CCM imekuwa mali ya mtu?

CCM imekuwa mali ya mtu?

Hii pia inawaudhi wanaccm wengi sana. maana magumi, nguvu na kuuana kwasabb ya siasa siyo hulka ya watanzania. Huyu mwanaccm mwenzetu amekuja na utamaduni mpya. Ndani ya vyama vya upinzani kuna wanetu, waume zetu, ndugu zetu na jamaa zetu. Ingependeza kama tukawa tunasutana kwenye majukwaa lkn tunaishi kwa upendo.

kuna wanaccm wengi wangependa kwenda hata kumpa pole mhe Tundu Lisu lkn wakikumbuka kilichowapata akina Vicky Kamata na Dr Kafumu wanaufyata

Kwa taarifa yako ccm inaharibiwa na watu wema kukaa kimya. Matokeo yake watu wabaya wabaishia kupata nguvu, mkija kuhamaki wema mmejaa woga. Mlishindwa kujifunza kwa kuachia chama kushikwa na mafisadi na leo mnarudia kosa lile lile la kuacha chama kuongozwa na makatili. Mtajikuta mnapangiwa mpaka watu wakusakimiana nao na kula nao. Kama sio ufala mtu mmoja au kikundi chake kinawapangia mtu wa kumtembelea hiyo ni tabia ya watanzania? Jifanyeni mmekitoa chama kwenye mafisadi mukihamishie kwa wauaji.
 
Nilihudhiria ktk mkutano l
uliyomchagua ndugu Diallo majuzi tu. Wajumbe wengi walikuwa wanaongelea chini chini juu ya uongozi wa juu namna unavyopeleka mambo ya chama. Namna unavyotoa hongo ya vyeo kwa wapinzani . Mwenye macho na asikie, kuna fukuto kubwa sana ndani ya ccm
Fukuto ninaloliona kubwa ni huu uchaguzi wa Kata ulioisha umeacha makundi makubwa Mfano huku kwetu mwenyekiti wa Kata aliyepatikana ameshaanza kutengeneza timu yake kwa ajili ya kuutaka Udiwani na Diwani aliyopo ni wetu sio wa upinzani. Bado ujaja ktk wabunge ambao wako tofauti na yanayifanyika chamani mwisho nao ndo utaleta mpasuko mkubwa zaidi ambao hautakiacha chama salama
 
Kwa taarifa yako ccm inaharibiwa na watu wema kukaa kimya. Matokeo yake watu wabaya wabaishia kupata nguvu, mkija kuhamaki wema mmejaa woga. Mlishindwa kujifunza kwa kuachia chama kushikwa na mafisadi na leo mnarudia kosa lile lile la kuacha chama kuongozwa na makatili. Mtajikuta mnapangiwa mpaka watu wakusakimiana nao na kula nao. Kama sio ufala mtu mmoja au kikundi chake kinawapangia mtu wa kumtembelea hiyo ni tabia ya watanzania? Jifanyeni mmekitoa chama kwenye mafisadi mukihamishie kwa wauaji.

Kuna ka mchezo kanachezwa hapa mkuu....kanaitwa divide and rule. Anayeonekana kuwa kundi lake ama yeye mwenyewe ana madhara baadaye anapewa cheo

mfano Abdallah Bulembo, Mama Salma, Nchimbi kupewa Ubalozi, nk.
 
Kuna ka mchezo kanachezwa hapa mkuu....kanaitwa divide and rule. Anayeonekana kuwa kundi lake ama yeye mwenyewe ana madhara baadaye anapewa cheo

mfano Abdallah Bulembo, Mama Salma, Nchimbi kupewa Ubalozi, nk.
Kwa ujumla Mwenyekiti inatakiwa ajirudi mapema la sivyo tunarudi kule kule kwa anachokifanya ni yale maendeleo ya kuonekana macho mwisho watu wabachukulia kawaida mara miaka mitano imekatika
 
Ninaumia sana tena sana pale ninapoona furaha na fahari tuliyokuwa nayo wanaccm katika awamu zilizopita inatoweka kwa kasi ya ajabu sana. Tumehangaika sana kutafuta ushindi 2015 kwasabb wapinzani walikuwa na nguvu sana.

Lkn mahangaiko hayo na shida tulizopata hayapati mrejesho chanya. Kwa maana ya kwamba hatupewi thamani na hadhi tunayo stahili ndani ya chama. Nitatoa mifano michache tu.

Mosi, majukwaani serikali iliyopo madarakani inatambulishwa kama serikali ya Magufuli. Jambi hili linafanywa na viongozi wote wa ngazi zote, sijui ni kwa bahati mbaya ama ni kwa sabb gani? Jambo hili linadhihirisha namna ambavyo wanaccm tusivyo na thamani awamu hii.

Pili, wanaccm hatuna sauti tena, hatuna haki tena kama raia ama wanachama kukikosoa ama kukishauri chama. Hata ktk vikao vya maamuzi tunaenda kupokea yaliyoaamriwa ama kupangwa na Mwenyekiti taifa. Nyote mnakumbuka Bashe na Msukuma walitiwa nguvuni kwa jaribio la kupinga mawazo ya mwenyekiti asiwe mgombea pekee ndani ya chama 2020. Msambatavangu akavuliwa uanachama kwasabb ya kuendesha kampeni za chini chini kupinga hoja hiyo hiyo.

Tatu, mwenyekiti amekuwa akigawa vyeo kwa anaowataka yeye na si kama anavyoelekezwa na chama. Nafahamu katiba inamruhusu. Lkn haiingii akilini watu waliokesha maporini na kutukanwa mitaani ama kuzomewa wakasahaulika. Ubinadamu na hulka za watanzania vinakataa suala hili. Amewapa uongozi wapinzani ambao wametutukana sana wakati wa kampeni. Kweli??

Nne, kuonesha kuwa chama ni cha MTU na hakifanyi kazi tena kama taasisi, mwenyekiti akikasirishwa na MTU anampa adhabu, akipigiwa magoti ama akitukuzwa tu anamuondolea adhabu. Mfano ni Sophia Simba.

CCM haikuomba kura ili kuja kubomoa misingi ya umoja na mshikamano baina yetu. Sisi sote ni ndugu. Kwann hata kwenda kumuona mtanzania mwenzetu aliyelazwa Nairobi iwe nongwa? Tunaonekana watu wa ajabu kqbisa. Wanaccm wengi wangependa kwenda lkn wakikumbuka yaliyowapata akina Dr Kafumu na Vicky Kamata wanaufyata. Hii siyo ccm ninayoijua mm.

Wanaccm tunajiuliza hivi tutapata wapi nguvuni tena ya kukitetea chama ktk chaguzi zijazo kama hatuthaminiwi baada ya kampeni?
Hadi nyie mnaisoma namba
 
Ww ukitaka baki chamani, hutaki sepa.

Hili ni jambo la maana sana. Ninyi ndiyo mliokuwa mnakihujumu chama chetu. Sasa mumebanwa mbavu, mnaanza kulalama. Wewe ukitaka baki chamani, hutaki sepa! Chama hakiteteleki kwa porojo zako!
 
Wajumbe wengi walikuwa wanaongelea chini chini juu ya uongozi wa juu namna unavyopeleka mambo ya chama. Namna unavyotoa hongo ya vyeo kwa wapinzani . Mwenye macho na asikie, kuna fukuto kubwa sana ndani ya ccm

Unashangaza sana! Eti hongo, ahongwe nani? Huo upande mwingine hakuna mpya, zote ni nyeusi, kwanini mtu ang'ang'anie kuti kavu? Karibuni nyumbani kwenu...
 
Ninaumia sana tena sana pale ninapoona furaha na fahari tuliyokuwa nayo wanaccm katika awamu zilizopita inatoweka kwa kasi ya ajabu sana. Tumehangaika sana kutafuta ushindi 2015 kwasabb wapinzani walikuwa na nguvu sana.

Lkn mahangaiko hayo na shida tulizopata hayapati mrejesho chanya. Kwa maana ya kwamba hatupewi thamani na hadhi tunayo stahili ndani ya chama. Nitatoa mifano michache tu.

Mosi, majukwaani serikali iliyopo madarakani inatambulishwa kama serikali ya Magufuli. Jambi hili linafanywa na viongozi wote wa ngazi zote, sijui ni kwa bahati mbaya ama ni kwa sabb gani? Jambo hili linadhihirisha namna ambavyo wanaccm tusivyo na thamani awamu hii.

Pili, wanaccm hatuna sauti tena, hatuna haki tena kama raia ama wanachama kukikosoa ama kukishauri chama. Hata ktk vikao vya maamuzi tunaenda kupokea yaliyoaamriwa ama kupangwa na Mwenyekiti taifa. Nyote mnakumbuka Bashe na Msukuma walitiwa nguvuni kwa jaribio la kupinga mawazo ya mwenyekiti asiwe mgombea pekee ndani ya chama 2020. Msambatavangu akavuliwa uanachama kwasabb ya kuendesha kampeni za chini chini kupinga hoja hiyo hiyo.

Tatu, mwenyekiti amekuwa akigawa vyeo kwa anaowataka yeye na si kama anavyoelekezwa na chama. Nafahamu katiba inamruhusu. Lkn haiingii akilini watu waliokesha maporini na kutukanwa mitaani ama kuzomewa wakasahaulika. Ubinadamu na hulka za watanzania vinakataa suala hili. Amewapa uongozi wapinzani ambao wametutukana sana wakati wa kampeni. Kweli??

Nne, kuonesha kuwa chama ni cha MTU na hakifanyi kazi tena kama taasisi, mwenyekiti akikasirishwa na MTU anampa adhabu, akipigiwa magoti ama akitukuzwa tu anamuondolea adhabu. Mfano ni Sophia Simba.

CCM haikuomba kura ili kuja kubomoa misingi ya umoja na mshikamano baina yetu. Sisi sote ni ndugu. Kwann hata kwenda kumuona mtanzania mwenzetu aliyelazwa Nairobi iwe nongwa? Tunaonekana watu wa ajabu kqbisa. Wanaccm wengi wangependa kwenda lkn wakikumbuka yaliyowapata akina Dr Kafumu na Vicky Kamata wanaufyata. Hii siyo ccm ninayoijua mm.

Wanaccm tunajiuliza hivi tutapata wapi nguvuni tena ya kukitetea chama ktk chaguzi zijazo kama hatuthaminiwi baada ya kampeni?
Kweli wewe ni kigodoro
 
Bila juhudi za Mh. Magufuli kama Magufuli CCM ingeshindwa mwaka 2015, wacha aitengeneze nchi. CCM ilikithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi, kuuza madawa ya kulevya, meno ya tembo na mali asili nyingine na ubadhilifu. CCM ilipoteza mwelekeo wake wala usilalamike sana mwenzangu ndugu yangu. Ngoja asafishe nyumba kwa miaka 5 hii kwanza.
Na mwenyekiti ataufurahisha umma kama sio umati kama atavirejesha viwanja vyote vya mpira TFF kabla 2020.
Juhudi gani alizozifanya magufuli kwene uchaguz 2015, yaan magufuli ni dodo tu lilimdondokea ukitegemea hakuwa na nguvu kisiasa na ushawishi ndani ya chama hata utundu wa kisias hana inshort is not a good politician n he was powerless,. Waliofanya juhudi wapo kama kina mzee kinana,nape,kikwete,wazee wa baraza la chama,. Yaani magufuli alikuepo tu lkn michezo walicheza wataalam
 
Juhudi gani alizozifanya magufuli kwene uchaguz 2015, yaan magufuli ni dodo tu lilimdondokea ukitegemea hakuwa na nguvu kisiasa na ushawishi ndani ya chama hata utundu wa kisias hana inshort is not a good politician n he was powerless,. Waliofanya juhudi wapo kama kina mzee kinana,nape,kikwete,wazee wa baraza la chama,. Yaani magufuli alikuepo tu lkn michezo walicheza wataalam
Kauli kama hizi ndizo zinampa kiburi mwenyekiti anafika mahala anatuona wengine ni maboya tu. Hivi mtu unaanzaje kusema Magufuli alifanya juhudi kubwa za kukibeba chama? Watu wanaosema hivi mkuu ndiyo wananiumiza sana kichwa
 
Juhudi gani alizozifanya magufuli kwene uchaguz 2015, yaan magufuli ni dodo tu lilimdondokea ukitegemea hakuwa na nguvu kisiasa na ushawishi ndani ya chama hata utundu wa kisias hana inshort is not a good politician n he was powerless,. Waliofanya juhudi wapo kama kina mzee kinana,nape,kikwete,wazee wa baraza la chama,. Yaani magufuli alikuepo tu lkn michezo walicheza wataalam
kabla ya 2015; Chagua CCM chagua kikwete

2015; Chagua Magufuli neno CCM mkaliondoa!

Mlibinafsisha chama wenyewe msimulaum anachojua yeye ndio alikiokoa chama na si chama kilimuwezesha kuwa hapo alipo.
 
Kwani bado kuna ccm? Chama kilichomadarakani ni chama cha manunuzi we waajabu ccm ilishaondoka kitambo
 
CCM members and all Tanzanians, SPEAK OUT YOUR MIND....!!!
Ni wakati wa kumwambia Mwenyekiti na Rais wenu kwamba enough is enough...!! Ni wakti wa kukomesha hizi kauli na za kihuni kama:
  1. CCM ya Magufuli...!
  2. Serikali ya Magufuli...!
  3. Serikali yangu......!!!
  4. Tanzania ya Magufuli....!
Je, Baba wa Taifa angelifufuka leo angekubaliana kweli na kauli hizi za kifedhuli na majigambo toka kwa Mwenyekiti mpya na Rais wa CCM kwa sasa?This country belongs to all Tanzanians and not to somebody else....in the name of Magufuli......!!!
 
Nilihudhiria ktk mkutano l
uliyomchagua ndugu Diallo majuzi tu. Wajumbe wengi walikuwa wanaongelea chini chini juu ya uongozi wa juu namna unavyopeleka mambo ya chama. Namna unavyotoa hongo ya vyeo kwa wapinzani . Mwenye macho na asikie, kuna fukuto kubwa sana ndani ya ccm

CCM wanaogopa nini? CCM wanangoja nini kukinukisha??Magufuli ni nani hasa nchi hii kiasi cha kuwatia watu hofu? Hivi Wananchama wakisema hawamtaki atakimbilia wapi???Hivi huyu Msukuma amesahau kwamba Wana-CCM ndiyo waliompa mtaji wa kuingia Ikulu...???
Wekeni mikakati ya kumbana ili aelewe kwamba anakiendesha chama ndivyo sivyo.....!!
 
Back
Top Bottom