Maendeleo tu
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 347
- 107
Mnasikitsha nyinyi mliotiwa mkenge mkaona escrow ndio pa kutokea, wapi?
Onesheni wizi uko wapi? CAG hakuonesha, PCCB hawakuonesha.
Hoja za Zitto, ambae kwa sasa mnamuona si msaliti, zimesambaratishwa na zimeonekana kuwa zilikuwa ni uongo mtupu.
Kumbuka fedha za escrow ni malimbikizo ya fedha za miaka 10, sasa miaka 10 fedha zote za malipo ziwe zinapelekwa benki kuhifadhiwa unafikiri zitakuwa ndogo?
Lakini kumbuka kuwa, moja katika maafikiano yaliyopo ni ku re invest hizo fedha na kuibadili hiyo mitambo na kuongeza mingine inayotumia Gas kwa gharama nafuu ili bei zishuke. Na hilo tayari wamekubaliana na lipo kwenye harakati la kufanyika na PAP wameshatangaza kulianza.
Una uhusiano wowote na Ashki Majununi maana naona akili zenu zina shabi ihana
Mipasho ya Lusinde na Mariam Kiziga(Kichwa maji) ndiyo zimesambaratisha hoja za PAC?
Kwa capacity charge ya real invested capital au estimated??!!
Hayo makubaliano ya kukodi endelevu badala ya kukununua yetu ndio tusiyoyataka wenye uchungu na nchi yetu!!!
Wakati wenye nchi wakijenga mabwawa hakukuwa na alternative ya mitambo??!? Ilikuwepo ila watu walilenga kumiliki na sio kukodi kwenye sekta muhimu kama hii!!!
Viroba mixer Safari Lager @ work
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi. Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi wameanza vita rasmi dhidi ya watawala. 2015 CCM inakuwa historia.
Kukinusuru chama, Rais Kikwete na uongozi wa CCM inabidi iwatose hawa wezi, vinginevyo CCM imekuwa raski November 2014. Hakuna sehemu hawa viongozi watapita kueleweka au kukubaliki. Watazomewa na kudhalilisha vibaya. Rais asiposikia, basi R.I.P CCM !
Wakati mwingine jitahidi kuficha upu.mbavu wako, hivi ni kweli kutoka moyoni swala hili uko na amani nalo na unapata faida gani kupotosha? Najua unaelewa fika kwamba fedha za akaunti ya dhamana hazikuwa za kununulia umeme bali ni capacity charges, licha ya kulielewa hili umekuwa ukipotosha kila unapopost.
Basi tuashumu sio pesa za serikali, vipi kuhusu kodi? Vipi kuhusu ukiukwahi mkubwa wa sheria za nchi BOT na taratibu juu ya transactions za pesa hizo? Hata haya nayo unayatetea?
Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?
kwa vijimaneno vyako ungekuwa mwana dada ningekuoa
Mkuu usiipotoshe kwa sababu za uongo.Hapa kama ukimsikia vema Proff Muhongo zile ni real facts na inabidi tuzikubali hapana porojo na maneno hapa kuna vita na majungu haya tulia.
1.Wafanya biashara wenye chuki na uongozi bora wa nishati na madini hasa oil and gas.
2.wagombea urais chuki na PM wetu.wanahaha twiter nk
3.wanasheria waliokosa tenda za ufisadi kina Mkono
4 Mabenki uchwara
5.waliokosa huo mgao....
Hayo ndio CCM ife hakuna issue hapo....tutukie nchi yetu iishe kwa amani...na upendo.
Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity. (Martin Luther King Jr.)
Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?
nna wasiwasi wendawazimu wote aka majambazi yaliyofisadi escrow wana access na ID hii,kujibizana na mjinga unaonekana mjinga vilevile,yooote yaliyozungumzwa hujayasikia tu na kuelewa???Hivi nyerere angeruhusu ufisadi wa kiwango hiki hata hiyo elimu uliyonayo na afya yako vingekuwaje??ONA HAYA WEWE!!!!
Mhongo.
Lusinde ndio kamaliza kabisaaaa ki aina yake.