CCM ilioza, CHADEMA/UKAWA inaoza!

CCM ilioza, CHADEMA/UKAWA inaoza!

Nakwambia cdm ni taasisi ndogo ya ccm
Mkuu,
Kwa sasa siwezi kusema kama CHADEMA ni tawi la CCM lakini ninachofahamu, kilichoifanya CCM kufika hapa ilipo ndio kile kimeanza kujitokeza ndani ya CHADEMA/UKAWA.
 
Mkuu Lusungo, hako kajamaa kanajifanya kajanja kumbe utapiamulo unakasumbua!

Haha siku nyingi kalikua kanajifanya ni kamwanaharakati kumbe uchwara kama yule aliyekauka mwili polepole!!!

Anajifanyaga yupo neutral kumbe ni kuwadi mkubwa wa CCM!!!
 
I really miss these kind of posts nowadays.....totally based on facts and not fancy
Mkuu,
I don't pussyfoot around!

Kawaida yangu ni kusema kile ninakifikiri na kukiamini hata kama ni sumu kwa wengine.

Jamiiforums is where we dare to talk openly!
 
Hivi wanaofananafanana na nyumbu kati ya makundi haya;


images
...
images
...
images


na haya;

images
...
images
...
images


Ni yapi? Nilikuwa nauliza tu...

Ninavyojua nyumbu hufanana, tena sana tu.

 
Hivi wanaofananafanana na nyumbu kati ya makundi haya;


images
...
images
...
images


na haya;

images
...
images
...
images


Ni yapi? Nilikuwa nauliza tu...

Ninavyojua nyumbu hufanana, tena sana tu.



Huyo mleta thread ndio nyumbu anayejificha nyuma ya kichaka cha miiba!!!
 
mwaka huu tunachagua mnao waita mafisadi.......TANGU LINI MKATUOMBEA MEMA......mwambie nape atoroke aje
Mkuu,
Kwanza ingekuwa vizuri ukajisemea wewe na nafsi yako!

Pili, Kama ungeelewa vizuri msingi wa hoja yangu, nadhani ungefahamu kuwa mafisadi kwa sasa yako ndani ya CCM na CHADEMA/UKAWA.

Hoja ya ufisadi kwa sasa ni kaput katika majukwaa ya kisiasa!

Tunaambiwa na wanasiasa ufisadi siyo hoja tena nchini!
 
Mkuu,
Kwanza ingekuwa vizuri ukajisemea wewe na nafsi yako!

Pili, Kama ungeelewa vizuri msingi wa hoja yangu, nadhani ungefahamu kuwa mafisadi kwa sasa yako ndani ya CCM na CHADEMA/UKAWA.

Hoja ya ufisadi kwa sasa ni kaput katika majukwaa ya kisiasa!

Tunaambiwa na wanasiasa ufisadi siyo hoja tena nchini!


Mchuano ni kati ya tingatinga na dereva vipi hapo??

Tunataka kusikia hoja na uwezo wa wagombea kuongoza na sio siasa zenu za majungu na kimaskini!!!

Tunahitaji Rais ambae atakuwa Kiongozi na Sio Manager!!!!
 
Mimi ilikua niwapigie ukawa kura zote kuanzia urais mpaka udiwani,lakini kitendo cha kumleta lowassa kura Yangu ya urais imerudi kwa magufuli,nitawapa ukawa kura ya ubunge na udiwani,kama ukawa watakua wanafikili ninavyofikili Mimi basi ni heri tu,Mimi nafikili ukawa wanamtumia lowasa ili kupata viti vingi vya ubunge na udiwani tu,

huku wakijua kabisa kwamba swala la urais kwa lowasa halipo,yaani ccm wakukate,wakuite makapi fisadi mgonjwa,halafu uende ukawa hata wananchi wakupigie kura zote za urais wewe ccm hawakupi urais,si wanakujua madhambi yako ,

na this time naungana na ccm goli la mkono ikibidi poa tu, lowasa sio! huyo ni wakutumiwa tu kama alivyomtumia kikwete halafu akamwaga,ukawa nanyie mtumieni halafu mnamwaga! kimeo hicho !
 
Kwa kuwa tunao uhakika kuwa uozo huu umesababishwa na uwepo wa ccm basi acha kwanza tuifute ccm then hayo mengine tutashughulika nayo after 25th october
Mkuu,
Ni haki yako ya msingi kuifuta CCM kama ilivyo haki ya msingi kwa wengine kutoifuta CCM!
 
Tutakachoshuhudia ni Tanzania Mpyaa yenye CCM mpya. Nionacho ni new birth "kuzaliwa mara ya pili"! The ongoing events will eventually end up with internal as well as external cleansing! Nasubiri kwa shauku kuiona Tanzania mpya.
 
Hivi wanaofananafanana na nyumbu kati ya makundi haya;


images
...
images
...
images


na haya;

images
...
images
...
images


Ni yapi? Nilikuwa nauliza tu...

Ninavyojua nyumbu hufanana, tena sana tu.

Thanks mkuu, atakuwa amekuelewa, kuna watu humu jf hawatofautishi mazingira ya kupigia propaganda,pia walengwa wa kuipokea hiyo propagaanda,wamejikuta wametujumuisha na wale wa majukwaani kwenye kampeni. Lakini wanaonekana ni watu makini, ni ajabu kufanya kosa la wazi kiasi hiki au wametudharau?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom