CCM iligawa rushwa siku ya kuamkia uchaguzi mkuu

Milindi

JF-Expert Member
Mar 3, 2009
1,462
745
Nimeipata sasa hivi kutoka radio kwizera! Kuna mchungaji amemwaga live kuwa kwa vile yeye ni mchungaji alikataa kupokea rushwa hiyo akajitoa ccm.katibu kaongea kuwa ni posho ya kawaida toka makao makuu chama hutoa posho siku ya kuamkia uchaguzi mkuu! source Radio kwizera matukio
 
ila walipokea ya mamvi wote tunajua mgombea mmoja ambaye kila siku wachungaji walikuwa wanajiapiza lazima atashinda urais huyo mchungaji alikuwa wapi siku zote na alitoa taarifa wapi hao wachungaji wengi wa siku hizi wanafikiria zaidi tumbo kuliko kazi ya kumtumikia MUNGU
 
Ccm kugawa rushwa sio habari ya siri wala ajabu wameanza hayo toka miaka ya nyuma na wataendelea hivo
 
Nimeipata sasa hivi kutoka radio kwizera! Kuna mchungaji amemwaga live kuwa kwa vile yeye ni mchungaji alikataa kupokea rushwa hiyo akajitoa ccm.katibu kaongea kuwa ni posho ya kawaida toka makao makuu chama hutoa posho siku ya kuamkia uchaguzi mkuu! source Radio kwizera matukio
Hii redio yenu ndiyo ile redio yenu ya kabila lenu? Mbona mimi sikupata hiyo posho mlikuwa mnapewa wapi?
 
Nimeipata sasa hivi kutoka radio kwizera! Kuna mchungaji amemwaga live kuwa kwa vile yeye ni mchungaji alikataa kupokea rushwa hiyo akajitoa ccm.katibu kaongea kuwa ni posho ya kawaida toka makao makuu chama hutoa posho siku ya kuamkia uchaguzi mkuu! source Radio kwizera matukio
Hawa wachungaji ndo wale wanaozinyemelea pesa za lowasa na wahisani wake wakijua wataitwa na kupewa pesa kama pongezi. Hakuna mwehu wa kutoa pesa kwa Mhe. Magufuli kwani kushinda kwake hakukua na shaka kutokana na kukubalika kwake,hela atoe ya nini?
 
Huyo Mchungaji mnafiki mkubwa! Kwa nini hazungumzii zile Rushwa kwa njia ya Harambee 2007-2015!
Mh.Mbowe na Kubenea walizikemea sana mpaka July 26,2015 wakaacha kuzikemea mpaka leo!
 
Huyo Mchungaji mnafiki mkubwa! Kwa nini hazungumzii zile Rushwa kwa njia ya Harambee 2007-2015!
Mh.Mbowe na Kubenea walizikemea sana mpaka July 26,2015 wakaacha kuzikemea mpaka leo!
Jamani tuseme ukweli nani aliyegombea aidha kupitia ccm au chadema ambaye hakutoa hata maji? Tena wasiseme rushwa ya chadema kupitia viongozi wake ilikuwa kubwa au ndio wamesahau. Lol
 
Nimeipata sasa hivi kutoka radio kwizera! Kuna mchungaji amemwaga live kuwa kwa vile yeye ni mchungaji alikataa kupokea rushwa hiyo akajitoa ccm.katibu kaongea kuwa ni posho ya kawaida toka makao makuu chama hutoa posho siku ya kuamkia uchaguzi mkuu! source Radio kwizera matukio
Cc mcubic
Cc MOTOCHINI
 
ila walipokea ya mamvi wote tunajua mgombea mmoja ambaye kila siku wachungaji walikuwa wanajiapiza lazima atashinda urais huyo mchungaji alikuwa wapi siku zote na alitoa taarifa wapi hao wachungaji wengi wa siku hizi wanafikiria zaidi tumbo kuliko kazi ya kumtumikia MUNGU
Naona huyo mzee mamvi mnamuogopa na tuseme ndio anaitawala hii nchi maana bila pressure yake hata hayo majibu yange kuwa yanaendelea kama kawaida
 
tunahitaji ushahidi wa hela kwa yeyote aliyetoa kipindi cha uchaguzi bila kujali chama gani kama huna funga mdomo.
 
chadema sasa hivi hawawezi kuzungumzia rushwa wanaozungumzia ni hawa wapambe wadogo kwani walioko ndani wanajua jinsi chama kilivyonunuliwa
 
Back
Top Bottom