CCM Imejimaliza Rasmi na IPTL-ESCROW

Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?

Hata kama unatumia makalio kufikiria huwezi kusapoti upuuzi wa chama chetu. CCM yetu ni janga la taifa. Viongozi wote waliotetea uovu ni wauaji. Hawa ghasia ni muuaji. Simba chawene muuaji. Waziri wa fedha (siyo mwigulu) ni wauaji
 
CCM ni janga la taifa.Leo wezi wanaambiwa waangalie jinsi ya kuandika hukumu zao.Tangu lini?Tulikosea sana kuikabidhi nchi kwa genge la wezi.

Wananchi wanaoipenda nchi hii lazima wakubali kuokokoa taifa hili na kufanya kwa ujasiri kama kule Burkinafaso,laa sivyo mkoloni mweusi hataacha kutunyonya na kutukandamiza hadi mautin.

Ni fursa kwa UKAWA na wote wasiopenda ukoloni huu ku mobilize umma kujikomboa wenyewe pasipo kutegemea fadhila za mkoloni huyu na mfumo wake.
 
Hapa kinachotokea ni kwamba kile kiburi cha wabunge wa CCM na serikali yake kutaka kutunisha misuli ili kuchukua ushindi kiburi hichi hawajaangalia kwa undani madhara yake kwa wananchi. Hakuna mjadala uliofuatiliwa kwa umakini na wananchi wengi kama huu. na kinachoumbua serikali ni kwamba kamati ya PAC si ya upinzani na wako watano tu mle na hapa inaonyesha ccm inajikataa yenyewe.

Kama Raisi atachekacheka tu na hawa vibaka basi ajue amemwachia mgombea wa CCM mzigo mkubwa wakati wa uchaguzi. Hela walizochota na zile zisizojulikana ni nyingi na kwa usalama wa chama naona CCM yenyewe kwenye vikao vyao vya ndani wawaondoe hawa wezi na ikiwezekana hatua za kisheria zichukuliwe ili imani ya wananchi irudi.

Watu kutoka Mara hawana historia ya kuiba hela za uma lakini nashangaa haya majambazi ya sasa imekuwaje
 

Acha ujinga wewe, uliona wapi mtu binafsi anagawa pesa kama njugu? Tetea under five, pregnant mothers are suffering. Shame on you shame on all those who do not see white, as white
 
Halafu wabunge wa Ccm wanaimba Ccm nambari one!! Tena ndami ya ukumbi wa bhunge. Kwenye michango ya ripoti wengi ni vihiyo hawaongei. Ila kwenye kunoa midomo utadhani wamekula pilipili kichaa. Hii ni fedheha kwa taifa
 
Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?


Hivi wewe dada sijui bibi huo moyo wako niwakibinadam ama msukule!?
Mtake msitake aibu hii imewapata na ndio anguko lenu tupo hapa na tuombeane uzima.
 
Dah umenikumbusha hilo tukio,tuliongozwa na Tweve,sijui yupo wapi siku hizi Marry Ngowi
 
Last edited by a moderator:

Hujielewi,hujitambui na wala hufahamu kinachoendelea...vinginevyo waweza kuwa WAKALA WA SHETANI.
 
Hivi wewe dada sijui bibi huo moyo wako niwakibinadam ama msukule!?
Mtake msitake aibu hii imewapata na ndio anguko lenu tupo hapa na tuombeane uzima.

Aibu ipi? ya uongo na majungu. Narudia sijaona hoja ya maana zaidi ya majungu na drama.

Eti mtu kwenye maandiko anatoa ushauri Naibu Waziri awachishwe kazi halafu kwenye kura anakubali kuwa hana makosa yoyote. Uliona wapi hiyo zaidi UKAWA.

Hilo tu limetosha kutupilia mbali hoja zote zilizobaki za wengine. Hauwezi kuwa na ripoti ya uchunguzi halafu ukaikana ripoti yako.
 

Mijitu mingine kama imerogwa watanzania akinanan au wewe peke yako? Maana ni watanzania wachache wenye mtazamo kama wako kipi hakifahamiki kwenye hizo ripoti au ww ni mtt wa muhongo acha kejeli ungejua wananchi wanahali mbaya usingetetea upuuzi huu
 
Acha ujinga wewe, uliona wapi mtu binafsi anagawa pesa kama njugu? Tetea under five, pregnant mothers are suffering. Shame on you shame on all those who do not see white, as white

Hizo hoja dhaifu sana, pregnant mother alipokosa umeme hoaspital mlisema aaah' mnauwa watoto. Sasa ana umeme, mnashindana na wawekezaji mnataka umeme wa bure.
 
Mijitu mingine kama imerogwa watanzania akinanan au wewe peke yako? Maana ni watanzania wachache wenye mtazamo kama wako kipi hakifahamiki kwenye hizo ripoti au ww ni mtt wa muhongo acha kejeli ungejua wananchi wanahali mbaya usingetetea upuuzi huu

Hata sakata la Dowans ni Watanzania wachache tuliosema uamuzi wa kufunga mitambo ya Dowans ni kulitia Taifa hasara. Matokeo, mahakama za Kimataifa zikaamuwa tuwalipe capacity charge, na umemem ambao ungezalishwa, na gharama zao zote na % ya interest. Umesahau?

Hili jambo la fedha za escrow ukweli uko wazi kabisa lakini Watanzania walio wengi wana aakili za kushikwa, hawaoni, hawasikii.

jamani hebu kuweni wa kweli wa nafsi zenu, hapo hapo unasema fedha zimeibiwa escrow, hapo hapo mtu mwingine anasema waliopewa hizo fedha wazilipie kodi aliyesema hizo fedha zimeibiwa amesha sahau anashangili kuwa hilo ni wazo zuri!

Khaa, sasa kama za wizi ukishazilipia kodi si umehalalisha? hebu kuweni wakweli wa nafsi zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…