kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Mbinu zinazotumiwa na CCM kuitawala Tanzania hazitoutiani sana na zile zilizokuwa zikitumiwa na makaburu na Wakoloni dhidi ya waafrika. Katiba, tume ya uchaguzi, ajira mbalimbali na teuzi vyote vinazingatia kuibakiza CCM madarakani watu wapende wasipende, Waichague au waikatae, wanaCCM na wasiokuwa CCM wanafahamu hivyo.
Hali hii ni HADI LINI?
Hali hii ni HADI LINI?