Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,963
Kwan Wimbo Ndo Utapiga Kura?? Hamasishen Wazee Na Kinamama Wawapgie Kura Hasa Vijjn Maana Hao Bado Weng Wao Hawawez Kutenganisha Chama Na Serikali, Tazama Huko Ruvuma Baada Ya Ccm Kufanya Kampen Na Kuzindua Tawi La Chama Wanakjj Wameanza Kujenga Shule Ya Miti! .Je Hko Kuna Wapinzan? Ukawa Wemekaa Kimya Hawataki Kumjibu Makomeo Anaetoa Vitisho Kuwa Tz Itageuka Kuwa Libya Kama Wakichagua Wapinzani!, Na Kwakuwa Vijana Wanaonekana Kuipa Matumaini Upinzani Mkazo Utiliwe Kwa Kinamama Na Wazee Ambao Bado Wanakienz Chama Cha Mapinduzi , Namtumbo, Nangurukulu, Mtwara, Mbinga Handeni, Lushoto, Karema ,korogwe Katavi ,Njombe Tunduru, Kisarawe Haya Ni Baadhi Ya Maeneo Machache Miongoni Mwa Mengi Ambayo Kile Kinachoitwa Mabadiliko Ni Lugha Ya Kigeni Tena Kichina Na Upinzani Maanayake Kwa Waliowengi Ni Vurugu Au Vita!. Kuamini Machifu Nayo Ni Silaha Kwa Baadhi Ya Maeneo Ambao Ccm Huwatumia Kushawishi Wananchi Waichague!
Mama Sarafina Umesema kweli tena kweli kabisa, lakini mazingira hayo ya vijijini yamefanywa hivyo maalum na ccm kama Mtaji wao wa Kura.
Wamenyimwa Elimu bora ya uraia na wengi wao ni maskini wa kutupwa wanaishia kupewa skafu, khanga, kofia, t shirt, chumvi etc. Hawana vyombo vya habari,
Kuna kipindi walisema NEC itoe elimu ya uraia, lakini walidai hawana rasilimali fedha. Hapo utawalaumu UKAWA kwa lini???!. Shida iko ccm na Serikali yake kung'ang'ania kubakiza watu mbumbumbu kama mtaji wa kura.