fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Kama Afrika vyama zilivyodai uhuru vimekufa isipokuwa nchi tatu, TZ, Botwasna na SA (needs verification). na kama TZ ni nchi maskini almost ya mwisho nyumba ya Somalia, na kama TZ ni nchi yenye madini kila kona, na kama TZ kuna amani misimu yote ukitoa vita ya Uganda, basi ni bora CCM ife, ni faida kubwa sana kwa watanzania wote CCM kufa, hata kwa wanaCCM wenyewe.
Ninachokiona sasa ni woga wa mabadiliko tu, ambao ni tabia ya binadamu au kiumbe hai chochote. kushinda woga huu ni hatua katika maendeleo, najua nape anajua hili.
Je unaogopa CCM ikifa utalala wapi? utakula wapi? nani atalipa ada ya wanao??- Usiogope kila kitu utafanya mwenyewe kwa furaha tele, bila hongo na takrima kutoka kwa CCM, inawezekana. Achana na samaki wakupewa, kavue wako.
Ninachokiona sasa ni woga wa mabadiliko tu, ambao ni tabia ya binadamu au kiumbe hai chochote. kushinda woga huu ni hatua katika maendeleo, najua nape anajua hili.
Je unaogopa CCM ikifa utalala wapi? utakula wapi? nani atalipa ada ya wanao??- Usiogope kila kitu utafanya mwenyewe kwa furaha tele, bila hongo na takrima kutoka kwa CCM, inawezekana. Achana na samaki wakupewa, kavue wako.