Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?
Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?
Kumbuka fedha za escrow ni malimbikizo ya fedha za miaka 10, sasa miaka 10 fedha zote za malipo ziwe zinapelekwa benki kuhifadhiwa unafikiri zitakuwa ndogo?
Lakini kumbuka kuwa, moja katika maafikiano yaliyopo ni ku re invest hizo fedha na kuibadili hiyo mitambo na kuongeza mingine inayotumia Gas kwa gharama nafuu ili bei zishuke. Na hilo tayari wamekubaliana na lipo kwenye harakati la kufanyika na PAP wameshatangaza kulianza.
Mkuu, Usimsahau Hawa GasiaMipasho ya Lusinde na Mariam Kiziga(Kichwa maji) ndiyo zimesambaratisha hoja za PAC?
Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?
Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?
Hapa kama ukimsikia vema Proff Muhongo zile ni real facts na inabidi tuzikubali hapana porojo na maneno hapa kuna vita na majungu haya tulia.
1.Wafanya biashara wenye chuki na uongozi bora wa nishati na madini hasa oil and gas.
2.wagombea urais chuki na PM wetu.wanahaha twiter nk
3.wanasheria waliokosa tenda za ufisadi kina Mkono
4 Mabenki uchwara
5.waliokosa huo mgao....
Hayo ndio CCM ife hakuna issue hapo....tutukie nchi yetu iishe kwa amani...na upendo.
Hivi wewe dada sijui bibi huo moyo wako niwakibinadam ama msukule!?
Mtake msitake aibu hii imewapata na ndio anguko lenu tupo hapa na tuombeane uzima.
Wacha kusema uongo.
Onesha huo wizi uko wapi? tumeona rripoti ya CAG na TAKuKURU hatujaona hata sehemu moja iliyosema kuna wizi waliougunduwa au rushwa waliyoiona katika uchunguzi wao.
Kwanini mnadanyana humu na mnadanganya umma wa Watanzania nyinyi na wabunge wenu?
Msifikiri kwa uongo ndiyo mtapata madaraka ya hii nchi, Watazania wanawaona na wanawashangaa sana watu wazima kusambaza uongo.
Onesha huo wizi uko wapi kama wewe u mkweli.
Acha ujinga wewe, uliona wapi mtu binafsi anagawa pesa kama njugu? Tetea under five, pregnant mothers are suffering. Shame on you shame on all those who do not see white, as white
Soma uelewe kilichoandikwa.
Hapa umepayuka tu.
AibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuPorojo hizo, mlitaka umeme wa bure?
Mijitu mingine kama imerogwa watanzania akinanan au wewe peke yako? Maana ni watanzania wachache wenye mtazamo kama wako kipi hakifahamiki kwenye hizo ripoti au ww ni mtt wa muhongo acha kejeli ungejua wananchi wanahali mbaya usingetetea upuuzi huu
Kwa hili la Escrow hata kama umepata mgao busara inaweza kuwa ni kubaki kimya na si kushabikia.Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?