatupewi thamani na hadhi tunayo stahili ndani ya chama. Nitatoa mifano michache tu.
Mosi, majukwaani serikali iliyopo madarakani inatambulishwa kama serikali ya Magufuli. Jambi hili linafanywa na viongozi wote wa ngazi zote, sijui ni kwa bahati mbaya ama ni kwa sabb gani? Jambo hili linadhihirisha namna ambavyo wanaccm tusivyo na thamani awamu hii.
Pili, wanaccm hatuna sauti tena, hatuna haki tena kama raia ama wanachama kukikosoa ama kukishauri chama. Hata ktk vikao vya maamuzi tunaenda kupokea yaliyoaamriwa ama kupangwa na Mwenyekiti taifa. Nyote mnakumbuka Bashe na Msukuma walitiwa nguvuni kwa jaribio la kupinga mawazo ya mwenyekiti asiwe mgombea pekee ndani ya chama 2020. Msambatavangu akavuliwa uanachama kwasabb ya kuendesha kampeni za chini chini kupinga hoja hiyo hiyo.
Tatu, mwenyekiti amekuwa akigawa vyeo kwa anaowataka yeye na si kama anavyoelekezwa na chama. Nafahamu katiba inamruhusu. Lkn haiingii akilini watu waliokesha maporini na kutukanwa mitaani ama kuzomewa wakasahaulika. Ubinadamu na hulka za watanzania vinakataa suala hili. Amewapa uongozi wapinzani ambao wametutukana sana wakati wa kampeni. Kweli??
Nne, kuonesha kuwa chama ni cha MTU na hakifanyi kazi tena kama taasisi, mwenyekiti akikasirishwa na MTU anampa adhabu, akipigiwa magoti ama akitukuzwa tu anamuondolea adhabu. Mfano ni Sophia Simba.
CCM haikuomba kura ili kuja kubomoa misingi ya umoja na mshikamano baina yetu. Sisi sote ni ndugu. Kwann hata kwenda kumuona mtanzania mwenzetu aliyelazwa Nairobi iwe nongwa? Tunaonekana watu wa ajabu kqbisa. Wanaccm wengi wangependa kwenda lkn wakikumbuka yaliyowapata akina Dr Kafumu na Vicky Kamata wanaufyata. Hii siyo ccm ninayoijua mm.
Wanaccm tunajiuliza hivi tutapata wapi nguvuni tena ya kukitetea chama ktk chaguzi zijazo kama hatuthaminiwi baada ya kampeni?
Juhudi gani alizozifanya magufuli kwene uchaguz 2015, yaan magufuli ni dodo tu lilimdondokea ukitegemea hakuwa na nguvu kisiasa na ushawishi ndani ya chama hata utundu wa kisias hana inshort is not a good politician n he was powerless,. Waliofanya juhudi wapo kama kina mzee kinana,nape,kikwete,wazee wa baraza la chama,. Yaani magufuli alikuepo tu lkn michezo walicheza wataalamBila juhudi za Mh. Magufuli kama Magufuli CCM ingeshindwa mwaka 2015, wacha aitengeneze nchi. CCM ilikithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi, kuuza madawa ya kulevya, meno ya tembo na mali asili nyingine na ubadhilifu. CCM ilipoteza mwelekeo wake wala usilalamike sana mwenzangu ndugu yangu. Ngoja asafishe nyumba kwa miaka 5 hii kwanza.
Na mwenyekiti ataufurahisha umma kama sio umati kama atavirejesha viwanja vyote vya mpira TFF kabla 2020.
Kauli kama hizi ndizo zinampa kiburi mwenyekiti anafika mahala anatuona wengine ni maboya tu. Hivi mtu unaanzaje kusema Magufuli alifanya juhudi kubwa za kukibeba chama? Watu wanaosema hivi mkuu ndiyo wananiumiza sana kichwaJuhudi gani alizozifanya magufuli kwene uchaguz 2015, yaan magufuli ni dodo tu lilimdondokea ukitegemea hakuwa na nguvu kisiasa na ushawishi ndani ya chama hata utundu wa kisias hana inshort is not a good politician n he was powerless,. Waliofanya juhudi wapo kama kina mzee kinana,nape,kikwete,wazee wa baraza la chama,. Yaani magufuli alikuepo tu lkn michezo walicheza wataalam
kabla ya 2015; Chagua CCM chagua kikweteJuhudi gani alizozifanya magufuli kwene uchaguz 2015, yaan magufuli ni dodo tu lilimdondokea ukitegemea hakuwa na nguvu kisiasa na ushawishi ndani ya chama hata utundu wa kisias hana inshort is not a good politician n he was powerless,. Waliofanya juhudi wapo kama kina mzee kinana,nape,kikwete,wazee wa baraza la chama,. Yaani magufuli alikuepo tu lkn michezo walicheza wataalam
Nilihudhiria ktk mkutano l
uliyomchagua ndugu Diallo majuzi tu. Wajumbe wengi walikuwa wanaongelea chini chini juu ya uongozi wa juu namna unavyopeleka mambo ya chama. Namna unavyotoa hongo ya vyeo kwa wapinzani . Mwenye macho na asikie, kuna fukuto kubwa sana ndani ya ccm