Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
- Thread starter
- #81
Mkuu,Hapo uliposema shetani mzee na kijana nakubaliana na wewe, kweli wale tunaoangalia sera tupo mjia panda, ukitazama kila pande hakuna nafuu huku mabadiliko tukiyataka japo hatuoni kutuwakilisha kwenye mabadiliko hayo.
Hii ndiyo dilemma nadhani inawakabili wapiga kura wengi katika uchaguzi huu.